MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Watumishi wa Umma, Toshekeni na mishahara yenu
Wasalamu wana Jf, Katika hizi siku mbili kumekua na mixed feelings kuhusu ongezeko la mshahara lililosubiriwa kwa takribani miezi mi-tatu. Wapo wanaona ongezeko hilo ni dogo na ni mockery kwa "watumishi wa umma", pia wapo wanaodhani hao watumishi hawastahili, si tu ongezeko, bali hata hiyo...