Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Inafika bhanaMilioni 9 unaichukuliaje mkuu? Hilo banda halifiki hata milioni 1
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafika bhanaMilioni 9 unaichukuliaje mkuu? Hilo banda halifiki hata milioni 1
Kwahiyo Mkuu na wewe ni mpigaji kama hao tu ila mnatofautiana viwango tu vya upigaji wenu?
Duh..
Choo kinagarim mil. 40?Labda kuna choo pembeni nacho kimejumuishwa, maana huwezi kujenga sehemu kama hiyo bila ya choo.
Bado 9m ni nyingi kwa haki kakibanda.Yaani hicho kibanda kukamilika hadi hapo hakizidi Million 9
Miss Tz nakupenda ila hujatulia, sifa yako kubwa umefulia🫡Nchi inajiendesha yenyewe Kila mtu anajipigia kwa muda na nafasi yake.
Miss Tanzania By Solo Thang.
Huu ni utekelezaji wa ile kauli mbiu ya mama y kula kwa urefu wa kamba.
Guys!! Are you serious?.....
Tanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno wa CCMGuys!! Are you serious?.....
Wasiojua BOQ watadhani ni wizi
Hata hivyo wamejibana bana sana maana hapo ingekuwa mimi ningelijenga kwa bilioni tatu na ushee