Hapo kwa kumwona kwa macho ndipo point ilipo.Wao ni wapumbavu, maana wao walimuona kwa macho, waliona Miujiza anafanya, sisi tunasikia habari zake kwa kupitia Manabii na tunaamini, Inamaana sisi tuna IMANI kubwa sana...
Neno linanimbia kwamba kabla petro hajaamua kuwa mwanafunzi wa Yesu alikutna kwanza na Mwanafunzi wa Yohana MbatizajiNdio neno linavyotuambia, na neno la Mungu ni kweli, hata sasa mimi na wewe tunatofautiana ni kwakuwa mi ninavyomuona au kumjua Yesu sio kama wewe...
Ni ngumu sana kumjua YESU kwa kibinadamu lazima uwe mtu wa Rohoni
Sasa hapo point yangu ya msingi ndipo ilipo. Waliokuwepo physically wakamuona physically kwa maisha yake physically wengi walimwona hivyo nilivyoandika. Na ndio maana Wayahudi ambao alisema yeye ni mfalme wao mpaka leo hawamwamini wanahisi bado hajaja maana wana picha yao ya Yesu na physical life ambalo wanadhani ndilo angekuwa nalo.
Huenda hata wewe ungekuwepo usingeamini.
Hakuna aliyemuona Physically Yesu aliandika habari ambayo tunaisoma leo Injili Nyingi zimeanza kuandikwa mwaka 70 AD miaka zaidi ya 30 baada ya kufa kwa yesu na injili zote ni third part AuthenificationSasa hapo point yangu ya msingi ndipo ilipo. Waliokuwepo physically wakamuona physically kwa maisha yake physically wengi walimwona hivyo nilivyoandika. Na ndio maana Wayahudi ambao alisema yeye ni mfalme wao mpaka leo hawamwamini wanahisi bado hajaja maana wana picha yao ya Yesu na physical life ambalo wanadhani ndilo angekuwa nalo.
Huenda hata wewe ungekuwepo usingeamini.
Hakuna aliyemuona Physically Yesu aliandika habari ambayo tunaisoma leo Injili Nyingi zimeanza kuandikwa mwaka 70 AD miaka zaidi ya 30 baada ya kufa kwa yesu na injili zote ni third part Authenification
Aseee! Hongera sana Kwa tafakuri mardhawa kabisa. Ukweli mtupuUkisoma na kutafakari kwa umakini kuhusu Yesu unagundua kwamba alikuwa ni wale watu ambao jamii inawachukulia kwamba wamepinda yani outcast.
Hata wale wanafunzi wake aliokuwa akiongozana nao jamii inaonekaan ilikuwa inawachukulia kama watu wasiokuwa na maadili waliopotoka yani waliopinda.
Ndio maana kuna sehemu hadi anaulizwa, inakuaje anakula na kunywa na wenye dhambi? Hii bila shaka haina tofauti na sasa unamuuliza, we jamaa unaonekana ni mwenye ehshima inakuaje unashinda na wazinzi na walevi?
Hebu fikiria mtu unayemheshimu sana anakuja kahaba analia miguuni mwake anampangusa kwa nywele anambusu miguu, assume huyo jamaa anayefanyiwa hivyo ni hakimu na huyo kahaba ana kesi. Halafu baada ya kufanyiwa hivyo hakimu anamwambia kesi yako utashinda!
Bila shaka utasema hakimu kasema hayo kwa sababu kahaba kamtamanisha kwa kumshika shika na kumbusu miguu huenda watamalizana huko mebeleni. Hiki ndicho kilichotokea kwa yule kahaba na bila shaka wale jamaa walisema moyoni huyu jamaa amelegea kwa kahaba atakuwa msela tu anatuigizia.
Ukichukulia hali hii kwakweli hata angekuja leo hapa TZ bado watu wangemkataa. Wangemwona msela Fulani hivi mwenye group la watu waliopinda. Yani kipindi anajiita kwamba yeye ni mfalme wa Wayahudi, huenda wale viongozi walikuwa wanamchukulia kama Ney wa Mitego anavyojiita raisi wa masela au Madee anayejiita rais wa Manzese hawakuwa wakimchukulia serious kihivyo mpaka alipoanza wazingua.
Kama akirudi kwa style hiyo hiyo sijui ni wangapi wataamini kuwa ni Yesu.
Mtoa mada kakurupuka kumponda Yesu kwamba alikaa na watu waliopinda.Luka 5:31-32 BHN
31. Yesu akawajibu, “Wenye afya hawamhitaji daktari; wanaomhitaji ni wale walio wagonjwa.
32. Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi, wapate kutubu.”
Hivi unaamini kuwa wewe ni zaidi ya Wafarisayo wa Zamani haujafika hata robo kwa Jinsi walivyokuwa wakishika sheria na maandiko😅😅Wao ni wapumbavu, maana wao walimuona kwa macho, waliona Miujiza anafanya, sisi tunasikia habari zake kwa kupitia Manabii na tunaamini, Inamaana sisi tuna IMANI kubwa sana...
Madai yapi!Kwa hoja hii unataka kusema kwamba madai yote ni sahihi au sio sahihi??
Hapana kam angeandika kwa mkono WKe ningeamini ila sio hizi Pseudepigrapha au Apigrapha TulizonazoHata angekuwepo aliyemuona kwa macho na kula naye ugali bado asingekuwa hai mpaka leo hii.still ungekuwa na wasi wasi tu na uhakika wa taarifa za Yesu.
Ndio maana watanzania mnashindwa kufanya reasoning za kawaida. Hata wewe hujaelewa maelezo yangu. Hakuna sehemu nilipomponda. Nilichosema ni kuwa watu waliokuwa wamemzunguka na lifestyle lake lilikuwa tofauti na lile ambalo jamii ya kipindi kile ilivyokuwa inaamini mtu kama masiah anapaswa kuwa hivi.Mtoa mada kakurupuka kumponda Yesu kwamba alikaa na watu waliopinda.
Angesoma Biblia kwa utulivu asingeanzisha huu uzi. Lakini kwa kuwa hamjui Yesu Kristo, na hajui alikuja kufanya nini duniani ndio kaleta uzi wa kitoto kabisa.
Mzee wa kupambania ubarikiwe sana kwa kumkumbusha mleta uzi ni nini kilichomleta Yesu Kristo duniani.
Hapana kam angeandika kwa mkono WKe ningeamini ila sio hizi Pseudepigrapha au Apigrapha Tulizonazo
Madai yapi!
Mi sio Mfarisayo, Mimi ni Mlokole, nimempokea Yesu kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yangu...Hivi unaamini kuwa wewe ni zaidi ya Wafarisayo wa Zamani haujafika hata robo kwa Jinsi walivyokuwa wakishika sheria na maandiko[emoji28][emoji28]
Sasa msikie yesu anavyowaambia wanafunzi wake..
Mathayo 5:20
View attachment 2798673
Ajuza mjuaji kaziniUkitaka kumfahamu Yesu wa kweli isome Qur'an.
Au tuulize tunaoisoma tukufahamishe.
Yeah wasifu wa Yesu uliandikwa sehemu nyingi sana na watu wengi sana walielezea Hii ilikuwa miaka mingi sana baada ya kufa kwake...Mleta mada na vyanzo vingine kuhusu wasifu wa Yesu??
Yeah wasifu wa Yesu uliandikwa sehemu nyingi sana na watu wengi sana walielezea Hii ilikuwa miaka mingi sana baada ya kufa kwake...Mleta mada na vyanzo vingine kuhusu wasifu wa Yesu??