Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Unakwama wapi?Nimefanya kila kitu na kukesha na kesha. Kama unaweza kunisaidia tafadhari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakwama wapi?Nimefanya kila kitu na kukesha na kesha. Kama unaweza kunisaidia tafadhari.
Nakwema kwenye kusubmit kwenye hatua ya demographic, inaload mda wote.Unakwama wapi?
Nitajaribu mkuuNimefanikiwa baaada ya kufail mara nying nifanya kupress reverse my application then nikajaza demographic information after hapo imekubal
Nimevuka demographic, issue tena mdhamini ..inazunguka tu..picha na NIDA uploaded successfully.Yes nilifanikiwa. Baada ya kuingiza namba ya cheti kilichohakikiwa, hapohapo system ikatambua ni cha nani. Nika submit na kwenda hatua nyingine.
Hapo akikisha Iko kipengele Cha verfication code kina load na kuleta jina la mwombaji ukiona inashindwa kufech jina Jua ni mtandao auwezi kuendelea mbele mbaka hapo pa fix na ukiforce kuendelea mbele ndo itaload Hadi kesho bila mafanikioNakwema kwenye kusubmit kwenye hatua ya demographic, inaload mda wote.
Hyo network tuNimevuka demographic, issue tena mdhamini ..inazunguka tu..picha na NIDA uploaded successfully.
Any update or network tu
Jina la mwombaji linakuja tena kwa haraka likisindikizwa na alama ya tik ya kijani lkna abadoHapo akikisha Iko kipengele Cha verfication code kina load na kuleta jina la mwombaji ukiona inashindwa kufech jina Jua ni mtandao auwezi kuendelea mbele mbaka hapo pa fix na ukiforce kuendelea mbele ndo itaload Hadi kesho bila mafanikio
Oky kama uko kote umefanikiwa log out alafu log in utaona mabadiliko itakuruhusu kuendelea na hatua nyingine. Kama bado screenshot task bar yako ya icho kipengele weka hapa Tuone ndo tutajua zaidi shida niniJina la mwombaji linakuja tena kwa haraka likisindikizwa na alama ya tik ya kijani lkna abado
unakwama stage ipiNimefanya kila kitu na kukesha na kesha. Kama unaweza kunisaidia tafadhari.
Ingiza datails kwa ilivyo kwenye kitambulishi kwa mfano ID mpiga kura T-230....Nimevuka demographic, issue tena mdhamini ..inazunguka tu..picha na NIDA uploaded successfully.
Any update or network tu
Oky kama uko kote umefanikiwa log out alafu log in utaona mabadiliko itakuruhusu kuendelea na hatua nyingine. Kama bado screenshot task bar yako ya icho kipengele weka hapa Tuone ndo tutajua zaidi shida nini
Umesema fomu haitumwi posta mkuu??