Tatizo la kukosa hamu ya kula

Tatizo la kukosa hamu ya kula

Yani hizo 40kg zimeongezeka hivi karibuni baada ya kutumia uji wa lishe kwa bidii zote.Before nilikua na 39.
Kipindi nikiwa mjamzito clinic ya mwisho. kabla ya kujifungua nilikuwa na 54kg, baada tu ya kujifungua nikarudi kule kule😂
Nidanganye ili nipate nini mkuu.
Nilichoandika ndio uhalisia,mpaka nimeleta uzi jukwaani,mkuu nimedhamiria kushinda hii hali
Daah pole sana asee...
Kwakua shida ni kukosa appetite na sio kula chakula kidogo hata kama una hamu ya kula basi issue sio Volume ya mwili versus Food Quantity.

Je ushafikiria kwenda kwa daktar kuangalia nini kinafanya huna hamu ya kula muda mrefu?? Kama jibu hapana basi jaribu kumuona. Ushawahi kutumia Vitamin C? Kama ndio Je ilisaidia??

Ushauri kula chakula chenye kiwango kikubwa cha virutubisho si unajua hatuangalii Quantity of Food bali Quality yake ili kujenga mwili.

Laiti tungekua mkoa mmoja ningekutafutia dawa moja ya miti shamba upige bomba. Ingekukokoloa mafuta yote yaliyokugandamana mwilini mwako kuanzia kwenye Koo (Sehemu Lymph nodes zinapotengenezwa) hadi kwenye mishipa na utumbo. Mwenyewe ungekula tu bila kupenda
 
Daah pole sana asee...
Kwakua shida ni kukosa appetite na sio kula chakula kidogo hata kama una hamu ya kula basi issue sio Volume ya mwili versus Food Quantity...
last year nilionana na mtaalamu wa lishe,yeye alinishauri vyakula tofauti tofauti ambavyo ninapaswa kula.

Vitamin C nimetumia pia,nikitumia ninakula vizuri lakini baada ya kumaliza doze shida iko pale pale

Kuhusu dawa ya mitishamba,naomba kwa ridhaa yako nije Pm,kama hutojali unitumie hata kwenye basi.
 
last year nilionana na mtaalamu wa lishe,yeye alinishauri vyakula tofauti tofauti ambavyo ninapaswa kula.

Vitamin C nimetumia pia,nikitumia ninakula vizuri lakini baada ya kumaliza doze shida iko pale pale
Usichuke kuwaona wataalam wa lishe lakini.
Kuhusu dawa ya mitishamba,naomba kwa ridhaa yako nije Pm,kama hutojali unitumie hata kwenye basi.
Unajua kupiga bomba lakini maana nyie wa dar..
FB_IMG_16211448500902262.jpg
 
Daah pole sana asee...
Kwakua shida ni kukosa appetite na sio kula chakula kidogo hata kama una hamu ya kula basi issue sio Volume ya mwili versus Food Quantity.
...Je ushafikiria kwenda kwa daktar kuangalia nini kinafanya huna hamu ya kula muda mrefu?? Kama jibu hapana basi jaribu kumuona.
..Ushawahi kutumia Vitamin C??? Kama ndio Je ilisaidia??

Ushauri kula chakula chenye kiwango kikubwa cha virutubisho si unajua hatuangalii Quantity of Food bali Quality yake ili kujenga mwili.

Laiti tungekua mkoa mmoja ningekutafutia dawa moja ya miti shamba upige bomba. Ingekukokoloa mafuta yote yaliyokugandamana mwilini mwako kuanzia kwenye Koo (Sehemu Lymph nodes zinapotengenezwa) hadi kwenye mishipa na utumbo.
Mwenyewe ungekula tu bila kupenda

Usichuke kuwaona wataalam wa lishe lakini.

Unajua kupiga bomba lakini maana nyie wa dar..
View attachment 1970558
Sawa mkuu sitachoka.

Kupiga bomba ndio nini mkuu?😊
 
Sawa mkuu sitachoka.

