ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Njia za uzazi mpango zinawafanya wawe madume kihisia na ki homone hata kuwafikisha kileleni ngumu coz una do na dume mwenzio ki homorne !Niaje wakuu kumekuwapo na wimbi la wanawake kutoshika mimba mitaani na hata wakishika zinatoka, wataalamu wamekaa kimya ila it's gonna be a disaster soon. Nimeishi na wanawake ambao wamekuwa wakiweka vijiti kuzuia ujauzito, ila kwa nyakati tofauti nimeona mabadiliko ambayo si mazuri, mizunguko yao ilivurugika na kushika mimba ya pili ni shida kinoma.
Ukisikiliza wataalamu wanasema P2 ndio chanzo, ila hizi njia za kuzuia mimba ikiwemo vijiti mmefanyia utafiti wa kutosha kiasi gani?
Maana dalili ni nyingi, kila mtu sasa hivi analalamika kisamaki, haya mambo hayakuwa miaka iliyopita. Watu tunasingizia dada zetu kuwa vicheche kumbe ni haya mambo ya Kizungu.
I need answers.
Madaktari wengi wa hovyo sana siku hizi wanashindwa na manabii hawawezi kuwaondolea wanawake wengi stress.Kuna kansa ya shingo ya kizazi pia imeibuka miaka ya hivi karibuni. Wanawake kuwa na vitambi mpira na kasi ya wanawake kulazimika kutolewa mfuko wa uzazi, yote haya huenda yakawa na chanzo kimoja chenye vina na matangazo ya (p2, uzazi wa mpango n.k) kwa hisani ya watu wa ...
Hivi Wanawake wa dar tumewakosea nini?Ukitaka mwanamke mzuri mwenye rutuba nenda vijijini huko mkuu haya mambo ya p2 na vijiti sidhani kama yapo.
Hawa wa daslaam sio wa kutengenezea familia hasahasa wa kuchezea tu
Kukaa sawa aje?Kwani ili mkae sawa inachukua mda gani?
🤣🤣Uhamisho ss😅😅😅😅Hii nilikuwa bado sijasikia hii!ngoja niutafute uhamisho haraka
Mwanamke kuridhika!Kukaa sawa aje?
Au u mean, mwanamke kuridhika?😀
Umeeleza kitaalam sana ephen_. Wewe unatumia njia gani, tuanze na wewe 😅Njia za kuzuia mimba ukitoa (calendar, withdraw) zina madhara makubwa ikiwemo tatizo la hedhi, uke mkavu, joto la uke kupungua au kutepeta, uvimbe kwenye kizazi.
BAbu/Bibi zetu hawakutumia njia hizi za kisasa lakini walikua wanazaa watoto kwa kupishana umri vizuri tu.
Njia za kisasa sio salama.
Cc ERoni
Ukikosea kidogo tu leba hii hapa!CALENDAR!
Nipe hongera hadi umri huu sijaingia lebaUkikosea kidogo tu leba hii hapa!
Fanya zote mbili, calendar+withdrawal, manake kalenda tu inaweza kuwa hatari sana.Nipe hongera hadi umri huu sijaingia leba
Tutaongea kwa kina kirefu😄Fanya zote mbili, calendar+withdrawal, manake kalenda tu inaweza kuwa hatari sana.
Hii mada pana sana🤣Mwanamke kuridhika!
Yaani mkuu tatizo ni la wanawake bt wew unatuingiza hadi sisi wanaumeTatizo linaanzia kwa Wanaume sisi pia tuna shida.
Nikirudi kwa hawa wadada.. wengi wanatumia mavitu mengi sana kuanzia dawa za kuzuia au kutoa mimba, dawa za kubana uchi na kusafisha.
Hapo sijagusia Shisha na ulevi, Sonona na Magonjwa ya Afya ya akili.