Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
Kuna kutuma post baada ya kumaliza kufanya application online ? Na kama hakuna birth certificates una appload wapi Ile kiwe kwenye complete formNadhani lazima uwe na birth verification number ya Rita ndio ujaze pale au mnajazaga nn
Vipi mwaka huu form zinatumwa Post na je kuna sehemu ya ku upload ile certificate copy ya birth certificate Ili iwe kwenye complete form mwisho kabla huja submitkwenye birth certification verification number,
Ingia kwenye eRITA portal (ilituyotumia kufanya verification ya cheti cha kuzaliwa) utaona Application code hiyo ndo verification number ya cheti cha kuzaliwa kwa mwisho inaishia na BV (eg 2323....BV).
Details zingine jaza kawaida, hii sehemu ya cheti inakuwa detected na system, ukikosea haitakubali.
HapanaVipi mwaka huu form zinatumwa Post na je kuna sehemu ya ku upload ile certificate copy ya birth certificate Ili iwe kwenye complete form mwisho kabla huja submit
HapanaVipi mwaka huu form zinatumwa Post na je kuna sehemu ya ku upload ile certificate copy ya birth certificate Ili iwe kwenye complete form mwisho kabla huja submit
Ila kwenye form wanasema uambatanishe hizo copy inakuwajeHapana
Labda unaaply bodi nyingine sio ya heslb ukimaliza utaona Kuna fomu utaprint soma maelekezoIla kwenye form wanasema uambatanishe hizo copy inakuwaje
Labda unaaply bodi nyingine sio ya heslb ukimaliza utaona Kuna fomu utaprint soma maelekezo
Kwel ukiisoma hile page Ina maelezo hayo ila kwa kuwa mwaka huu fomu aitumwi posta wewe fanya kama aujapaonaSawa !
Page namba 7 umeisoma baada ya kuprint hiyo fomu Yako ?
Kuna list of attachments za kuambatanisha, Sasa nauliza mfano certified copy ya birth certificate unai attach wapi ili u-submit
Shida nyingine ipo kwnye signed pages nime-submit ila haipigi tick ya kijaniKwel ukiisoma hile page Ina maelezo hayo ila kwa kuwa mwaka huu fomu aitumwi posta wewe fanya kama aujapaona
Hapo ikikuambia tu already submitted ndo teyar inaleta tiki ya njano auji ya kijani hapo hla inakuwa teyar imeenda hiyo usiwe na wasi IT wa bodi mwaka huu wamejichanganya sanaShida nyingine ipo kwnye signed pages nime-submit ila haipigi tick ya kijani
just verificarion no.Sawa !
Page namba 7 umeisoma baada ya kuprint hiyo fomu Yako ?
Kuna list of attachments za kuambatanisha, Sasa nauliza mfano certified copy ya birth certificate unai attach wapi ili u-submit
Yes nilifanikiwa. Baada ya kuingiza namba ya cheti kilichohakikiwa, hapohapo system ikatambua ni cha nani. Nika submit na kwenda hatua nyingine.Kaka ulifanikiwa hapa
Issue sio kuongeza issue ni umecopy birth verification no. Kma ulivyopewa na Rita?Baada ya kuongeza BV kwenye birthday vérification imestuck mazima hata nimejaribu kurefresh nothing happened
HongeraYes nilifanikiwa. Baada ya kuingiza namba ya cheti kilichohakikiwa, hapohapo system ikatambua ni cha nani. Nika submit na kwenda hatua nyingine.
Yeah nimecopy kama ilivyo na imeleta jinaIssue sio kuongeza issue ni umecopy birth verification no. Kma ulivyopewa na Rita?
Hlfu umekwama wapiYeah nimecopy kama ilivyo na imeleta jina
Kwenye kusubmit inaload tuHlfu umekwama wapi
Task bar yako inakua kama hivi uku log out na ku log in ?Kwenye kusubmit inaload tu
Nimefanya kila kitu na kukesha na kesha. Kama unaweza kunisaidia tafadhari.ingia google eRITA Portal (https://erita.rita.go.tz/birth) utafanya registration kwa kuingiza detail zake, mfumo utakuelekeza kila kitu, uta upload cheti chake cha kuzaliwa watakupa control no. then utailipia (3,500 tzs), utasikilizia kama siku moja au mbili itategemeana na wao, itakuwa approved, kisha utaidownload.
ukirudi kwenye mfumo wa heslb, birth verification number ni namba ya kumbukumbu iliyopo kwenye risiti baada ya malipo inayoishia na BV (123...BV) sawa na Appplication code kwenye eRITA portal.