Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

Tatizo la Waraka wa shehe Ponda ni zile takwimu hazina uhakika na ni kinyume na sheria

Katiba pendekezwa ipo, na ilikuwa kwenye hatua za kupigiwa kura, na ndani yake kuna muundo wa tume huru ya uchaguzi, lakini rais huyu aliikataa kwa sababu zake binafsi. Hivyo tafuta utetezi mwingine. Na kama serikali ikisimamia sheria kwa mantiki ya sheria, wengi sana wataenda jela ikiwemo viongozi wa serikali. Lakini serikali imejikita zaidi kwenye kukomoa wasioisujudia na wasema kweli.
Mchakato wote wa katiba ulikuwa duscussed JF na sehemu kubwa ya maudhui yake. Katiba inasema wakulima sijui wapewe pembejeo kwa lazima among other things which can not be guaranteed for various reasons.

Ilikuwa katiba mbovu for the most na ina mambo mengi yasiyotekelezeka in practice zaidi ya fantasy tu za Kabudi na Jaji Warioba. Sasa unadhani kuifanyia draft upya ni shughuli ya miezi mitatu embu tuwe realistic.
 
Ni simple, tembelea misiba, harusi, shughuli za kijamii zinazohusu waislamu, pindi wakijadili mustakbali wao katika nchi. Hawafurahishwi na namna teuzi zinavyofanywa. Hawafurahiswi na teuzi ambazo kila wakati wao ni kiduchu sana. wanahoji kuwa mbona haziakisi demography ya nchi, mbona inaonekana kundi moja liko over represented kuliko jingine, kwa nini?
Haya wanayazungumza wazi miongoni mwao bila kificho.
Alichokifanya Sheikh ni kukiweka public kwa wider audience tu
Hao itakuwa ni wasilamu wa hapo mtaani kwako ila huku kwetu kitu kama hicho hakuna.

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli, ila umewataja kwa mambo ya ukweli. Na tatizo la ule waraka ni ukweli ulio ndani. Kuanzia ubovu wa tume na wametoa mapendekezo, uwiano wa nafasi za uongozi nk. Vitisho havisaidii, cha muhimu ni kufanyia ukweli kilichosemwa. Ukweli ni kuwa tume sio huru, hakuna katiba ya wananchi, uteuzi serikalini ni wa upendeleo fullstop.
Uteuzi wa selikali ni wa upendeleo?
Nani anaoendelewa na nani anadhurumiwa?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mfano nikatafuta percentage ya mawaziri waislamu na wakristo katika serikali ya tanzania ili kuona ni kiasi gani kuna upendeleo kwa dini fulani, nitahitaji hiyo takwimu kutoka chanzo gani wakati vitu viko bayana na hesabu nazijua?
 
Nimeusoma na waraka pia. Nakiri ni kweli katika awamu hii kumekuwa na bias kubwa ya kijinsia, kikanda na hata kidini hasa katika teuzi za kazi za uongozi wa serikalini, na ninapenda niseme labda ni bias (probably unintended) kwa sababu wakati yote hayo yanaonekana sijapata kuona wala kusikia waathiriwa wakilalamika na badala yake nawaona wakiwa mstari wa mbele kumwaga sifa tuuu! Awamu zilizopita pia nilisikia malalamiko lakini nashangaa sana kwani awamu zilizopita hali hii ya 'bias' haikuwa mbaya hivi lakini malalamiko yalikuwa makubwa disproportionately.
Lakini niseme pia katika ule waraka kuna malalamiko mengine nadhani watu walishauriwa tu vibaya. Mfano ile kesi ya UDOM iliyozungumzwa, kwanini watu walalamikie kuondolewa watu wa qualifications ndogo na kuwekwa wa better qualifications (nimeona majina yaliyochukua nafasi ni professors na doctors, na waliotolewa ni chini ya hapo), hayo mbona ni maboresho ya kawaida? Ningesikitika kama system inafanya purging ya watu kwa udini na kuingiza watu wa inferior qualifications alimradi tu ni wa dini wanayotaka! Hilo la UDOM nitawaomba ndugu zagu waislam walitafakari tofauti.
Huko kwenye mambo ya teuzi na kwingineko, wacheni mambo ya kusifia tu badala yake leteni data (kuna sheria ya takwimu siku hizi, kuweni waangalifu), wekeni data mbele ya wanaohusika (siyo hapa mtandaoni, hapa njooni kuleta taarifa ya jitihada na matokeo), semeni waziwazi mbele ya anayetakiwa kuchukua hatua mnazotaka, msimwogope, mwenyewe anawaambia siku zote msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

