National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Daaah umenikumbusha mbali sana kuna katukio kamoja hivi😆
Mkuu tutupie nyengine zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah umenikumbusha mbali sana kuna katukio kamoja hivi😆
Mkuu tutupie nyengine zaidi.
Toa vocals, niachie hizo C Major Keys za EnricoDar mpaka moro - Tmk wanaume family
View attachment 2750312
Dar mpaka moro ilitisha sanaBattle hili hapa la walio kuwa kundi moja na baadae kuvunjika na kuunda Tmk wanaume family na Tmk wanaume halisi.
Makundi yote haya mawili yali bahatika kutoa mikwaju mikali way back naweka battle kati ya mikwaju yao maarufu miwili.
Tatu bila ya Tmk wanaume halisi
VS
Dar mpaka moro ya Tmk wanaume family
Mkwaju wa kundi gani ulikuwa mkali hapa wanangu wa hip hop ?
Juma Nature the LegendInaniuma sanaa
View attachment 2750429
Jamaa katika nyakati zake 🔥🔥🔥🔥Juma Nature the Legend
PFunk ni Baba wa Bongo flevaIla beat la tatu bila majani alilikunja haswa
Namkubali sana hadi leo. Ametup raha enzi hizo tukiwa broke mtaaniJamaa katika nyakati zake 🔥🔥🔥🔥
Kuna ngoma zake sasa hivi ukisikiliza bado ni 🔥🔥🔥
. hawakuweza ufanya mziki wao biashara kama hawa majaa wa sasa hivi
Noma sanaNiko nasikiliza sitaki Dem by nature😂😁