Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

Anaweza akachangiwa na mtu mmoja tu shughuli ikawa imeisha, acha kukariri na ushabiki maandazi
Na ndo kimefanyika ,ila ilikuwa umma ushirikishwe , kuwalinda matajili wa tanzania ambao tayari mpunga wamekabidhi mezani IU ya chadema ikopoa sana
 
Hata wakati wa kupigania uhuru ni wananchi wazalendo ndio walikuwa wanachangia pesa zao kidogo kidogo kuwawezesha wanaharakati waliokuwa mstari wa mbele kupigania na kudai uhuru, kama vile Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere kusafiri .
Wakati hule walikuwa watanganyika versus mkoloni, hali ya uchumi ilikuwa stable kwao, population haikuwa kubwa kama sasa, watanganyika walikuwa waelewa zaidi ya sasa iliyojaa uchakachuzi wa bongo za vijana wetu.......
 


Utayari wa mtu kutoa hela si sawa na utayari wa mtu kutoa kura"" kwahiyo hiki sio kigezo wala hakuna aibu kwa kuchangiwa na watu 1600, ila ni aibu kwa kutaka hela za raia ili anunue gari 😐
 
Utayari wa mtu kutoa hela si sawa na utayari wa mtu kutoa kura"" kwahiyo hiki sio kigezo wala hakuna aibu kwa kuchangiwa na watu 1600, ila ni aibu kwa kutaka hela za raia ili anunue gari 😐
😃😃😃😃 Naona CHADEMA mmechoka kupigwa hela na viongozi wenu kwa kuwachangia kila siku halafu wao wanakwenda kutumbua maisha wakati ninyi hampati faida yeyote ile.
 
Mimi mwenyewe nawashangaa sana yaani anataka gari la kifahari wakati anakwenda kutembelea watu wanaohitaji msaada .muda mrefu wanapinga magari ya kifahari halafu leo yule yule anataka kuchangiwa pesa kwa ajili ya kununua gari la kifahari. Naona anawaona CHADEMA ni wajinga sana na mazuzu.
 
"Mtu anayependwa na ambaye anapopularity kubwa akitamka tu juu ya mkwamo wa aina hiyo within 6hrs anakuwa ameshajaziwa 100ml.,fasta, wingi wa watu kwenye mikutano, siyo kura au kigezo cha wingi wa kura, nafurahi kumjenga Lissu mapema kisaikolojia, msemo wake wa naibiwa naibiwa aufanyie tathmini ya kina kama msomi fulani.
 
Ukitaka kupiga kura unatakiwa utoe shilingi ngapi, Ili tujue kuwa waliochanga hela kwa hiari ndio kura zake?
 
Tume iwe huru kisha uje na haya matamanio yako.
 
Ukitaka kupiga kura unatakiwa utoe shilingi ngapi, Ili tujue kuwa waliochanga hela kwa hiari ndio kura zake?
Hivi kwanini CHADEMA mnatafuta vichaka vya kuficha sura zenu. Kwanini hamtaki kuchagia pesa lisuu anunue gari la kifahari la kuzurula nalo mitaani?
 
Eleza uhuru unaohitajika!, zaidi ya uliopo!
Mwenyekiti wa ccm ni chama mshindani, hapaswi kuwa ni msimamizi wa tume. Wakati wa uchaguzi nchi inapaswa kuwa chini ya Jaji Mkuu, na sio chini ya rais ambaye anagombea urais. Matokeo ya mgombea yoyote ikiwemo urais yahojiwe mahakamani. Tume ya uchaguzi iondolewe Kinga ya kushitakiwa mahakamani kwa makosa ya kuharibu uchaguzi.
 
Hivi kwanini CHADEMA mnatafuta vichaka vya kuficha sura zenu. Kwanini hamtaki kuchagia pesa lisuu anunue gari la kifahari la kuzurula nalo mitaani?
Hiyo ni hiyari, sio kodi. Tuliochanga tuko sawa na ambao hawajachanga.
 
We ni mjinga sn, hii ni harambee ya online na siyo kwenye mikutano,75% ya wapiga kura hawapo kwenye social media.
 
CCM hawezi kukubali maana watashindwa kabla ya misa ya kwanza haijaisha
 
Hiyo ni hiyari, sio kodi. Tuliochanga tuko sawa na ambao hawajachanga.
Lissu amekivua nguo chama Chenu kwa kuonekana ni chama cha kibabaishaji kwa kukosa na kushindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…