Anasema watu waseme kweli, je anamaanisha hilo? Ni vyema ukaijua tabia ya mtu. Huwa inasemwa tazama matendo na sio maneno. Mfano mrahisi ni jana, kuna mjumbe toka kanda ya kusini, alitoa malalamiko ya kuwa wapinzani wanatoka huko upinzani na kupewa nafasi. Majibu aliyopewa yalikuwa ni kebehi zaidi kuliko ilivyopaswa. Inaonekana unatetea jambo ambalo hujalifanyia utafiti.

Yote kwa yote ujumbe wa Ponda umefika, hata akichukuliwa hatua ni kwa mapungufu machache ya waraka wake, lakini ndani vya huo waraka kuna ukweli wa zaidi ya 80%. Na uzuri ukweli huwa unajitetea wenyewe. Ni watu wachache sana huwezi kusimamia hadharani ukweli ulio kinyume na watawala. Na hii ni toka zama za manabii.
 
Wenzie lazima waukane huo waraka kwa ajili ya usalama wao, lakini ukweli ulio ndani ya waraka haukaniki. Halafu ukweli hauhitaji kutetewa na watu wengi, maana ukweli huwa unajitetea wenyewe.
Tindo,
Ahsante sana.
 
Mwacheni shekh ponda aongee,kuwa muisilamu Tanzania sawa na Mtoto kwa mama wa kambo.Kwani sio ukweli kukamatwa kuvamiwa misikiti ni kitu cha kawaida,
 
Serikali ilikataa kuweka kipengele cha dini ya mtu kwenye sensa, waislamu walikitaka, Wakiristo wakasema hapana kisiwemo kwa madai kuwa haina maana kujua dini ya mtu na kwamba serikali haina dini. Ni dhahiri hilo lingewekwa wazi ni dhahiri serikali ingewekwa kikaangoni kujibu mambo mengi ya waislamu, ikiwemo why wako underepresented katika ajira na teuzi wakati wako asilimia kadha wa kadha nchini?

Lakini cha ajabu serikali hiyohiyo inayojifanya haichukui takwimu za dini za Watu kwenye sensa inafanya kinyume chake kwenye huduma nyingine za msingi, kwa mfano ukifungua faili la Kliniki, utaulizwa dini yako, Ukienda polisi utaulizwa dini yako na sehemu nyinginezo. Kwa hiyo serikali inachukua taarifa za dini za watu, lakini kwenye sensa inajifanya haitaki kuzichukua, Je kwenye sensa setikali inakataa kuchukua taarifa za dini za watu ili kufichaficha madudu kama haya ya 80% by 20% kwenye teuzi?
Acheni kujifungia kwenye misikiti nendeni mkasome,!

Huku mtaani unakuta toto liko busy msikini linakariri yale maandishi yenu ya kuandika toka kulia kwenda kushoto, mwisho wa siku linaishia kupata 0 shuleni. Alafu mnataka teuzi kwa kigezo cha dini?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Acheni kujifungia kwenye misikiti nendeni mkasome,!

Huku mtaani unakuta toto liko busy msikini linakariri yale maandishi yenu ya kuandika toka kulia kwenda kushoto, mwisho wa siku linaishia kupata 0 shuleni. Alafu mnataka teuzi kwa kigezo cha dini?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app

Duuu, unajua kwanini unapanic mpaka unachemsha na kuanza kukufuru, ni kwasababu unajitahidi kupambana na ukweli. Ukweli una nguvu ya ajabu boss.
 
Unauliza au unapigia jibu mstari? Hivi unadhani watu kukaa kimya unadhani ndio hawauoni ukweli? Mambo mengine ni aibu kwa kweli. Ukweli hauwezi kuzuiwa na nguvu ya bunduki.
Mimi nmeuliza hao wanaopendelewa ni kwa takwimu zipi?

