kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,113
- 8,610
Bado misururu ya uzinduzi itakayogharimu 10mItaundwa kamati ya uchunguzi, watatumia miezi mitatu na posho ya milioni 60. Kisha watasema taratibu zimezingatiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado misururu ya uzinduzi itakayogharimu 10mItaundwa kamati ya uchunguzi, watatumia miezi mitatu na posho ya milioni 60. Kisha watasema taratibu zimezingatiwa
Utetezi huu ungeletwa na Quantity Surveyor angalau angedanganya kwa weledi kidogo.Wasiojua BOQ watadhani ni wizi
Kuna wizi gani hapo?.
- hapo kwasababu ni swamp area, jamvi limesukwa na nondo za material ya titanium 2 meters underground 10M
- hizo kench ni za aluminium diecast 10M
- materials 10M
- labour 10m
- supervision 5M
- 5M as usual (10%) ya kickbacks
Acheni hizo!.
Tafuta pesa, make money, get rich or die trying!.
P
Na wewe ni mmoja wao???Wasiojua BOQ watadhani ni wizi
Kuna wizi gani hapo?.
- hapo kwasababu ni swamp area, jamvi limesukwa na nondo za material ya titanium 2 meters underground 10M
- hizo kench ni za aluminium diecast 10M
- materials 10M
- labour 10m
- supervision 5M
- 5M as usual (10%) ya kickbacks
Acheni hizo!.
Tafuta pesa, make money, get rich or die trying!.
P
Pasco ni mchekeshaji na mtu wa mizaha mingiUtetezi huu ungeletwa na Quantity Surveyor angalau angedanganya kwa weledi kidogo.
Sasa wewe Lawyer na BoQ wapi na wapi?!!
Hapa ni utetezi wa kuweka caveat ili watu waliokutwa na ngozi, wakatundikwa msalabani wakati waliokula nyama ni wengine!, mimi ni mtetezi wa haki, hata Amatius Lyumba alipotundikwa msalabani kwa majengo pacha ya BOT, tulijitokeza tukamtetea.Utetezi huu ungeletwa na Quantity Surveyor angalau angedanganya kwa weledi kidogo.
Sasa wewe Lawyer na BoQ wapi na wapi?!!
Na kwa sbb mwendo n mrefu, gharama n kubwa sana🤝🤝🤝Jamaniii, hapo hela nyingi utaambiwa imeenda kwenye supervision 🤣 ya hako kakibanda
Alooo 🤣Na kwa sbb mwendo n mrefu, gharama n kubwa sana🤝🤝🤝
Kusafirisha maofisa tu kwenda kucheki site, design na mengineyo n hatari..
Ogopa
Jidanganye uanze ujenzi bila hela za kutosha🤣🤣🤣
Upembuzi yakinifu =10m
Apa mipesa inanipita ngoja nikachukue fomu ya ubunge.