Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Leta hiyo sheria.. usitufanye wajinga..
Sheria iko kimya kuhusu Hilo. Vilevile Haijanikataza mm Kama mwananchi kuzunguka nchi nzima kumuombea mgombea urais kura.
 
Hata jafo alivunja sheria kutangaza ajira
 

Ni kifungu gani cha sheria kinamzuia Kassim Majaliwa asimfanyie kampeni JPM vivyo hivyo ni sheria ipi inamruhusu Kassimu kumfanyia kampeni JPM tukimalizana hapo nadhani tutakuwa tumewekana sawa bila kokoro
 
Ivi nyie mlisoma wapi .. vichwa vigumu visivyo elewa.

Unaruhusiwa kuwa kwenye msafara , lakini huruhusiwi kuwa na msafara wako kwa ajili ya kampeni za Rais.

Majaliwa ana msafara wake nje ya mgombea mwenza na Rais.

Tuambie mwana chama yupi wa chadema anazunguka nje ya jimbo lake kumnadi Lissu?
Kwenye hili sidhani kama Lissu yuko sahihi.

Godbless Lema alikuwepo kwenye uzinduzi wa kampeni za Lissu Dar na alimpigia kampeni wakati ni mgombea Arusha...
 
Waziri mkuu yupi.. bunge limevunjwa...
 
Waziri mkuu yupi.. bunge limevunjwa...
Soma Katiba; bunge kuvunjwa haina maana kuwa serikali nayo inakufa! Je una maana kuwa leo hii tukishambuliwa na nchi jirani hatutajibu mapigo kwa vile bunge limevunjwa?
 
Nyani haoni kendezake, mbowe si ni kub ana hadhi ya waziri mkuu kivuli
Huna akili, Mbowe ni mwenyekiti wa chama Taifa! Na CCM wamtumie mwenyekiti wao wa chama ili amfanyie kampeni Rais wake!
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Mh Tundu Lissu amemuonya Kasimu Majaliwa kwa kitendo chake cha kufanya kampeni za Urais kote anakopita , kwa vile kitendo hicho ni kukiuka maadili ya uchaguzi...
Kwenye Kampeni za Chama kuna Timu za Kampeni zinazoundwa kumnadi kila kona ya nchi Rais, hizi ni zile za Kitaifa. Tundu Lissu raia wa Kenya naona amechanganyikiwa kisawasawa anaona deni alilikopa atalirudishaje kwani kila Kona anapata Makofi na hana pa kutokea.
Update kila anapopita anaharibu kura.
 
Yaap!
Wamekutana na kisiki wakati huu!!
Uzuri wamekutana na msomi mwenye uelewa mpana juu ya taratibu za kisheria sijui watakimbilia wapi? Majaliwa alitumia njia ya kupita bila kupingwa ili amfanyie kampeni rais.
 
Tutajie hilo tusi ili na sisi tuamini anatukana
 
Mgombea Urais kupitia Chadema Mh Tundu Lissu amemuonya Kasimu Majaliwa kwa kitendo chake cha kufanya kampeni za Urais kote anakopita , kwa vile kitendo hicho ni kukiuka maadili ya uchaguzi...
Majaliwa ni mjumbe wa kamati kuu ya CCM

Wajumbe wa kamati kuu ya CCM wamesambazwa nchi nzima kufanya kampeni
 
Kwani hawajafanya ? Mbona wanafanya
 
Yani wewe kweli tabu Tena tupu. Unaijua Sheria ya vyama vya siasa.? Swala la kumnadi mgombea na kumuombea Kura ni mkakati wa chama husika. Endapo Wana bajeti ya kutumia hazina walizonazo chama kinaweza kusambaza watu nchi nzima ilimradi iwe ndani ya muda ulioruhusiwa.

Unakumbuka wakati Chadema wanalalamika magu alivowazuia wabunge kufanya siasa nje ya majimbo Yao? Chadema walikuwa very right kisheria lkn jiwe akitumia ubabe Kama kawaida yake na kuwakandamiza Chadema. Kisheria kampeni ni mkakati wa chama sio lazima kuandamana na mgombea.

That is why mataga yalipoona yanazidiwa na Lissu Sasa wabafungulia hazina Yao kuanzia kina Kikwete, Mawaziri wakuu na makatibu wakuu wa CCM wastaafu utaanza kuwaona wakizurura huku na huko. Sheria haiwabani hapa mwanasheria nguli akijifanya nyokooo itamcost. Tabutupu
 
Kila mgombea ana ratiba yake iliyoandaliwa ma NEC, Mama Samia ana ratiba yake, Mwalimu ana ratiba yake, Magufuli ana ratiba yake vivyo hivyo na Lissu.

Haya tuambie ratiba ya Majaliwa nani ameipanga ama iko wapi.?

Majaliwa anaruhusuwa kuambatana na Magufuli ama Mama Samia ila sio yeye kuandaa mikutano binafsi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…