Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.Ilio andikekwa wapi? Wakati huyo wa kiarabu alizaliwa maka akafia Madina sasa tuekeze ni yupi wa Bethlehem au makha.
Swali alizaliwa wapi? Maana wa qran ni makha na WA Israel ni Bethlehem. Kuna watu wawili tofauti je wewe unamzungumzia yupi?.Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.
Mie nafahamu kuhusu Yesu mwana wa Mariam ametajwa yeye ma mama'ke kwenye Qur'an.
Wa qraan ni chini ya mtende wa bible ni kwenye hori la n'gombe, kumbuka ni binadamu 2 tofauti.Hakuba Yesu aliyezaliwa Makkah wala madina.
Mie nafahamu kuhusu Yesu mwana wa Mariam ametajwa yeye ma mama'ke kwenye Qur'an.
Tupe ushahidi wa maandiko. Siyo porojo zako.Wa qraan ni chini ya mtende wa bible ni kwenye hori la n'gombe, kumbuka ni binadamu 2 tofauti.
Wacha fix, buthist ilikuwepo Toka mwaka 35 shida hawakujitangaza kama Kristian na Islam.Kwenye hii mada hatutafika popote maana naona umeamua kuwa mbishi..
Ok then,
Miaka ilianza kuhesabiwa na kutunziwa kumbukumbu baada ya Israel/Wayahudi kuachiwa Huru huko babilon /bebel na walianza na Mwaka 2000 wakishuka chini na ilipofika 1 ikaendelea 2 na hakuna mwaka 0..
Na ndo maana hakuna mwaka 1 ambao ni BCE au CE ...
Kwahiyo miaka hiyo iliyoishia kabla ya Hii iliitwa miaka ya Babilon na pia kuna miaka ya Kutolewa utumwani israel...ambayo ilikuwa kabla ya babilon...
Baada ya kuisha miaka ya babilon ikaja miaka ya kawaida na ikaanza kuhesabiwa Kawaida kwa sababu tayri sayansi na hesabu ilikuwa tayari iko well inveted na Pythagoras
Hakuna kitu kizuri kama shule zizi la n'gombe (hori).Tupe ushahidi wa maandiko. Siyo porojo zako.
"hori" ndiyo nini?
Kuna sehemu umeona nimesema ulichoandikaWacha fix, buthist ilikuwepo Toka mwaka 35 shida hawakujitangaza kama Kristian na Islam.
Hori ni mwambao wa bahariHakuna kitu kizuri kama shule zizi la n'gombe (hori).
Umetohoa kwenye lugha ipi?
Kasome kwanza hiyo link niliyotuma kabla sijakueleza zaidi..Umetohoa kwenye lugha ipi?
Haya weka ushahidi wa ng'ombe na wa mtende.Hakuna kitu kizuri kama shule zizi la n'gombe (hori).
Kafungue mwanzo 1 mpaka 7, utaelewa vizuri.Haya weka ushahidi wa ng'ombe na wa mnazi.
Tuuone upi una mashiko.
English sio kiyunani tuelewane hapo.
Kuna sehemu nimeandika kiyunani mkuu hapo au kingereza mkuu..English sio kiyunani tuelewane hapo.
Iseee changamka Dr.Kuna sehemu nimeandika kiyunani mkuu hapo au kingereza mkuu..
By the way najua kiyunani pia na Kihebrania unataka tuongee
Hapo sasa.....Quran habari za Yesu ilizipataje? Maana Yesu kitambo sana kuliko quran.
Ili
Umeuliza maana ya hori nimekujibu kwa Kiswahili maana yake na nimekupa link ya wikipedia dictionaty au unataka mpaka Niwaite BaKITA kina sigaraIseee changamka Dr.
Kwani mzee habari za UUMBAJi biblia ilizipataje wakati Musa ndo mwandishi wa kwanza wa biblia na amezaliwa miaka 3500 baada ya Uumbaji?Hapo sasa.....
Kwani mzee habari za UUMBAJi biblia ilizipataje wakati Musa ndo mwandishi wa kwanza wa biblia na amezaliwa miaka 3500 baada ya Uumbaji?Quran habari za Yesu ilizipataje? Maana Yesu kitambo sana kuliko quran.
Ili