Kwahiyo kumbe hakwenda kwa uoga wake ila siyo kwamba alienda akanyimwa form?Angethubutu kwenda hasa mzee wa Rondo, angekutana na lile kundi lililomfanyia mnyampaa wa Brussels.
Kama na wewe nimuislamu basi waaislamu mna akili ndogo sana
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Mchakato wote wa katiba ulikuwa duscussed JF na sehemu kubwa ya maudhui yake. Katiba inasema wakulima sijui wapewe pembejeo kwa lazima among other things which can not be guaranteed for various reasons.Katiba pendekezwa ipo, na ilikuwa kwenye hatua za kupigiwa kura, na ndani yake kuna muundo wa tume huru ya uchaguzi, lakini rais huyu aliikataa kwa sababu zake binafsi. Hivyo tafuta utetezi mwingine. Na kama serikali ikisimamia sheria kwa mantiki ya sheria, wengi sana wataenda jela ikiwemo viongozi wa serikali. Lakini serikali imejikita zaidi kwenye kukomoa wasioisujudia na wasema kweli.
Hao itakuwa ni wasilamu wa hapo mtaani kwako ila huku kwetu kitu kama hicho hakuna.Ni simple, tembelea misiba, harusi, shughuli za kijamii zinazohusu waislamu, pindi wakijadili mustakbali wao katika nchi. Hawafurahishwi na namna teuzi zinavyofanywa. Hawafurahiswi na teuzi ambazo kila wakati wao ni kiduchu sana. wanahoji kuwa mbona haziakisi demography ya nchi, mbona inaonekana kundi moja liko over represented kuliko jingine, kwa nini?
Haya wanayazungumza wazi miongoni mwao bila kificho.
Alichokifanya Sheikh ni kukiweka public kwa wider audience tu
Uteuzi wa selikali ni wa upendeleo?Ni kweli, ila umewataja kwa mambo ya ukweli. Na tatizo la ule waraka ni ukweli ulio ndani. Kuanzia ubovu wa tume na wametoa mapendekezo, uwiano wa nafasi za uongozi nk. Vitisho havisaidii, cha muhimu ni kufanyia ukweli kilichosemwa. Ukweli ni kuwa tume sio huru, hakuna katiba ya wananchi, uteuzi serikalini ni wa upendeleo fullstop.
Nimeusoma na waraka pia. Nakiri ni kweli katika awamu hii kumekuwa na bias kubwa ya kijinsia, kikanda na hata kidini hasa katika teuzi za kazi za uongozi wa serikalini, na ninapenda niseme labda ni bias (probably unintended) kwa sababu wakati yote hayo yanaonekana sijapata kuona wala kusikia waathiriwa wakilalamika na badala yake nawaona wakiwa mstari wa mbele kumwaga sifa tuuu! Awamu zilizopita pia nilisikia malalamiko lakini nashangaa sana kwani awamu zilizopita hali hii ya 'bias' haikuwa mbaya hivi lakini malalamiko yalikuwa makubwa disproportionately.
Lakini niseme pia katika ule waraka kuna malalamiko mengine nadhani watu walishauriwa tu vibaya. Mfano ile kesi ya UDOM iliyozungumzwa, kwanini watu walalamikie kuondolewa watu wa qualifications ndogo na kuwekwa wa better qualifications (nimeona majina yaliyochukua nafasi ni professors na doctors, na waliotolewa ni chini ya hapo), hayo mbona ni maboresho ya kawaida? Ningesikitika kama system inafanya purging ya watu kwa udini na kuingiza watu wa inferior qualifications alimradi tu ni wa dini wanayotaka! Hilo la UDOM nitawaomba ndugu zagu waislam walitafakari tofauti.
Huko kwenye mambo ya teuzi na kwingineko, wacheni mambo ya kusifia tu badala yake leteni data (kuna sheria ya takwimu siku hizi, kuweni waangalifu), wekeni data mbele ya wanaohusika (siyo hapa mtandaoni, hapa njooni kuleta taarifa ya jitihada na matokeo), semeni waziwazi mbele ya anayetakiwa kuchukua hatua mnazotaka, msimwogope, mwenyewe anawaambia siku zote msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Tindo,Wenzie lazima waukane huo waraka kwa ajili ya usalama wao, lakini ukweli ulio ndani ya waraka haukaniki. Halafu ukweli hauhitaji kutetewa na watu wengi, maana ukweli huwa unajitetea wenyewe.