Kupiga bomba ndio nini mkuu?😊
Unaona sasa.😅😅
Unachukua dawa kwa ajili ya tatizo lako unaichemsha kisha unasubiri ipoe kidogo kisha unachukua huo mpira alioshika huyo mama hapo unavuta dawa kisha uningiza bomba lake kwenye anal. Baada ya hapo utatoa kila uchafu ulio tumboni kwa kuharisha😅😅
Ningekua naweza ningewaletea hizi dawa wanaume wa dar.. matatizo yao yale ya nguvu fulani wangezisikia bombani
 
Unaona sasa.😅😅
Unachukua dawa kwa ajili ya tatizo lako unaichemsha kisha unasubiri ipoe kidogo kisha unachukua huo mpira alioshika huyo mama hapo unavuta dawa kisha uningiza bomba lake kwenye anal. Baada ya hapo utatoa kila uchafu ulio tumboni kwa kuharisha😅😅
Ningekua naweza ningewaletea hizi dawa wanaume wa dar.. matatizo yao yale ya nguvu fulani wangezisikia bombani
hiyo dozi hapana boss,😂😂
 
Unaona sasa.😅😅
Unachukua dawa kwa ajili ya tatizo lako unaichemsha kisha unasubiri ipoe kidogo kisha unachukua huo mpira alioshika huyo mama hapo unavuta dawa kisha uningiza bomba lake kwenye anal. Baada ya hapo utatoa kila uchafu ulio tumboni kwa kuharisha😅😅
Ningekua naweza ningewaletea hizi dawa wanaume wa dar.. matatizo yao yale ya nguvu fulani wangezisikia bombani
ikipatikana ya kunywa unijulishe
 
Unaona sasa na ndio mfumo mzuri wa dawa kwa magonjwa mengi ya tumboni. Wachina na Wajapan wanatumia sana hii njia asikuambie mtu. Basi tu ubishoo wenu magonjwa yanabaki yanawasumbua.
😂😂 sio ubishoo mkuu
 
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku.

Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana,nashiba.

Hili limekua tatizo la miaka na miaka lakini kadri siku zinavyoenda hali inazidi tete kiasi nakosa amani,Nitumie nini ili niwe ninapata apetite ya chakula

NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151cm
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
sina experience sanaaa na hiki kitu japo naweza kushauri ktk upande wa namna gan waweza kupata hamu ya kula

kwanza tenga ratiba maalumu ya kula yenye uwiano sawa wa muda ili uupe mwili muda wa kutosha ya kufanya mmeng'enyo wa ulivyokuwa

pili wanawake wengi mna tabia ya kula na kupumzika workout rate yenu iko chini sanaaa so chakula unachokula most of time kinaenda rundikana mwlini so jtaidi japo n ngumu kwa mwanamke ufanye vmazoezi kdgo walau hadi utoke jasho maana ufanyapo vile kula calories unaunguza mwlini zinaotokana na chakula ulichokula na hapo hapo mwli utakuwa hydrated na kupoteza nguvukani ya kutosha so lazma ifike hatua io nguvu iitajike tena uweze kurudi ktk hali yako ya kawaida na tunaipata vp io nguvu ilipotea n kupitia kula

Njia nyingne nnayoweza kushauri tafta kampani wakati wa kula usipende kula peke ako kula na mwenzio alie na appititte inakupa morali ya ww kula pia shida ya kula peke ako sometimes unaweza kuwa unakula una stress au msongo wa mawazo maana kulingana na maisha yetu ya kila siku tunakumbana na mengi so unapokuwa na mwenzio chakula huku story za hapa na pale inachange attitude ako

Na mwsho naweza kushauri jarbu kuwa wabadiri chakula usizoee kula chakula cha aina moja hii huleta saikolojia mbaya ktk appititte inafika hatua hujala wala kupika ukijua n chakula fulani waona ushamaliza kila kitu na sometimes jipe hata outing uende sehemu watu wanakula join nao piga misosi

Na cha kuongezea kdgo japo sio muhmu kivileee...waweza kwenda hospital mfumo wako wa chakula ka uko poa na mwili unatoa vichocheo kwa hali ya kawaida ktk umeng'enyaji wa chakula maana waweza kuwa una minor faults ktk mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula

ukiweza zingatia tips hata 2 ktk izo utaona mabadiriko
 
Tatizo langu mimi sio kukosa hamu ya kula ila ninahisi njaa ila ukila kidogo tu tumbo limejaa. Urefu wangu ni 180cm na kwa muda mrefu nimekua na weight ya 62 kg, this year at least zimefika 67kg ingawa haikua kazi nyepesi..

