Tazama banda la kupokelea Samaki lililojengwa na TAMISEMI kwa Tsh. Milioni 50

Ng'ombe inaongoza ng'ombe nyenzie! Ziwani kumejaa wizi na rushwa sana. Dogo langu litakuwa limekula hela hapo. TAKUKURU ipige kambi huko ziwani wavuvi wananyanyaswa sana na hawa mabwawa samaki. Hivi inawezekana vipi bwana samaki umiliki 1 B usawa huu hata kama una mishe zako? Wavuvi wanatishwa sana na mabwawa samaki! Ziwa limegeuka ATM ya mabwana samaki!
 
Wakale wapi mnataka
Acha waibe nchi linamijihela mingi sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…