Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa makato ya elfu 35 kutuma na Kutoa million 1,Tutazoea na kuona kawaida.
Naiona cashless system kwa mbaaali ili wafutilie mbali watu kutembea na pesa
HAKUNA kitu kama hicho mdogo wangu!.Piga hesabu kwenye hizo jedwali gharama za kutuma+za kutolea kisha urudi
Ni hatari kwa ustawi wa taifa kama watu wanamezeshwa fikra.Wewe unaishi mjini sie wa Vijijini tunajua ugumu ulioko,kwamba wake zetu wafie njiani Kisa hakuna barabara na vituo vya afya?
MudaKwa makato ya elfu 35 kutuma na Kutoa million 1,
Ni Bora nipande bus niipeleke pesa mwenyewe Dar-moro
Waajiriwa ndio wasioweza kukwepa kodi, hivyo kodi ya uhakika ya kwanza inaanzia kwao.Kwani kila mtu ameajiriwa?
Hali tete saivi ukienda kwa wakala ni kutoa tu pole siyo pesa tena😂😂View attachment 1853406
View attachment 1853410
View attachment 1853411
View attachment 1853412
View attachment 1853415
KUMBUKA
• Hakuna makato yoyote unapoweka pesa kwenye akaunti yako kupitia wakala wa M-Pesa
• Hakikisha taarifa zako za M-Pesa ni sahihi vinginevyo fika katika duka la Vodacom lililopo karibu nawe kuhakiki taarifa zako
• Unaweza kutuma hadi Tshs 5m kwa siku au kuwa na hadi Tshs 10m kwenye akaunti yako ya M-Pesa wakati wowote ukikamilisha usajili wako
• Hakikisha kama umesajiliwa kikamilifu kwa kupiga *106#
• Unapotuma pesa, siku zote kumbuka kuhakikisha namba ya mpokeaji kuepuka usumbufu
• Unapofanya muamala kwa wakala utahitajika kuonyesha kitambu-lisho chako
• Baada ya ku swap namba yako ya Vodacom, unaweza kuanza kutumia M-Pesa baada ya masaa 48
• Kupata vigezo na masharti ya kutumia M-Pesa tembelea duka la Vodacom lililopo karibu nawe au www.vodacom.co.tz
• M-Pesa huonyesha salio kwenye SMS ya kila muamala BURE. Endapo utafanya muamala wa kuangalia salio, utatozwa gharama ya Tsh 60
• Unapofanya malipo kwa wafanyabiashara waliosajiliwa na huduma ya LIPA KWA SIMU kupitia M-Pesa, utatozwa gharama za kawaida za kutuma pesa kwa wateja waliosajiliwa
• Ada za M-Pesa zilizoainishwa zimejumuisha ushuru wa serikali (Excise duty)
• PIN yako ya M-Pesa ni SIRI yako. Usimpatie mtu yeyote, hata kama ni wakala wa M-Pesa au mfanyakazi wa Vodacom
• Kwa msaada zaidi wasiliana na huduma kwa wateja kwa kupiga
kwa hiyo sisi wa vijijini tukipata barabara, maji na hospital ni hatari?Ni hatari kwa ustawi wa taifa kama watu wanamezeshwa fikra.
Hizo nauli zilipanda toka kipindi cha mwendazake walipoanzisha risiti za kielektoniki kwa hiyo hakuna jipya.Kwanza hata kama zimepanda ongezeko halizidi 5,000..Nauli za mabasi toka Dar kwenda mikoani zimepanda. Gharama za kukodi malori ya mizigo zimependa.
Bidhaa karibu zote za electronics Kariakoo zimepanda sana.
Sawa mkubwa wangu ishi kwenye ulimwengu wakoHAKUNA kitu kama hicho mdogo wangu!.
MOBILE MONEY NI KAMA MAJI LAZIMA UTAYANYWA TUTuanzishe kampeni hakuna kutumia mobile money
Pole mkuu, ungeongea kwa huzuni kubwa sana, laiti maneno yako haya yangemfikia Mh. Rais SSH, walau naye angehuzunika. Sasa anaoongea nao wao hawasikitiki.Kuna muda ni kama vile mitandao ya simu haifanyi kaz yake vzur ata kama ndio serikal lkn hii biashara watu wamekaa ata mwaka haujaisha wanapitisha sheria yao ndan ya wik mbil kaz inaanza sizan kuna ata kama kuna mtandao ulisubutu kuhoji na kuongea na serikal hii ni asara kwao na maumivu kwa wananchi.
