seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 683
- 811
Hii kitu ni adabuPiga katerero. Maji lazima yaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu ni adabuPiga katerero. Maji lazima yaje.
Olive oil unatumia kama kilainishi au unatumia kama dawa/tiba?Hili la kutopendwa limekaaje?
Inawezekana labda muanzisha Uzi, tuelezee kidogo.
Huenda kweli hana hisia sababu anawaza ex wake.
Lakini ni dhahiri Wapo wanawake wakavu, kwa usalama tumie mafuta ya mzeituni kingereza inaitwa olive oil... Utafanikiwa.
Kila la kheri Mkuu.
Inasikitisha sana kwa kweli...Ushawahi kukutana na mwanamke ana uke mkavu sana yani hana ute,tatizo linasababishwa na nin? tiba yake ni ipi? mana unatumia mate weeee kulainisha njia mpk yanakauka mdomoni...
Bado hajapata mtoto. Pia, ana tatizo la kupta maumivu makali sana tena sana wakati wa hedhi.Pole sana mkuu kwa tatzo hilo, Binafsi mie nilikuwa mhanga wa tatzo hilo kwa wf wangu, Note kwa vladimirovich putin kajaribu kuelezea vzur sana Na chukua tahadhari ya King ngwaba.
Nashindw kukupa maelezo mazuri kwa sababu sielew kama ni mchumba au mke? ,Ameshapata mtoto au lah?
Kwa nini nimeuliza yote haya kwa sababu, wangu alikuwa muoga sana kupitia ile hofi yake hakuwahi kuzoea kabsaa hivyo basi ikamfanya kuwa na mawazo sana pale tu akijua jambo hilo linaenda kutokea maana yake hofu ilizidi sana. Hivyo basi wenda wako pia ni mawazo au kuna jambo linamsumbua.
Hii hali mara nyingi huisha anapojfungua
Nawasilisha
Duuu yaan tatzo hli hata wife analo. Uke kuwa mkavu, hisia hanazo nyingi, wakati wa hedhi shida tupu tatizo kubwa zaidi anadaka mimba zinatoka tu. Sometimes anaweza jikuta na dalili zote za kuwa mama kijacho lkn ghafla hali hyo hutoweka.noted,umenifungua macho kidogo,kuna tatizo ambalo analo la kuapata maumivu makali sana yasiyokawaida wakati wa hedhi yani anaumwa mpk unamuonea huruam na mara nyingi hutumia diklopa kutulia maumivu hayo namkataza but anatumia kwa siri sana....huenda hii ikawa ni moja ya sababu?
Si wote wenye hilo tatizo na pia so wote wanaweza kuihitaji. Ila kifupi anatakiwa apate kahawa tu.kwa manufaa ya jukwaa hili ongea hapahapa km ni biashara tangaza bei ya dawa yko hapa.
Mweke chemba mbane akuambie ukweli. Ni mimba ngapi alitoa utotoniDuuu yaan tatzo hli hata wife analo. Uke kuwa mkavu, hisia hanazo nyingi, wakati wa hedhi shida tupu tatizo kubwa zaidi anadaka mimba zinatoka to. Sometimes anaweza jikuta na dalili zote za kuwa mama kijacho lkn ghafla hali hyo hutoweka.
Tumia kama kilainishi. Haya mafuta hayana madhara.Olive oil unatumia km kilainishi au unatumia km dawa/tiba?
Mi nilishajua hayo pia hivyo Fanya hima apate tiba. Hospitali nyingi saivi wababaishaji wengi sana. Ila hilo si tatizo kubwa sana kama utalichukulia hatua. Ana homon imbalance huyo.noted,umenifungua macho kidogo,kuna tatizo ambalo analo la kuapata maumivu makali sana yasiyokawaida wakati wa hedhi yani anaumwa mpk unamuonea huruam na mara nyingi hutumia diklopa kutulia maumivu hayo namkataza but anatumia kwa siri sana....huenda hii ikawa ni moja ya sababu?
Noted, umenifungua macho kidogo, kuna tatizo ambalo analo la kuapata maumivu makali sana yasiyokawaida wakati wa hedhi yani anaumwa mpk unamuonea huruam na mara nyingi hutumia diklopa kutulia maumivu hayo namkataza but anatumia kwa siri sana....huenda hii ikawa ni moja ya sababu?
Yes SirMweke chemba mbane akuambie ukweli. Ni mimba ngapi alitoa utotoni
Asante sana Vladimirovich Putin.....umenipa mwanga wa kutosha sana mkuuHahahaa mkuuu unazengua sana nahuyo demu wako naye hajipendi .
Yaaan unaona anapata maumivu makali wakati Wa hedhi then hamfanyi jitihada ?
Kwaufupi niivi , Dysmenorrhea ( maumivu wakati wahedhi) yanaweza kua ni primary -haya niyakawaida .
Kwauyo demu wako imeshakua secondary Dysmenorrhea ambayo inasababishwa na vitu vingi.
Lkn kikubwa ni Pale Cervix inapoaanza kua narrowed kitaalam inaitwa Stenosis ,, sasa hii hali huchochewa sana na UPUNGUFU WA ESTROGEN.
HIVYO BASI , KAMA ATAKUA NA SECONDARY DYSMENORRHEA ,ACHA KUSUMBUKA SIJUI UMAPAPASE ,UMWANDAE ,UKE WAKE HAUTOKAA ULAINIKE NGOOOOOOOOOOO.
KWASABABU ,UWEPO WA SECONDARY DYSMENORRHEA ,UMESABABISHWA NA UPUNGUFU WA ESTROGEN ,,NAHUU UPUNGUFU ,NDIO UTAKAOENDELEA KUFANYA *UKE* WA DEMU WAKO KUA MKAVU THROUGHOUT HER ENTIRE LIFE
embu hakikisha kesho unaenda naye Hospital ,tena mshike mkono.
Ukifatilia sana ,utagundua ,hatA mkojo wake ni mchungu na wanjano
Asante Madimba jr
Wapo asee wa hivi hata mi shuhuda. Unahis kapiz kbs hadi anavibrate lakini bado mkavu kbs.Anafika mara 5 hadi 8 halafu bado mkavu, hivi kuna aina ngapi za kufika bila kuloana, huyo atakuwa hakupendi na wala humfikishi hata kama ni mkeo believe me or not
noted,umenifungua macho kidogo,kuna tatizo ambalo analo la kuapata maumivu makali sana yasiyokawaida wakati wa hedhi yani anaumwa mpk unamuonea huruma na mara nyingi hutumia diklopa kutulia maumivu hayo namkataza but anatumia kwa siri sana huenda hii ikawa ni moja ya sababu?
Wanaosema maandalizi sio kweli, wengine ni hatarii hata umwandae vp na kuzama chumvini vp analowa ukizamisha kidogo tu pakavu kama hukupagusa.