Nikiwa Morogoro saluni fulani siwezi kuitaja jina mara nyingi huwa napendelea kwenda kunyoa nikiwa huko,kuna kinyozi wa hiyo saluni aliniambia:
Brother hii magic sio nzuri kiafya maana kuna wateja wangu watatu walikuwa wanatumia kunyoa nywele(kipara)kwa kutumia magic walifariki na karibu wote watatu vifo vyao vilifanana.Kwa mujibu wa mtoa taarifa ni kwamba waliumwa vichwa sana kabla ya umauti kuwafika.
My take:
Kwa akili ya kawaida tu bila kuwa mtaalamu wa afya,inakuwaje nywele na ugumu wake hata uifukie chini miaka haiozi lkn ije kutoka kwa kukwangua tu baada ya nusu saa?
Wazungu wanatuua,cha kushangaza kwenye kopo la magic powder pameandikwa:FOR BLACK SKIN ONLY!