Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

Tazama hapa makato ya kutuma na kutoa pesa kwa Vodacom (M-Pesa) kuanzia Julai 15, 2021

The problem is " tunalalamika tu, bila kuchukua hatua". Kuna wakati mwingine me naona ni Bora kukaa kimya kuliko kupiga kelele zisizo na faida. I hate kuzaliwa at this era in this country, natamani ningezaliwa huko mbeleni at the future kwasabab najua kuna wakati utafika katika hii nchi watanzania hawatakubali kuchezewa na serikali yao, kwasabab serikali ikifanya mambo ambayo si sawa basi wataandamana ama wataweka migomo yoyote ile kuachiria kuchukizwa kwao katika hilo jambo. Ila kwa sasa tubaki tu kuumia na kuugulia chini kwa chini kwasabab hakuna namna. "Watanzania tunachezewa mno". Hii inchi imefika hapa kwasabab ya ujinga wetu ulio na woga ndani yake na kuchangiwa na wengi wetu kukosa elimu.
 
Kuna watu muna roho ngum sana na ubinafs ,usimuonee mtu kisa hana cha kukufanya au kuamua ,kujaa kwa bar au nn ndio iwe kigezo cha kuamua lolote ww ushaenda kuwauliza hao wanaojaa bar kaz zao au nafas zao au ushajua hao uliowaona bar izo ela wameanza kuzitafuta lin ,aya ni mambo ya kujiangalia ww na nafas yako ndio yanatufikisha uku watu wangap ni wakandaras kama unavyosema ,ebu firia kutoa kutoa lak moja 3,600 ad elf 6 karbu mia tatu iyo iliyozd apo si ilimtosha bib yang kununua sukar kilo akatumia wik nzima,au tujiulize wametuongezea makato je wamefanya nn au jitihada gan kutuongezea sisi kipato unataka kumkamua maziwa ng'ombe ambae haumpi malisho utamuumiza tu ata kama ataish

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Acha upuuzi sasa hapo ndio umeandika nini? Umeonewanwapi wewe unalia lia kama mwanamke.Kwa hiyo hutaki kulipa kodi akulipie nani?
 
God have mercy on us!

Tutamkumbuka Mwendazake aisee.. this is insane!
 
[emoji23] nadhani sasa tunaelewana tunaposema CCM ni takataka na hawajawahi kuwa na akili.. Yaani unalipa ada ya kampuni ya simu halafu kuna Tozo ya serikali...

ANAUPIGA MWINGI MPO? Au bado mnakenua kenua tu ...
 
Mimi niliona ni bora hiz tozo wangeongeza ktk huduma ambazo sio za kutuma na kutoa ingekua ukiangalia salio ndio waweke tozo kias fulan ,au ukilipia huduma fulan kuwe na tozo ,au ukinunua umeme kuwe na tozo fulan pia kuna huduma ambazo serikal inapokea malipo kupitia sim ndio wangeweza iz tozo ata kama sio kias king kama hik ila maumivu yangepungua ,pia kuna huduma za kitamtandao ambazo watu weng wameongea tanzania bado haijaingia wangeleta izo ili ipatikane kod ukichanganya na tozo fulan lengo lako kwa kias fulan lingetimia ,mbona rea wanakata ktk umeme tu aizd ad mia 200 na matokeo tunayaona ,ili walilolifanya si muda mref ajira za watu zinaenda kupitia misukosuko hususan mawakala na mitandao ,hiv kwel elf 20 ikakatwe 2800 apo apo uyo alietuma elf 20 kashakatwa karbu 1500 huu ni ubinafs ktk nchi ambayo waajiliwa ni wachache kuliko waangaikaj ukafanye jambo kama ili ni uonevu kwa sababu hawana cha kufanya

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kote huko unakokusema tozo zinakuja kama hazipo mtasaidia sana serikali.Unazungumzia luku ambayo mlikuwa mnalia lia juzi tuu hapo.

Unataka raha na maendeleo parallel? unachekesha lazima uumie upande mmja ili kupata kingine.Ni hivi hakuna wajomba wa kukuletea maendeleo,ndio maana Mwendazake alikuwa anawapora pesa kwenye account maana hamtaki kulipa kodi halali ila huduma zikikosekana kazi kulaumu na kukosoa.

Ni hivi hapo ulipo utakuta huwa hutoi risiti kwa wateje wanaonunua au hudai lisiti ukinunua afu unataka serikali itoe wapi pesa kama huwajibiki? Kwa njia kama hizi ambazo kila mtu anatumia ndio safi serikali kukusanya pesa maana hakuna kukwepa ,hii inafidia kule amabako hujawajibika.Serikali kamatia hapo hapo maana hakuna cha tajiri wala maskini unalipa kulingana na matumizi.
 
[emoji23] nadhani sasa tunaelewana tunaposema CCM ni takataka na hawajawahi kuwa na akili.. Yaani unalipa ada ya kampuni ya simu halafu kuna Tozo ya serikali...

ANAUPIGA MWINGI MPO? Au bado mnakenua kenua tu ...
Ada ipi ya kampuni unayolipa wewe? acha ukenge ni unalipa tozo wewe mtumiaji ,kampuni ni channel ya kupitishia,nao wana kodi zao
 
2025 wapinzan washindwe kuchukua nchi tu goli lipo waz kabisa hata kwa ulimi unafunga yan unapunguza tozo kweny kamari unaongeza kweny mambo yanaogusa wanyonge kwa upepo huu siasa ni nyepes sana 2025 huenda na mm nikapanda jukwaan kabisa
 
Usijali mkuu!
.
Hiyo kodi inawahusu mataga, sukama gang na marehemu tu!

Nyie kwa sasa mnapumua baada ya dhalimu wenu kufariki
Mzee kubali jamaa ameshaenda na lazima maisha yaendelee,
 
Back
Top Bottom