PM yuko busy kuwarudishia mazingira kwenye Mradi wa MwendokasiMaxi maninini vile wanataka kurudi kwa mlango wa nyuma.
Hii ni hasara kubwa Tanesco watapata ndani ya siku hizo kwa kushindwa kuuza luku kwenye vituo na kupitia simu.
Ni hatari sanaπ€£π€£π€£Mwendazake Alituonya..... Mushi...Njau....
Hujui kitu kinacho itwa data center. usifikiri una click tu nextKwanini wasielezee ndani ya masaa matatu? Siku kumi ni kuwapa mwanya kupanga mengi ya kudanganya tu..
TEHAMA ni papo papo.. hakuna ya masiku
Poleni msio na umeme majumbani kwenu.
Kazi iendelee..
PM yuko busy kuwarudishia mazingira kwenye Mradi wa Mwendokasi
Mimi naogopa hata kujaribu tena....sijui Kama hela zetu zitarudi jamani daah!Nimepoteza hela kwa mpigo mmoja!! Sijapata Token wala tako!! Na refund sijakuona hadi muda huu...
πππππ nimecheka kwa sauti hata mm hilo lakusimamishwa siku kumi limenishangaza.....tatizo nchi ina unafiki mwingi unaopelekea kuoneana aibu kama unasimamisha mtu simamisha bora hata sijui wangetumia lugha gani ila kusimamisha kwa siku 10 hicho kitu hakipo.Tangu tupate Uhuru sijawahi kusikia mtumishi anasimamishwa kaxi kwa siku 10. Sheria unasemaje? Medard kalemani na doto biteko mtamsumbua huyu mama sana.
Aliyemsimamisha kaxi kwa siku 10 ana PhDπππππ nimecheka kwa sauti hata mm hilo lakusimamishwa siku kumi limenishangaza.....tatizo nchi ina unafiki mwingi unaopelekea kuoneana aibu kama unasimamisha mtu simamisha bora hata sijui wangetumia lugha gani ila kusimamisha kwa siku 10 hicho kitu hakipo.
Teh teh tehSasa hao waliokua wanalijua tatizo wamesimamishwa...wakiwekwa wengine waanze tena kutafuta tatizo liko wapi
Tunawasihi muwe wavumilivu wakati mabosi wa tehama wakibadilishana mafaili ya tatizo lenyewe, shida ya matatizo ya tehama yanaweza kutatuliwa ndani ya dakika 10 au siku 10 au miezi 10, mkituharakisha ndio tunaweza kuharibu zaidi π€£ππ€ΈWakisimamishwa nani atafanya kazi wanayopaswa kuifanya kipindi hiki Cha Dharura??
KUNA WATU WANALIUJUMU DUKA LANGU LA SAMAKIKUNA WATU WANAIHUJUMU TANESCO.
WAZIRI MEDARD, CHUNGUZA ZAIDI.
KUNA WATU WANAIHUJUMU SERIKALI.
MH. RAISI CHUNGUZA ZAIDI.