Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo aachane na mambo ya kwenda kwa wataalamu ajaribu kucheza na Vifaa vyake Vya juu na sio chini na ajaribu kupandisha layer zake.Ndio ishamkuta sasa hiyo hali unatakiwa umuelekeze aende wapi?
Lakini kumbuka mtu anayeenda kwa waganga alianza kupata changamoto kwanza kisha ndio akili yake ikamtuma aende kwa waganga ili kutafuta ufumbuzi,mtu hawezi kukurupuka tu kwenda kwa waganga kabla hajapata tatizo,sasa kwa mtu ambaye bado hajawahi kwenda kwa waganga lakini tayari ana hilo tatizo wewe unadhani chanzo itakuwa ni nini?Waswahili wengi au waafrica wanapenda Sana kwenda Kwa waganga na kupiga ramli , anapoona mambo hayaendi anaenda kuogeshwa dawa za Mvuto ,kukubalika n.k
Sasa hizo dawa huwa zikiisha nguvu ule mvuto unakuwa chuki badala ya kupendwa unachukiwa na hizo dawa huwa zinatabia ya kuweka usugu kiasi cha kwamba ikifika muda hata uroge vipi mvuto walk haurudi tena.
Thread 'Upungufu wa kinga za kiroho' Upungufu wa kinga za kirohoLakini kumbuka mtu anayeenda kwa waganga alianza kupata changamoto kwanza kisha ndio akili yake ikamtuma aende kwa waganga ili kutafuta ufumbuzi,mtu hawezi kukurupuka tu kwenda kwa waganga kabla hajapata tatizo,sasa kwa mtu ambaye bado hajawahi kwenda kwa waganga lakini tayari ana hilo tatizo wewe unadhani chanzo itakuwa ni nini?
Atafute mtu wa aina gani?weka wazi yaani aende kwa sheikh,au kwa padri?au kanisani?au msikitini?au kama unashauri aje kwako pia weka wazi ili kijana apate pa kuanziaHapo aachane na mambo ya kwenda kwa wataalamu ajaribu kucheza na Vifaa vyake Vya juu na sio chini na ajaribu kupandisha layer zake.
In short anahitaji apate mtu akae nae amsaidie mambo Kama hayo
Hii kitu niliwahi kuipitia miaka kadhaa, nilipomaliza chuo nilikomaa nikapata kazi kwenye dispensary moja pale tabora mjini huku nikifanya na medical attendant wawili, wale medical attendant walikuwa na chuki hatari hasa kwa vijana wasomi mfano ukiwa na diploma au degree basi utakipata Cha moto mpaka utakimbia mwenyewe......basi kwakuwa Mimi nilikuwa na shida nyingi ilinibidi niwe mvumilivu .kitu Cha kwanza nilipangiwa kusafisha choo kwa siku mara tatu, nilikatazwa kufanya procedure yoyote Ile kwa mgonjwa kwa muda wa mwezi mzima eti niwe chini ya uangalizi wa wale medical attendant, siku NYINGINE nilipangiwa kufagia dispensary nzima mpaka o.p.d...........itaendeleaKupata kazi Tanzania ni kazi na ukishapata hiyo kazi kufanya kazi napo ni kazi!
unasababishwa na nini?Thread 'Upungufu wa kinga za kiroho' Upungufu wa kinga za kiroho
Soma huo Uziunasababishwa na nini?
Binafsi yananitokea Ila kesho yangu yenye kuwaka Kama mbalamwezi naiona kesho, yaani unaweza ukawa unapata mkosi Kama huo Ila kumbe ndio njia ya kukusukuma to another area, ukiwa unaachana na mwanamke usiumie , utakuja kuelewa with time.Huenda hukupangiwa kuajiriwa kufanya kazi, labda ulitakiwa kua mwajiri. Wakati mwingine hua tunang'ang'ania mahali tusipotakiwa kua.
Huo uzi nimeusoma lakini hauwezi kunipatia maswali yangu yanayonijia iko too much general and theoretical.Soma huo Uzi
Tupe code mkuuHapo aachane na mambo ya kwenda kwa wataalamu ajaribu kucheza na Vifaa vyake Vya juu na sio chini na ajaribu kupandisha layer zake.
In short anahitaji apate mtu akae nae amsaidie mambo Kama hayo