Ni science gani inayosema kuwa masturbation inasababisha bao moja? Unayozungumza hapa ni mambo ya kijiweni tu. Hakuna utafiti wowote wa kitaaluma unaokubali unayosema.
Zakumi,
Mambo mengine ni ya kutumia akili ya kawaida tu....lakini hata kama unaona ni sayansi ya vijiweni, poa; vijiweni nako kuna vichwa! Ngoja nikuulize....Hivi unaweza kufanya masturbation ukawa unapiga bao tatu au nne at any given time unayoamua kujistarehesha? Binafsi, nazani ni jambo gumu....nashawishika kuamini kwamba wengi wao wanaopiga masturbation wanapiga bao moj, PERIOD!
So, kama umedumu na hii tabia na kila unapoenda unapiga bao moja, biashara inaisha! Unatarajia matokeo gani kwenye ubongo wako? Unakumbuka ile simulizi ya Mwanasayansi wa Urusi ambae kila alipokuwa anampa mbwa chakula, alikuwa anapiga kengele! Ikafika wakati, kila kengele inapolia, mbwa yule anaanza kutoka maudenda coz' ameshakuwa conditioned kwamba inapolia kengele, means chakula! The same principle inayotumika kwenye Panya wa SUA wanao-detect TB! Hawa wanakuwa conditioned! Sasa kama wewe mwenyewe umeji-condition kupiga bao moja moja,(as i said, more often than not, musturabation watu wanapiga bao moja moja!) unatarajia ukikutana na mwanamke utapiga bao zaidi ya moja?!
Si kila ambacho hakijakuwa proved scientifically ni kwamba doesn't exist!