SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Haya ni matusi makubwa tu dhidi ya Nchi yetu. Jamii zetu, mila zetu, jadi zetu, yaani Tamaduni zetu.
Ni watu wa Nchi gani hizo ambazo hawawaandai watoto zao kuwa Viongozi?
Ni mzazi gani huyo ambaye hataki mwanae apate mafanikio?
Hatahivyo
Uingereza? Huko ndiko mambo haya yapo zaidi likija la 'nepotism' The Churchills, The Johnsons hata Wajerumani...The Merkels
Marekani ndio usiseme: Historia haiozi-Familia za Raisi wa pili wa Marekani John Adams mwanae baadae akawa Raisi, kuna Bill Clinton na Mkewe na mtoto wao Chelsea nae yumo mumohumo. The Bushes, The Kennedys, The Roosevelts, hata Donald Trump yumo. Kuanzia wanawe mpaka wakwe...na listi ni kubwa tu tunaweza kesha hapa kuwataja wote.
Chakushangaza zaidi....
CHADEMA kupitia mamluki wao kutoka nje ya nchi yetu Erythrocyte wanaleta siasa za Nje kutuvuruga. Deflecting and Blaming matatizo ya nepotism ya kwao na kuyafanya ya kwetu.
I say BOGUS.
Ukweli ni huu, ukilinganisha na Afrika utaona tulikuwa na mwenendo tofauti kabisa.
Mifumo yetu ya kijimuiya au ya kikabila haikuruhusu 'Nepotism'
Nani anabisha?
Itoshe, wakoloni walivyokuja, walivuruga mifumo yetu ya jadi. Mifumo ya Kiserikali, Mifumo ya Demokrasia... Sio hivyo tu, wakoloni ndio walioleta mifumo hii ya upendeleo na athari zake zinaonekana sasa.
Nani anabisha?
Ni hivi, mizizi ya Nepotism yametokea Ulaya, na ndipo huko mnataka tufuate mpaka tamaduni na jadi zao, eti ndio tupate maendeleo, sasa haya yanatokea, mnatukana Jamii zetu! Hamtaki mliyotufundisha?
Hata neno nepotism limetoka Ulaya🙌🏾
Nyie CHADEMA na mamluki wenu wacheni kuleta za kuleta.
Uzeni Sera msikilizwe na sio kulalama lalama wakati wote.
Ni watu wa Nchi gani hizo ambazo hawawaandai watoto zao kuwa Viongozi?
Ni mzazi gani huyo ambaye hataki mwanae apate mafanikio?
Hatahivyo
Uingereza? Huko ndiko mambo haya yapo zaidi likija la 'nepotism' The Churchills, The Johnsons hata Wajerumani...The Merkels
Marekani ndio usiseme: Historia haiozi-Familia za Raisi wa pili wa Marekani John Adams mwanae baadae akawa Raisi, kuna Bill Clinton na Mkewe na mtoto wao Chelsea nae yumo mumohumo. The Bushes, The Kennedys, The Roosevelts, hata Donald Trump yumo. Kuanzia wanawe mpaka wakwe...na listi ni kubwa tu tunaweza kesha hapa kuwataja wote.
Chakushangaza zaidi....
CHADEMA kupitia mamluki wao kutoka nje ya nchi yetu Erythrocyte wanaleta siasa za Nje kutuvuruga. Deflecting and Blaming matatizo ya nepotism ya kwao na kuyafanya ya kwetu.
I say BOGUS.
Ukweli ni huu, ukilinganisha na Afrika utaona tulikuwa na mwenendo tofauti kabisa.
Mifumo yetu ya kijimuiya au ya kikabila haikuruhusu 'Nepotism'
Nani anabisha?
Itoshe, wakoloni walivyokuja, walivuruga mifumo yetu ya jadi. Mifumo ya Kiserikali, Mifumo ya Demokrasia... Sio hivyo tu, wakoloni ndio walioleta mifumo hii ya upendeleo na athari zake zinaonekana sasa.
Nani anabisha?
Ni hivi, mizizi ya Nepotism yametokea Ulaya, na ndipo huko mnataka tufuate mpaka tamaduni na jadi zao, eti ndio tupate maendeleo, sasa haya yanatokea, mnatukana Jamii zetu! Hamtaki mliyotufundisha?
Hata neno nepotism limetoka Ulaya🙌🏾
Nyie CHADEMA na mamluki wenu wacheni kuleta za kuleta.
Uzeni Sera msikilizwe na sio kulalama lalama wakati wote.