Ingawa sipo underweight ila kwa urefu wangu at least natakiwa niwe na 72 kg. Wasiwasi niliokua nao it is easy for me kurudi 62 kg kuliko kwenda 72 kg bila hata sababu ya msingi.​
 
sina experience sanaaa na hiki kitu japo naweza kushauri ktk upande wa namna gan waweza kupata hamu ya kula

kwanza tenga ratiba maalumu ya kula yenye uwiano sawa wa muda ili uupe mwili muda wa kutosha ya kufanya mmeng'enyo wa ulivyokuwa

pili wanawake wengi mna tabia ya kula na kupumzika workout rate yenu iko chini sanaaa so chakula unachokula most of time kinaenda rundikana mwlini so jtaidi japo n ngumu kwa mwanamke ufanye vmazoezi kdgo walau hadi utoke jasho maana ufanyapo vile kula calories unaunguza mwlini zinaotokana na chakula ulichokula na hapo hapo mwli utakuwa hydrated na kupoteza nguvukani ya kutosha so lazma ifike hatua io nguvu iitajike tena uweze kurudi ktk hali yako ya kawaida na tunaipata vp io nguvu ilipotea n kupitia kula

Njia nyingne nnayoweza kushauri tafta kampani wakati wa kula usipende kula peke ako kula na mwenzio alie na appititte inakupa morali ya ww kula pia shida ya kula peke ako sometimes unaweza kuwa unakula una stress au msongo wa mawazo maana kulingana na maisha yetu ya kila siku tunakumbana na mengi so unapokuwa na mwenzio chakula huku story za hapa na pale inachange attitude ako

Na mwsho naweza kushauri jarbu kuwa wabadiri chakula usizoee kula chakula cha aina moja hii huleta saikolojia mbaya ktk appititte inafika hatua hujala wala kupika ukijua n chakula fulani waona ushamaliza kila kitu na sometimes jipe hata outing uende sehemu watu wanakula join nao piga misosi

Na cha kuongezea kdgo japo sio muhmu kivileee...waweza kwenda hospital mfumo wako wa chakula ka uko poa na mwili unatoa vichocheo kwa hali ya kawaida ktk umeng'enyaji wa chakula maana waweza kuwa una minor faults ktk mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula

ukiweza zingatia tips hata 2 ktk izo utaona mabadiriko
Mkuu ubarikiwe sana sana, tips ulizonipa zote ni njema na nimegundua ni wapi nilikua ninakosea , nimechagua tips 2.
Asante sana
 
Tatizo langu mimi sio kukosa hamu ya kula ila ninahisi njaa ila ukila kidogo tu tumbo limejaa. Urefu wangu ni 180cm na kwa muda mrefu nimekua na weight ya 62 kg, this year at least zimefika 67kg ingawa haikua kazi nyepesi..

Ingawa sipo underweight ila kwa urefu wangu at least natakiwa niwe na 72 kg. Wasiwasi niliokua nao it is easy for me kurudi 62 kg kuliko kwenda 72 kg bila hata sababu ya msingi.​
Yani siku ikatokea nimefikisha hata 45kg,uwii! nitaruka ruka kama ndama kwa furaha😂
 
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku.

Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana,nashiba.

Hili limekua tatizo la miaka na miaka lakini kadri siku zinavyoenda hali inazidi tete kiasi nakosa amani,Nitumie nini ili niwe ninapata apetite ya chakula

NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151cm
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
Lily pole mama.. fanya kufata mashauri ya wataalum kilo 44 kwa umri wako si nzuri kabisa!!
Hali ya kupoteza hamu ya kula huwatokea wengi hata mimi Kuna kipindi hamu ilikata mpk nikawa najishangaa ila kilo hazijawahi kushuka kiwango hicho!.
Sahivi napakia mpaka naitwa propera..🤣🤣
Halafu kula tu si kula bali kula ukijua unakula nini..?? Anza kucheki unachokula punguza vyakula vya kisasa haraka sana acha kunywa na hizi kemikali za viwandani stop it. Huu ndo muda wa kupiga natural food ambavyo havijafanyiwa manuva ya kutosha,Mimi naimani chakula huwa ni tiba ya vitu vingi sana so hatua ya kwanza cheki milo yako palipo na tatizo badili then cheki hatua nyengine Kama Kuna dawa tumia,naomba na Lita za maji uziongeze halafu chengine jitoe tu ukapime magonjwa lukuki huenda Kuna kitu hakipo sawa mwili.
 
Back
Top Bottom