Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndugu madocta, nina mdogo wangu wa kiume umri miaka 12 anasambuliwa na tatizo huli..tumetumia njia mbalimbali bt tumeshindwa, plz naomba nisaidiwe coz tunashindwa hata kumpeleka boarding school due to that
Dawa ya Kumtibu Mtoto kukojowa Kitandani Vifaa vyake upate hivi:
Upate Kwato La N'gombe tiya ndani yake Kaa La Moto kisha yule mgonjwa wa kukojowa Kitandani alinuse lile kwato la
N'gombe lilio na Kaa la Moto ndani yake, kisha Avue nguo zake awe uchi Apande juu ya mti kisha juu ya huo mti akojoe
mkojo ushuke chini akisha maliza kukojoa juu
ya mti ashuke chini, afanye hiyo Dawa kwa Muda wa siku 7 kila siku Asubuhi mapema sana atapona kabisa.
Mkuu.@leop Tumia hii dawa kisha uje hapa unipe Feedback
Mmejaribu njia ya kumfunga na mashuka yake aliyoyakojolea na kumtembeza mtaani ikakataa kufanya kazi?
Kikojozi na nguo tuitie motoo huyoooooo aiseee si utani inasaidia sana mtoto asikojoe ebu jaribuni ilo zoezi.
Nina mdogo wangu ana miaka 6 sasa ila bado anakojoa kitandani kwa anayejua dawa tafadhali naomba anijuze
asikudanganye mtu,hamna dawa zaid utapoteza mda tu na hela,miaka 6? bado mdogo sana,me nakumbuka nilikuwa na hali hyo nimeacha nikiwa form 3 tena yenyewe.mwache tu uwe na bidii ya kumuasha usiku na maji anywe mchana
FIMBO ni dawa isiyokua na gharama,zunguka hapo nyuma ya nyumba kata bokara ya mchongoma kisha kampe kutwa mara2,ikishindikana niletee mimi for atleast 5days njoo umchukue akiwa kapona kabisaaaaaa!!!