Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja


Chama Chako ?

Sikujua kama unamiliki Chama
 
Wakati kampeni zinapofunguliwa Mwenyekiti, (CCM) huwa katika mchaka mchaka, na mwenyekiti wa tume huru ya uchaguzi yeye huwa center kumonitor both side, yeye husimamia zoezi mpaka mwisho.
-Mkuu wa tume ya uchaguzi / Mteuliwa Jaji Mkuu - angalia nafasi za hawa watu, kitaaluma.
-------
INFACTS TUNA MFUMO WETU KAMA TAIFA LA WATANZANIA.
 
Bora umempa za uso huyo mbogamboga anayetumia tumbo kufikiri badala ya kichwa
 
Lissu hakuchagulika 2020, hachaguliki 2025, na wala hatochagulika kuwa Raisi wa Nchi hii 2030....

Mbona hilo liko dhahiri?

Eniweyi...


Wamchangie utabibu wake wa Exposure Therapy.

Labda, narudia labda hapo afikiriwe kuwa Chief Negotiating Officer wa Mikataba chini ya Wizara ya Madini.
 
mwaka 2020 magufuli alipigiwa kura siku 2 kabla ya uchaguzi mkuu. hili lilitokea pale ofisi za ccm mkwajuni nilikuwepo eneo hilo na nilishuhudia vijana wale wakipewa wali kwa maharage na kuahidiwa bk 5000/ na hawajapewa mpaka uchao. haya yalifanyika mgombea akiwa lisu
TUTAMCHANGIA KULIKO KUCHANGIA MWENGE WA UHURU
 
..maana yake Watanzania wamepigika.
Hawajapigika bali hawapo tayari kuchangia ujinga wa kumnunulia mtu gari la kifahari na la mamilioni pesa kwa kazi ya kuzunguka tu. Wakati mtu na watu hao hao kutoka chama chama hicho hicho wamesikika mara nyingi wakipinga magari ya anasa na kifahari halafu leo tena wanataka gari la aina hiyo hiyo achangiwe Lissu. Ndio maana wenye akili Timamu wamegoma.
 

..kwani imeshaamuliwa gari gani anatakiwa kupatiwa?
 
Lissu amekivua nguo chama Chenu kwa kuonekana ni chama cha kibabaishaji kwa kukosa na kushindwa kumpatia gari makamu mwenyekiti wake.
Cdm sio chama kinachoungwa mkono na wauza unga, wakwepa kodi nk, bali ni chama Cha watanzania masikini. Na hakuna popote cdm inajivunia kuwa na uwezo wa kununua magari, bali kuwakomboa watanzania toka mikononi mwa chama Cha majizi, yaani ccm.
 
Cdm sio chama kinachoungwa mkono na wauza unga, wakwepa kodi nk, bali ni chama Cha watanzania masikini. Na hakuna popote cdm inajuvunia kuwa na uwezo wa kununua magari, bali kuwakomboa watanzania toka mikononi mwa chama Cha majizi, yaani ccm.
Unanikumbusha watu wanao ahirisha kufikiri kwa nafsi, (human herding).
 
Huo sio mfumo wa watanzania, Bali ni mfumo wa kukibeba chama tawala. Pitia mapendekezo yote ya tume zilizoundwa kuelekea mfumo wa vyama vingi, na baada ya mfumo wa vyama vingi. Hakuna popote walipopendekeza mfumo wa uchaguzi uliopo, au muundo wa aina hii ya kiutawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…