Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Hatari sana aisee Hili Taifa,Bado huyo mkurugenzi yupo kazini?
 
Wasiojua BOQ watadhani ni wizi
  • hapo kwasababu ni swamp area, jamvi limesukwa na nondo za material ya titanium 2 meters underground 10M
  • hizo kench ni za aluminium diecast 10M
  • materials 10M
  • labour 10m
  • supervision 5M
  • 5M as usual (10%) ya kickbacks
Kuna wizi gani hapo?.
Acheni hizo!.
Tafuta pesa, make money, get rich or die trying!.
P
Utetezi huu ungeletwa na Quantity Surveyor angalau angedanganya kwa weledi kidogo.
Sasa wewe Lawyer na BoQ wapi na wapi?!!
 
Wasiojua BOQ watadhani ni wizi
  • hapo kwasababu ni swamp area, jamvi limesukwa na nondo za material ya titanium 2 meters underground 10M
  • hizo kench ni za aluminium diecast 10M
  • materials 10M
  • labour 10m
  • supervision 5M
  • 5M as usual (10%) ya kickbacks
Kuna wizi gani hapo?.
Acheni hizo!.
Tafuta pesa, make money, get rich or die trying!.
P
Na wewe ni mmoja wao???
 
Utetezi huu ungeletwa na Quantity Surveyor angalau angedanganya kwa weledi kidogo.
Sasa wewe Lawyer na BoQ wapi na wapi?!!
Hapa ni utetezi wa kuweka caveat ili watu waliokutwa na ngozi, wakatundikwa msalabani wakati waliokula nyama ni wengine!, mimi ni mtetezi wa haki, hata Amatius Lyumba alipotundikwa msalabani kwa majengo pacha ya BOT, tulijitokeza tukamtetea.
p
 
Jamaniii, hapo hela nyingi utaambiwa imeenda kwenye supervision 🤣 ya hako kakibanda
Na kwa sbb mwendo n mrefu, gharama n kubwa sana🤝🤝🤝

Kusafirisha maofisa tu kwenda kucheki site, design na mengineyo n hatari..

Ogopa
Jidanganye uanze ujenzi bila hela za kutosha🤣🤣🤣
 
Na kwa sbb mwendo n mrefu, gharama n kubwa sana🤝🤝🤝

Kusafirisha maofisa tu kwenda kucheki site, design na mengineyo n hatari..

Ogopa
Jidanganye uanze ujenzi bila hela za kutosha🤣🤣🤣
Alooo 🤣
 
Binafsi sioni ajabu! Milioni 50 zimetolewa kujenga mradi huu! Zimetolewa Milioni 50 je zilizofanyiwa kazi ni Milioni ngapi? Kitaalamu Milioni 40 zimepigwa! hapo Milioni 10 tu ndo zimefanyiwa kazi!
Kazi iendelee Mama anaupiga Mwingi! Harmonize walete!
 
Hizi ndizo halmashauri zetu. Wakati katibu tawala wa sasa Mkoani Dar es saalam, Toba Nguvila alikuwa mkuu wa wilaya hiyo.

Halmashauti ikaanzisha mradi wa Radio ya Halmashauri, kilichoyokea ni mamilioni kupigwa na watu wanaebdelea kumsifia mama na wengine wakipanda vyeo.
 
SHERIA ZA KUNYONGANA INABIDI ZIRUDI TANZANIA .HII SIO SAWA KABISA HATA KAMA MNAIBA NA MKO WENGI ILA HII NI TOO MUCH HAYA AIBU WATU HAWANA
 
Halafu wizara inapost kabisa mwananchi wa kawaida hadi unaogopa halafubwenyewe oya oya tu wanaona fresh na machawa wanasifia
 
Back
Top Bottom