Tathmini fupi baada ya tamko la Mzee Kinana kuhusu kero ya Polisi wa Usalama Barabarani

Tathmini fupi baada ya tamko la Mzee Kinana kuhusu kero ya Polisi wa Usalama Barabarani

mnalazimisha kinana aeleweke vibaya kinana hakusema traffic watoke barabarani tafadhali,mna akili gani nyie?
 
Umewahi kujiuliza ni kwa nini tunajaza matrafiki kibao barabarani badala ya kujaza CCTV camera kila kona zenye uwezo wa kurekodi madereva wazembe wote barabarani na kupost faini zao kwa mtandao?? Ukifika kwenye check points unatambiwa faini yako na deadline ya kulipa, na usipolipa kwa muda inakula kwako, je si tungekuwa mbali?
 
Umewahi kujiuliza ni kwa nini tunajaza matrafiki kibao barabarani badala ya kujaza CCTV camera kila kona zenye uwezo wa kurekodi madereva wazembe wote barabarani na kupost faini zao kwa mtandao?? Ukifika kwenye check points unatambiwa faini yako na deadline ya kulipa, na usipolipa kwa muda inakula kwako, je si tungekuwa mbali?
hapo sasa nia itakuwa ni kukusanya mapato.
 
FB_IMG_16606483438399941.jpg
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfululizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
 
Salama wandugu
Nimefuatiria wiki mbili mfururizo ajali ni nyingi zinatokea,
Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani,
Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
Wafunge speed gavana.
 
Salama wandugu
Nimefuatiria wiki mbili mfururizo ajali ni nyingi zinatokea,
Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani,
Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
Nadhani jambo la muhimu ni kukarabati barabara zetu na sio kuwarudisha traffic barabarani
 
Ajali tuko kitambo zipo, na zitaendelea kuwepo hata trafic wajae barabarani. Trafic ni kero , Inahitajika elimu kwa madereva na abiria
 
Sisi kama abiria pia tuna tatizo. Siyo kwamba hayuoni uendeshaji mbaya.

Ila tunaamini kuwa kufika salama au siyo salama ni mipango ya Mungu.

Nadhani hata Mungu mwenyewe anatushangaa.

Ni waTanzania wachache labda 1/10 wana uthubutu hata wa kumnong'oneza konda tu kwamba mwambie dereva mwendo huu au uendeshaju huu siyo salama.

Tubadilike!
 
Ajali zitapungua siku ambayo madereva wataamua kuendesha magari kwa kufuata Sheria na taratibu za vyombo vya moto.
Hauwezi kuona hata siku moja speed ya 50 ikasababisha ajali.
Shida mgunduzi wa gari hakuweka limit ndogo ya speed na hapo ndipo anapotumaliza
 
Pana ajali moja iliwahi tokea trafiki akiwepo ndanj ya bus kusindikiza maana kitambo waliwahi anzisha utaratibu wa bus zinazotoka Mbeya Stand ziwe na escort ya Trafiki wanaenda kushukia pale mpakani kati ya Njombe na Mbeya yupo trafiki kwenye ile ajali alipata majeraha sana sikumbuki kama huo utaratibu uliendelea tena...ila ajali nyingi chanzo chake ni miundombinu mibovu na gari zenyewe hazipo sawa pia...wapunguze Kodi watu waache kuendesha magari machakavu kila kukicha yanaferi breki na kuua watu...hiki chanzo kikuu cha ajali wao hawakioni kabisa
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfururizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
Warudi kufanya nini?labda uniambie wapelekwe maeneo hatarishi yaani mfano kwenye milima yote ikiwemo hiyo hatarishi ya mbeya,Kitonga,Salanda,Tunduru huko,Sekenke,Nyang'oro nk...ikibidi gari kubwa zipande mlima kwa muda maalum utakaopangwa

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo traffic wakirudi wengi ndio brek za malori hazitakataa.
Kazi ya traffic ni kukusanya rushwa tena kwa kushindana.
Tuwekeze kwenye satellite traffic systems tuuu. Mleta mada ni traffic mwenye njaa
 
Malori mengi ni mabovu pia barabara nyingi ni mbovu hazina viwango..barabara ua Igawa-Mbeya-Tunduma yani ukifika igawa unasikia kabisa barabara hii ni chakavu..hapo sijazungumzia milima...ya Mbeya na Songwe...
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfururizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
MakinikiA wewe Ni Askari uliyehamishwa kutoka barabarani Sasa njaa imezidi utataka urudishwe utukamue kwa rushwa. Wewe Ni mkuria.
Hizo ajali nyingi zimetokea wapi na wapi?
Kwa mfano ile ajali ya leo Mbeya trafik mla rushwa angeizuiaje ?wakati watu wanasimama kwenye mabasi ya Moro Dar hamyachukulii hatua yoyote kisa virushwa vidogo vidogo.
 
Salama wandugu,

Nimefuatiria wiki mbili mfururizo ajali ni nyingi zinatokea.

Kuna haja ya kuwarudisha hawa jamaa matraffic barabarani.

Kinana tengua kauli yako Barabara zimekuwa bucha zinatisha.
SHERIA ZOTE zinahitaji usimamizi wa utekelezaji wa sheria husika. Na kazi ya kusimamia utekelezaji wa sheria za usalama barabarani ni kazi ya askari wa usalama barabarani.
Wanachotakiwa kuzuiwa hawa askari ni upokeaji wa rushwa siyo kuzuiwa kufanya kazi yao ya kusimamia utekelezaji wa sheria za usalama barabarani.
KIFUPI: Hizi ajali ni matokeo ya siasa kuingilia masuala ya utaalamu.
 
Trafiki wanaombea ajali zitokee kwa kasi ya ajabu
Najiauliza hivi hakuna regulatory board kwa akili ya kukagua ufanisi wa waajiriwa wa serikali? Maana trafiki ni kama wamesusa
 
Back
Top Bottom