Kuna mambo mengine roho mtu inauma ad unajiuliza kwann naonewa iv ebu fikiria ela yako unaipata kwa shida pamoja na makod yote lkn bado wanaitaka iyo iyo ,kama kwel wana nia ya dhat ya kupata pesa kwann hawapunguz mishahara na posho zao au wangetafuta njia nzur zaid ambayo ingeumiza kwa kias fulan mfano ni heri wangeweka ad fulan pale unaponunua umeme au unapoangalia salio au unapofanya malipo fulan ,yan wao wanakata pesa nyng kuliko mtandao husika hii nchi nzur kwa wenye vyeo kaz na mamlaka tu sisi wengine tunapgwa kila sehem
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mimi niliona ni bora hiz tozo wangeongeza ktk huduma ambazo sio za kutuma na kutoa ingekua ukiangalia salio ndio waweke tozo kias fulan ,au ukilipia huduma fulan kuwe na tozo ,au ukinunua umeme kuwe na tozo fulan pia kuna huduma ambazo serikal inapokea malipo kupitia sim ndio wangeweza iz tozo ata kama sio kias king kama hik ila maumivu yangepungua ,pia kuna huduma za kitamtandao ambazo watu weng wameongea tanzania bado haijaingia wangeleta izo ili ipatikane kod ukichanganya na tozo fulan lengo lako kwa kias fulan lingetimia ,mbona rea wanakata ktk umeme tu aizd ad mia 200 na matokeo tunayaona ,ili walilolifanya si muda mref ajira za watu zinaenda kupitia misukosuko hususan mawakala na mitandao ,hiv kwel elf 20 ikakatwe 2800 apo apo uyo alietuma elf 20 kashakatwa karbu 1500 huu ni ubinafs ktk nchi ambayo waajiliwa ni wachache kuliko waangaikaj ukafanye jambo kama ili ni uonevu kwa sababu hawana cha kufanyaVitaje hapa
Wewe ulikimbia hesabu kaa kimya. Imebidi nitukane tu labda roho yangu itapoa. Najiona nipo shimoni kwa huu ujinga wanatuletea hawa viongoziHAKUNA kitu kama hicho mdogo wangu!.
Sa mwgulu kajteua kuwa pale au anchofanya mama yenu hajui?tulia dawa iingieAsee huu ni UPORAJI kabisa. Mwigulu hapaswi kuwepo kwenye ofisi yoyote ya Umma
Kuna watu muna roho ngum sana na ubinafs ,usimuonee mtu kisa hana cha kukufanya au kuamua ,kujaa kwa bar au nn ndio iwe kigezo cha kuamua lolote ww ushaenda kuwauliza hao wanaojaa bar kaz zao au nafas zao au ushajua hao uliowaona bar izo ela wameanza kuzitafuta lin ,aya ni mambo ya kujiangalia ww na nafas yako ndio yanatufikisha uku watu wangap ni wakandaras kama unavyosema ,ebu firia kutoa kutoa lak moja 3,600 ad elf 6 karbu mia tatu iyo iliyozd apo si ilimtosha bib yang kununua sukar kilo akatumia wik nzima,au tujiulize wametuongezea makato je wamefanya nn au jitihada gan kutuongezea sisi kipato unataka kumkamua maziwa ng'ombe ambae haumpi malisho utamuumiza tu ata kama ataishMkuu sio uozo ila ndio namna ya kutoka hapa tulipo na kuvuka upande wa pili..Hakuna jambo halipiti Baraza la mawaziri.
Ni wajibu wa maccm na Serikali yao kueleza watu kwa nini wameongeza hizo tozo yaani ni kama Mwendazake alivyokuwa anawaambia watu hakuna mjomba wa kuleta maendeleo,ni lazima kodi zilipwe .
Hadi sasa toka mafuta na tozo za mitandao kuongezeka sijaona Bar zikipungua watu wala mafundi cherehani kukosa wateja wa nguo au bajaj na daladala kupandisha nauli.
Ukifuata habari za mitandaoni unaweza dhani huko mtaani ni kama maisha hayaendi kumbe harusi na party zinaendelea kama kawa.
Ushauri wa bure wewe kama ni local fundi Kazi ni nyingi sana,kama ni mkandarasi wa barabara huko ndio kabisaa utashindwa mwenyew..
Madam President na Mwigulu nimewaelewa Sana,usipotoka saizi ndio basi tena anaweza kuja mwehu mwingine ikawa noma.