Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Ndugu yangu unashangaza saana,, unaweza pelekea watu wakutukane kwa fikila zako hizo

Unaweza twambia niwangapi wanatumia simi janja wapeta hizo habari pia waweza twambia
Kila mtu anaweza changia ikiwa tu asilimia kubwa ya wa Tz wanaishi chini ya dollar moja JE unajua kama kupiga kura ni Bure au kuna uhusiano kati ya kura na kuchangia pesa ebu acha UCHAWA ongea reality.

Yab
 
Dah kweli ccm imetuharibia watoto! Unafananisha kura na michango ya fedha!! Sawa umechambua kikomo cha uwezo wako wa kufikiri hongera.
 
Una tafsiri mbovu juu ya dhana ya uzalendo.
Nakushauri ukasome vizuri dnana ya uzalendo.
Unachofanya wewe hapa jukwaani kwa machapisho yako yasiyokuwa na kichwa wala miguu ni upotoshaji na uchawa uliopitiliza wala sio uzalendo
Ungeonyesha kwa hoja ni wapi nimefanya upotoshaji huo unao usema wewe..
 
Watu wazalendo wakiwamo wanaccm Makampuni, na taasisi kwa Siri tutamchangia lisu kupitia cash, tunajua nyie madhalimu mnafuatilia mjuenna anachanga ili mtudhuruA
 
Dah kweli ccm imetuharibia watoto! Unafananisha kura na michango ya fedha!! Sawa umechambua kikomo cha uwezo wako wa kufikiri hongera.
Hata wakati wa kupigania uhuru ni wananchi wazalendo ndio walikuwa wanachangia pesa zao kidogo kidogo kuwawezesha wanaharakati waliokuwa mstari wa mbele kupigania na kudai uhuru, kama vile Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kusafiri .
 
Sina interest na siasa ila we jamaa utakuja kuota Lisu anakupelekea pumzi ya moto.
 
Sina interest na siasa ila we jamaa utakuja kuota Lisu anakupelekea pumzi ya moto.
Awazacho mjinga hicho kitakacho mtoka kinywani pake. Wewe ni mjinga mwenye mawazo ya kijinga na ndio sababu unaongea ujinga.
 
Watu wazalendo wakiwamo wanaccm Makampuni, na taasisi kwa Siri tutamchangia lisu kupitia cash, tunajua nyie madhalimu mnafuatilia mjuenna anachanga ili mtudhuruA
Acha uongo wako wewe kwa ukimchangia kupitia wakala nani atajuwa kuwa umemchangia wewe? Ninyi ni wanafiki na wababaishaji na ndio maana mmemuingiza mjini Lissu na kumtelekeza .
 
mgomo wa wafuasi wa mwamba wa kaskazini chadema, ambao kwakweli wameona ni aibu na fedheha sana kwa taasisi yao kua na viongozi wa kuchangiwa na kuombaomba huruma kila mara, tena vitu vidogo vidogo, umeleta athari kwenye michango hii, na imemuumbua kweli eti anakubalika
 
Anaweza akachangiwa na mtu mmoja tu shughuli ikawa imeisha, acha kukariri na ushabiki maandazi
 

Sio lisu wala mama samia wote ni changamoto tu, lakini kuhusu suala la kumchangia lisu una uhakika member wote wanafahamu kuwa kuna kumchangia lisu, maana hakuna redio wala televisheni inayo sisitiza hili, only social media tu ndio nimeona linazungumziwa hili, hata mimi pia nimeona mtandaoni tu nimebadilisha channel kadhaa hapa kwenye redio hakuna hata redio inayo taja hizo information za chadema,, lakini utayari wa mtu kutoa hela ni tofauti na utayari wa mtu kutoa kura yake,, hata mimi ningekuwa member siwezi kumpa hela kwa lengo la kununua gari la kifahari,,
Angesema achangiwe kwenye jambo linalo gusa hisia za watu angechangiwa tu lakini sio gari la kifahari huyu ameanza kuutaka ufahari kabla hata hajawa raisi akipewa urais itakuwaje sasa..!!
 
Kinachohitajika hapa ni majibu ya hoja na siyo hayo mashairi yasiyo na vina Wala mizani wala mpangilio.acha Makele na mayowe yako hapa.jibu hoja kwa hoja.
Hauna hoja,na Wala hujawahi kuwa na hoja,zaidi zaidi una uchawa uliozidi viwango mkuu.
Michango ya taasisi A inakuhusu nn wewe ambaye upo taasisi B.
Na hauhusiani Kwa chochote na wao.🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…