Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
GNogeviX0AA8WR9 (1).jpeg
Utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa banda la kupokelea samaki katika soko la kimataifa la samaki lilipo eneo la Katambe Magarini lililojengwa kwa fedha za mfuko wa ndani Halmashauri kiasi cha Tsh. Mil 50 lakamilika kwa 100%. OR TAMISEMI
 
Nchi inajiendesha yenyewe Kila mtu anajipigia kwa muda na nafasi yake.

Miss Tanzania By Solo Thang.
Huwa nasema kila siku, hii nchi ina bahati hainaga majanga majanga ndiyo maana raia hawana habari, lakini ingekuwa na majanga hii nchi walahi pangekuwa panachimbika sn mana raia wasingekubali kuishi bila Rais kama hivi. Hii nchi hata paka anaiongoza.
 
Back
Top Bottom