MICHAEL JACKSONN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 226
- 229
Ni kama wiki sasa imepita mara baada ya naibu mwenyekiti ccm taifa, Dkt. Abdulahman Kinana, zimeshatokea ajali mbili za magari na kuondoka na roho za watu kadhaa, sababu ni mwendokasi.
Tukiangalia kisiasa na kimihemko,traffic police hawana cha maana wanachofanya barabarani zaidi ya kujinufaisha na kuineemesha serikali inayowalipa.
Lakini kwa jicho la tatu, wana kazi kubwa sana ni kama ile kazi ya dini zetu katika kuchangua amani na utulivu katika kizazi hiki chenye kila aina ya uthubutu.Bila hizi dini hali ingekuwa mbaya zaidi.
Ukiangalia malalamiko ya wahanga wengi wa traffic polisi ni,rushwa na kupotezewa muda wawapo safarini au barabarani kwa ujumla.
Hii ni kama kusema huwaona traffic kama nzi katika chakula. Maana yake kama isingekuwa traffic police bas humo barabarani ingekuwa ni sehemu rasmi ya kuokolea muda lakini pia kupima uwezo wa vifaa vyetu,hoja yangu iko hapo juu.
Fikiria mtu timamu,msomi,umri mkubwa kabisa analalamika kuhusu kuviziwa na traffic kichakani,maana yake huwa anafanya uhuni asipowaona[emoji28][emoji28].
Yaani anasimama na sheria anapojua kuna traffic atamkamata. Sasa wamepunguzwa kwa tamko la jamaa wa ccm,ni mwendo wa kujidai barabarani. Kwa sababu walikuwa wananenepa kwa elfu 2 zetu,bora tu waondoke.
Lakini wanatuachia msimamizi ambaye hachukui rushwa bali roho yako,ukivunja sheria.
Neno langu sio sheria maana ajali hazijaanza wiki iliyopita,bali neno langu ni mood anayokuwa nayo dereva baada ya kujua road hakuna traffic,kila mtu na awe msimamizi wa mwingine.
Tukiangalia kisiasa na kimihemko,traffic police hawana cha maana wanachofanya barabarani zaidi ya kujinufaisha na kuineemesha serikali inayowalipa.
Lakini kwa jicho la tatu, wana kazi kubwa sana ni kama ile kazi ya dini zetu katika kuchangua amani na utulivu katika kizazi hiki chenye kila aina ya uthubutu.Bila hizi dini hali ingekuwa mbaya zaidi.
Ukiangalia malalamiko ya wahanga wengi wa traffic polisi ni,rushwa na kupotezewa muda wawapo safarini au barabarani kwa ujumla.
Hii ni kama kusema huwaona traffic kama nzi katika chakula. Maana yake kama isingekuwa traffic police bas humo barabarani ingekuwa ni sehemu rasmi ya kuokolea muda lakini pia kupima uwezo wa vifaa vyetu,hoja yangu iko hapo juu.
Fikiria mtu timamu,msomi,umri mkubwa kabisa analalamika kuhusu kuviziwa na traffic kichakani,maana yake huwa anafanya uhuni asipowaona[emoji28][emoji28].
Yaani anasimama na sheria anapojua kuna traffic atamkamata. Sasa wamepunguzwa kwa tamko la jamaa wa ccm,ni mwendo wa kujidai barabarani. Kwa sababu walikuwa wananenepa kwa elfu 2 zetu,bora tu waondoke.
Lakini wanatuachia msimamizi ambaye hachukui rushwa bali roho yako,ukivunja sheria.
Neno langu sio sheria maana ajali hazijaanza wiki iliyopita,bali neno langu ni mood anayokuwa nayo dereva baada ya kujua road hakuna traffic,kila mtu na awe msimamizi wa mwingine.