Tarime, Mara: Mmiliki wa mabasi ya Zacharia awapiga risasi maafisa wa Usalama wa Taifa, ashikiliwa na Polisi

Kwa hiyo mkapa alisaini kitu asichokijua? Sheria hiyo imetakataza usalama wa Taifa wasikamate sasa basi kumbe mkapa nae alikuwa mbumbumbu?
 
Yaani leo wa upande wako( pengine fan wako) yamemkuta ndio unatupigia magoti tuungane tuache uvyama pembeni?? Mbona mnapokula keki ya taifa na kutuumiza wapinzani hiyo busara inakuwaga wapi?


Huenda hata huyu Heche nae anakula keki ya Taifa sio mpinzani hii busara inakuwaga wapi?
 

Attachments

  • 36469418_1749021371814170_6788816661735538688_n.jpg
    57.4 KB · Views: 53
Ahsante JF kwa kurudi kwa hewa, nitasoma uzi huu kesho maana nimejaribu tu kitu kimekubali
 
Hahaha walipobanwa ndo wakakumbuka wana vitambulisho mfukoni, za mwizi arobaini, ni wakati wa kuamka sasa maana tunaweza kuwa wajinga tukikubali kuisha mmoja mmoja.
 
Nimeshukuru sana JF kurudi hewani. Hakuna siku inapita bila kusoma JF.
 
usalama sio law enforcement agency
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…