Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

Tatizo la upokeaji wa maombi ya wanafunzi Elimu ya Juu

Nadhani lazima uwe na birth verification number ya Rita ndio ujaze pale au mnajazaga nn
Kuna kutuma post baada ya kumaliza kufanya application online ? Na kama hakuna birth certificates una appload wapi Ile kiwe kwenye complete form
 
kwenye birth certification verification number,
Ingia kwenye eRITA portal (ilituyotumia kufanya verification ya cheti cha kuzaliwa) utaona Application code hiyo ndo verification number ya cheti cha kuzaliwa kwa mwisho inaishia na BV (eg 2323....BV).
Details zingine jaza kawaida, hii sehemu ya cheti inakuwa detected na system, ukikosea haitakubali.
Vipi mwaka huu form zinatumwa Post na je kuna sehemu ya ku upload ile certificate copy ya birth certificate Ili iwe kwenye complete form mwisho kabla huja submit
 
Sawa !
Page namba 7 umeisoma baada ya kuprint hiyo fomu Yako ?
Kuna list of attachments za kuambatanisha, Sasa nauliza mfano certified copy ya birth certificate unai attach wapi ili u-submit
Labda unaaply bodi nyingine sio ya heslb ukimaliza utaona Kuna fomu utaprint soma maelekezo
 
Uki
Sawa !
Page namba 7 umeisoma baada ya kuprint hiyo fomu Yako ?
Kuna list of attachments za kuambatanisha, Sasa nauliza mfano certified copy ya birth certificate unai attach wapi ili u-submit
just verificarion no.
 
Baada ya kuongeza BV kwenye birthday vérification imestuck mazima hata nimejaribu kurefresh nothing happened
 

Attachments

  • Screenshot_20230820-110116.jpg
    Screenshot_20230820-110116.jpg
    30.5 KB · Views: 17
ingia google eRITA Portal (https://erita.rita.go.tz/birth) utafanya registration kwa kuingiza detail zake, mfumo utakuelekeza kila kitu, uta upload cheti chake cha kuzaliwa watakupa control no. then utailipia (3,500 tzs), utasikilizia kama siku moja au mbili itategemeana na wao, itakuwa approved, kisha utaidownload.
ukirudi kwenye mfumo wa heslb, birth verification number ni namba ya kumbukumbu iliyopo kwenye risiti baada ya malipo inayoishia na BV (123...BV) sawa na Appplication code kwenye eRITA portal.
Nimefanya kila kitu na kukesha na kesha. Kama unaweza kunisaidia tafadhari.
 
Back
Top Bottom