Zanzibar 2020 Tatu bora urais Zanzibar kujulikana leo

Wazanzibari nawaone huruma sn yani rais wao lazima watafutiwe na wabaraπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ng'ombe kabisa hawa jamaa
 
Dodoma tayri wamehsapitisha majina matatu:

1- Shamsi Vuai
2-Dr Khalid
3-Dr Hussein Mwinyi

Na Rais hapo ni ndugu Shamsi Vuai Nahodha..maana huyu ndo ana sifa za ziada ktk kuiongoza SMZ kuliko washindani wake wote.
 
Rais wa Znz ni Shamsi Vuai...Makame washamkata tayari...tatu bora ni
1-Shamsi Nahodha
2-Dr Mwinyi Hussein
3-Dr Khalid
Kwa nini wamkate wakati ndo chaguo la mzee baba
 
Wazanzibari nawaone huruma sn yani rais wao lazima watafutiwe na wabaraπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Ng'ombe kabisa hawa jamaa
Zanzibar sio Nchi Mkuu...
 
Hii inadhihirisha uongo wa watabiri humu kumtabiria Mbarawa kama chaguo la JPM.

Ukweli ni kwamba JPM hana chaguo lake. CCM watamchagua mgombea anayefaa kuongoza Zanzibar
 
Ndio mana tunasema ccm tunakubalika tutatawala milele
Yaani unaijadili ccm kwa uchungu sana
 
Kwa nini wamkate wakati ndo chaguo la mzee baba
We umemsikia Magu kama huyo Makame ndo chaguo lake? By the way, anaweza kuwa chaguo la mzee lakini sio chaguo la wazanzibari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…