Tathmini fupi baada ya tamko la Mzee Kinana kuhusu kero ya Polisi wa Usalama Barabarani

Tathmini fupi baada ya tamko la Mzee Kinana kuhusu kero ya Polisi wa Usalama Barabarani

Trafiki wanaombea ajali zitokee kwa kasi ya ajabu
Najiauliza hivi hakuna regulatory board kwa akili ya kukagua ufanisi wa waajiriwa wa serikali? Maana trafiki ni kama wamesusa
Wapi huko waliposusa? Trafiko wapo barabarani Kama kawaida wanaendelea na majukumu yao
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfululizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
Jibu zuri anaweza kuwa nalo comred Kinana.
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfululizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
Trafiki wameondolewa? Unaota? Mi kila kona napishana nao, ni mkoa gani huo wameondolewa?
 
Kipindi cha utawala wa hayati Magufuli ajali za barabarani zilipungua Sana ,hii ilitokana na askari kwa ujumla ,hasa askari wa usalama barabarani kuwachapa faini za kutosha madereva wazembe ,ikapelekea nidhamu kurejea ,kwani ambae hakutiii alijikuta anafanyia hasara tu,hivyo maisha ya watanzania yaliokolewa kiasi flani.

Nilikusikia ukiwa mahala flani nchini kwenye ziara zako za kichama ukisema ya kwamba tochi zimezidi barabarani,ziondolewe na hiyo iliendana na kuwapunguza barabarani eti ni wasumbufu.

Kauli hii iliwapendeza wamiliki wa vyombo vya usafiri na madereva wazembe,ona kinachotokea Kwa sasa ,ni kuuwawa kwa watu wasio na hatia kadhalika kuziletea familia za watanzania umaskini mkubwa.

Ifike mahala pumzikeni waje na wengine ,fikra na mawazo mbadala Kwa taifa letu,hamna jipya nyie Kwa sasa
 
Ni kama wiki sasa imepita mara baada ya naibu mwenyekiti ccm taifa, Dkt. Abdulahman Kinana, zimeshatokea ajali mbili za magari na kuondoka na roho za watu kadhaa, sababu ni mwendokasi.
View attachment 2321281
View attachment 2321282


Tukiangalia kisiasa na kimihemko,traffic police hawana cha maana wanachofanya barabarani zaidi ya kujinufaisha na kuineemesha serikali inayowalipa.

Lakini kwa jicho la tatu, wana kazi kubwa sana ni kama ile kazi ya dini zetu katika kuchangua amani na utulivu katika kizazi hiki chenye kila aina ya uthubutu.Bila hizi dini hali ingekuwa mbaya zaidi.

Ukiangalia malalamiko ya wahanga wengi wa traffic polisi ni,rushwa na kupotezewa muda wawapo safarini au barabarani kwa ujumla.

Hii ni kama kusema huwaona traffic kama nzi katika chakula. Maana yake kama isingekuwa traffic police bas humo barabarani ingekuwa ni sehemu rasmi ya kuokolea muda lakini pia kupima uwezo wa vifaa vyetu,hoja yangu iko hapo juu.

Fikiria mtu timamu,msomi,umri mkubwa kabisa analalamika kuhusu kuviziwa na traffic kichakani,maana yake huwa anafanya uhuni asipowaona[emoji28][emoji28].

Yaani anasimama na sheria anapojua kuna traffic atamkamata. Sasa wamepunguzwa kwa tamko la jamaa wa ccm,ni mwendo wa kujidai barabarani. Kwa sababu walikuwa wananenepa kwa elfu 2 zetu,bora tu waondoke.

Lakini wanatuachia msimamizi ambaye hachukui rushwa bali roho yako,ukivunja sheria.

Neno langu sio sheria maana ajali hazijaanza wiki iliyopita,bali neno langu ni mood anayokuwa nayo dereva baada ya kujua road hakuna traffic,kila mtu na awe msimamizi wa mwingine.
trafiki badala ya kuvizia waelimishe, kwanini wanapokuwa na kamera wanajificha badala ya kukaa hadharani ili watu waache kukimbiza zaidi ya kipimo?
 
trafiki badala ya kuvizia waelimishe, kwanini wanapokuwa na kamera wanajificha badala ya kukaa hadharani ili watu waache kukimbiza zaidi ya kipimo?

Hili la kuvizia kama serikali wanaliona halali, washauriwe wanaolinda mabenki kujificha Ili kuwavutia majambazi mtegoni.
 
Hili la kuvizia kama serikali wanaliona halali, washauriwe wanaolinda mabenki kujificha Ili kuwavutia majambazi mtegoni.
STK,ST ,E STL wanapita na kuwaona hawa watu, kuan watu kwa maksudi wanamhujumu SAMIA, hili jambo si la kufumbia macho, limfikie Raisi.
 
Back
Top Bottom