Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Jamaa kaacha historia🔥🔥🔥🔥 enzi za cuf katika ubora wao
View attachment 2750434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa kaacha historia🔥🔥🔥🔥 enzi za cuf katika ubora wao
View attachment 2750434
Ina niuma Sana, nayo Kali Sana😁Noma sana
Mtoto Idi bwana😆😆Ina niuma Sana, nayo Kali Sana😁
kazi zake bado zinaongea sana mkuuJamaa kaacha historia
Daah jamaa aliutumiamuda wake wa kuishi vizurikazi zake bado zinaongea sana mkuu
Kama ule wimbo unaitwa" Huwezi jua"kazi zake bado zinaongea sana mkuu
Chege anakwambia "Mtoto blueband"🤣Tatu bila - Tmk wanaume halisi
View attachment 2750306
Dar mpaka moro - Tmk wanaume family
View attachment 2750312
Bongo.com ilikua Ngoma hatari Sana...Mzee baba andaa battle .
Bongo.com (TNG SQUAD) VS Gere (WEUSI)
Hili battle tulikuwa tunalipenda sana advance ..
Huyo atakuwa ni P Funk majani maana ndiyo alikuwa na beats zenye ujazo kipindi kile. Nikikumbuka beat ya sitaki demu ya Nature au starehe ya Feroud ilikuwa noma sana...Bongo.com ilikua Ngoma hatari Sana...
Bongooooooooooo
Bongo.com TNG tumekuja kuwashika na mikamata wanakwisha kabisa...
Da aliyepiga Ile beat ana siti yake maalumu peponi [emoji2]
Bongo.com ilikua Ngoma hatari Sana...
Bongooooooooooo
Bongo.com TNG tumekuja kuwashika na mikamata wanakwisha kabisa...
Da aliyepiga Ile beat ana siti yake maalumu peponi [emoji2]
Ni Beat kutoka Bongo record kwa P Funk Majani.Huyo atakuwa ni P Funk majani maana ndiyo alikuwa na beats zenye ujazo kipindi kile. Nikikumbuka beat ya sitaki demu ya Nature au starehe ya Feroud ilikuwa noma sana...
kuna wakati hatuhitaji message we want to swing the rhymes!Hakuna msg yoyote unayoipata kwenye "3-0"
Kuhusu beat za ujazo unapaswa kukumbuka;Huyo atakuwa ni P Funk majani maana ndiyo alikuwa na beats zenye ujazo kipindi kile. Nikikumbuka beat ya sitaki demu ya Nature au starehe ya Feroud ilikuwa noma sana...
nipe tano & jirushe hao ni daz nundaz sio?.....Kuhusu beat za ujazo unapaswa kukumbuka;
Nipe tano
Nikusaidieje
Jirushe
Kama unataka dem
Mikasi nk
Tatu bila hatari acha na Hiyo dar to movie tunaojua hip pop tatu bila ni kisangaIla beat la tatu bila majani alilikunja haswa