Unajua kumbe tunaweza kuwa tunamkosoa Magufuli ila ni kwa vitu vya kipumbavu sana.!

Sasa mtu leo hii anataka uteuzi wa kigezo cha dini tanzania hii kweli?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Duuu, unajua kwanini unapanic mpaka unachemsha na kuanza kukufuru, ni kwasababu unajitahidi kupambana na ukweli. Ukweli una nguvu ya ajabu boss.
Ukweli upi? Kutaka magufuli katika teuzi zake awe anaangakia dini ya mtu? Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu sana!
Yani waislamu hata asome vipi yeye hufikiri kidini tu! Ujinga sana

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mchakato wote wa katiba ulikuwa duscussed JF na sehemu kubwa ya maudhui yake. Katiba inasema wakulima sijui wapewe pembejeo kwa lazima among other things which can not be guaranteed for various reasons.

Ilikuwa katiba mbovu for the most na ina mambo mengi yasiyotekelezeka in practice zaidi ya fantasy tu za Kabudi na Jaji Warioba. Sasa unadhani kuifanyia draft upya ni shughuli ya miezi mitatu embu tuwe realistic.

Acha upotoshaji usio na msingi wowote ili utetee mambo yasiyo na msingi. Kulikuwa na rasimu ya Warioba, hii ilipelekwa kwenye bunge maalum la katiba, na rais aliyeikataa hivi sasa alikuwa mjumbe wa bunge lile, na chama chake ndio kiliikamilisha. Katiba pendekezwa ilikuwa inasubiri tu kupigiwa kura ili iwe katiba rasmi. Inaonekana umeingia kwenye kutetea jambo usilolijua ndio maana unaishia kuja na hoja za kuokoteza.

Narudia tena, unapotakana kushindana na ukweli, lazima ujue unachokiongea, vinginevyo utaonekana juha fulani.
 
Sheria ya takwimu ina kipengele kimoja kimekaa kimtego sana.

Kwamba takwimu unazozitoa kwa umma uwe umezipata kwa chanzo kinachoaminika chenye uhalali wa kutoa takwimu hizo kwa mujibu wa sheria.

Sasa kusema uwiano wa uteuzi ni 80% kwa 20% kwa dini zilizopo.....hii ina utata.
Kwanza Tanzania hakuna dini mbili pekee.

Niishie hapo.

Maendeleo hayana vyama!

Shekhe Ponda ana lake jambo. Anahangaika kupata kitu ambacho kamwe hawezi kukipata duniani wala ahera
 
Mimi nmeuliza hao wanaopendelewa ni kwa takwimu zipi?

Unajua kumbe tunaweza kuwa tunamkosoa Magufuli ila ni kwa vitu vya kipumbavu sana.!

Sasa mtu leo hii anataka uteuzi wa kigezo cha dini tanzania hii kweli?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app

Kwenye sensa ilitakiwa ijazwe dini ya mtu, hiyo haukuwepo, hivyo kila taasisi inajikusanyia data yenyewe. Usione watu wanaongea ukadhani wanaongea haya mambo kwa bahati mbaya. Ila kwakuwa una maslahi binafsi na Magufuli, unaweza kumtetea, hiyo ni haki yako.

Huo waraka hawataki wateuliwe kwa uislamu wao, lakini ni wendawazimu kuona watu wa dini fulani wakiwa wengi, huku wa dini nyingine wakiwa wachache wakati wana uwezo. Isitoshe huo waraka umegusia kuhusu chaguzi zetu na tume iliyopo. Ni nani asiyejua kinachoendelea kwenye chaguzi zetu? Je hicho kilio cha tume ya uchaguzi ni cha juzi?
 
Ukweli upi? Kutaka magufuli katika teuzi zake awe anaangakia dini ya mtu? Huu ni upumbavu wa kiwango cha juu sana!
Yani waislamu hata asome vipi yeye hufikiri kidini tu! Ujinga sana

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app

Acha kupanick, ujue hapa unapambana na ukweli.
 
Back
Top Bottom