Acheni kujifungia kwenye misikiti nendeni mkasome,!Serikali ilikataa kuweka kipengele cha dini ya mtu kwenye sensa, waislamu walikitaka, Wakiristo wakasema hapana kisiwemo kwa madai kuwa haina maana kujua dini ya mtu na kwamba serikali haina dini. Ni dhahiri hilo lingewekwa wazi ni dhahiri serikali ingewekwa kikaangoni kujibu mambo mengi ya waislamu, ikiwemo why wako underepresented katika ajira na teuzi wakati wako asilimia kadha wa kadha nchini?
Lakini cha ajabu serikali hiyohiyo inayojifanya haichukui takwimu za dini za Watu kwenye sensa inafanya kinyume chake kwenye huduma nyingine za msingi, kwa mfano ukifungua faili la Kliniki, utaulizwa dini yako, Ukienda polisi utaulizwa dini yako na sehemu nyinginezo. Kwa hiyo serikali inachukua taarifa za dini za watu, lakini kwenye sensa inajifanya haitaki kuzichukua, Je kwenye sensa setikali inakataa kuchukua taarifa za dini za watu ili kufichaficha madudu kama haya ya 80% by 20% kwenye teuzi?
Uteuzi wa selikali ni wa upendeleo?
Nani anaoendelewa na nani anadhurumiwa?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Sasa mnacholalamikia ni nini kama hakuna mtu alieenda kuchukua form? Mlitaka wapelekewe form?Nani atathubutu? Historia ya mgombea inafahamika toka akiwa mbunge. Kwa hili kwa kimya tu maana unajichoresha.
Acheni kujifungia kwenye misikiti nendeni mkasome,!
Huku mtaani unakuta toto liko busy msikini linakariri yale maandishi yenu ya kuandika toka kulia kwenda kushoto, mwisho wa siku linaishia kupata 0 shuleni. Alafu mnataka teuzi kwa kigezo cha dini?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Mimi nmeuliza hao wanaopendelewa ni kwa takwimu zipi?Unauliza au unapigia jibu mstari? Hivi unadhani watu kukaa kimya unadhani ndio hawauoni ukweli? Mambo mengine ni aibu kwa kweli. Ukweli hauwezi kuzuiwa na nguvu ya bunduki.
Ukweli upi? Kutaka magufuli katika teuzi zake awe anaangakia dini ya mtu? Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu sana!Duuu, unajua kwanini unapanic mpaka unachemsha na kuanza kukufuru, ni kwasababu unajitahidi kupambana na ukweli. Ukweli una nguvu ya ajabu boss.
Mchakato wote wa katiba ulikuwa duscussed JF na sehemu kubwa ya maudhui yake. Katiba inasema wakulima sijui wapewe pembejeo kwa lazima among other things which can not be guaranteed for various reasons.
Ilikuwa katiba mbovu for the most na ina mambo mengi yasiyotekelezeka in practice zaidi ya fantasy tu za Kabudi na Jaji Warioba. Sasa unadhani kuifanyia draft upya ni shughuli ya miezi mitatu embu tuwe realistic.
Sheria ya takwimu ina kipengele kimoja kimekaa kimtego sana.
Kwamba takwimu unazozitoa kwa umma uwe umezipata kwa chanzo kinachoaminika chenye uhalali wa kutoa takwimu hizo kwa mujibu wa sheria.
Sasa kusema uwiano wa uteuzi ni 80% kwa 20% kwa dini zilizopo.....hii ina utata.
Kwanza Tanzania hakuna dini mbili pekee.
Niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Kuna ukweli wowote hapo au udhibitishohii nchi iko chini ya Kanisa - Paul Makonda
Mimi nmeuliza hao wanaopendelewa ni kwa takwimu zipi?
Unajua kumbe tunaweza kuwa tunamkosoa Magufuli ila ni kwa vitu vya kipumbavu sana.!
Sasa mtu leo hii anataka uteuzi wa kigezo cha dini tanzania hii kweli?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Ukweli upi? Kutaka magufuli katika teuzi zake awe anaangakia dini ya mtu? Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu sana!
Yani waislamu hata asome vipi yeye hufikiri kidini tu! Ujinga sana
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app