MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Makato ya Lazima ya Vyama vya wafanyakazi kwa jina la Ada ya UWAKALA ifutwe.
Kujiunga na Vyama vya wafanyakazi libaki kuwa Jambo la hiari.
Hii ni DHULMA.
Wabunge Wana mishahara ya 3.8M kwanini kiasi kinachoongezwa hawaweki kwenye BASIC kwasababu wanajua kitakatwa.
Mtumishi hatakuja kupata Nyongeza nzuri Kama Nyongeza hiyo hiyo kila mtu ANAISUBIRI.
Kuanzia:
Na Kama Kuna ULAZIMA wa kukata ADA YA UWAKALA, basi kiwango KIWE FLAT RATE na SIYO kwa ASILIMIA Kama ilivyo sasa.
Kujiunga na Vyama vya wafanyakazi libaki kuwa Jambo la hiari.
Hii ni DHULMA.
Wabunge Wana mishahara ya 3.8M kwanini kiasi kinachoongezwa hawaweki kwenye BASIC kwasababu wanajua kitakatwa.
Mtumishi hatakuja kupata Nyongeza nzuri Kama Nyongeza hiyo hiyo kila mtu ANAISUBIRI.
Kuanzia:
- Vyama vya wafanyakazi
- PAYE
- NHIF
- PSSF.
Na Kama Kuna ULAZIMA wa kukata ADA YA UWAKALA, basi kiwango KIWE FLAT RATE na SIYO kwa ASILIMIA Kama ilivyo sasa.