Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas kwa nn unachuki na upinzani???? Au unataka mfumo was chama kimoja??? Kila mala unakosoa tu nn tatz????Hadharani wapi? Kwani pesa hizo zinawekwa kwenye kapu lililo wekwa uwanjani au unachanga kwa siri kupitia simu au benki? Mbona unashindwa kuwaza vizuri na kujenga hoja Kiutu uzima?
Subiri tuvune mahindi ndio tupate hela wakulima .ninyi CHADEMA endeleeni kumchangia Lissu anunue gari la kifahari kwa ajili ya kuzurula nalo mitaani.Luca niazime laki bas baba
Mimi wala sina chuki na upinzani.bali nataka upinzani wa hoja,upinzani wa sera,upinzani wa mawazo mbadala kwa mstakabali mwema wa Taifa letu na ustawi wa watanzania. Upinzani wa kina Lissu wa kuhubiri ubaguzi na kupandikiza chuki kwa wananchi huo siukubali wala kuunga mkono kwa sababu mwisho wa siku utalipasua na kuligawa Taifa letu.Lucas kwa nn unachuki na upinzani???? Au unataka mfumo was chama kimoja??? Kila mala unakosoa tu nn tatz????
Watu wa Lumumba sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani, huwezi kuwaelewa kabisa. Sio Mawaziri wala wafuasi wao, wote Bure kabisa.Ndugu yangu unashangaza saana,, unaweza pelekea watu wakutukane kwa fikila zako hizo
Unaweza twambia niwangapi wanatumia simi janja wapeta hizo habari pia waweza twambia
Kila mtu anaweza changia ikiwa tu asilimia kubwa ya wa Tz wanaishi chini ya dollar moja JE unajua kama kupiga kura ni Bure au kuna uhusiano kati ya kura na kuchangia pesa ebu acha UCHAWA ongea reality.
Ya
Asee huyo Si saizi Yako, usipoteze muda wako, haezi kuelewa.Aliyekwambia Lisu anataka Kuungwa mkono nani?,Mkono wa Lisu umekatika tangu lini?,Lisu alikwambia wafuasi wake ni Madkari wanaoweza kumuunga mkono uliovunjika?
Kama kuandika Kiswahili fasaha huwezi!,Hivi unao uwezo wa kunielewa kweli nikiamua kuandika hoja?
Kwa mfano huo huo, CCM huwa mnasema mnapendwa na nchi nzima, watz wapo 60M, Ila wanachama wa CCM hawafiki milioni 10!Ndugu zangu watanzania,
Ukisikia watu wanafiki,waongo,ndumila kuwili na walaghai basi ni wafuasi wa CHADEMA. Hadharani watakujaza upepo,kukuvimbisha kichwa,kukupa kiburi halafu kumbe nyuma ya pazia wana kucheka tu na kukuona kama sinema tu.
Wafuasi wa Lissu kinafiki na kilaghai walishamuaminisha na kumvimbisha kichwa Lissu kuwa wana mpenda na yeye akakubali kuwa anakubalika sana na anaweza hata kuwa Rais Wa nchi hii wakati hata wafuasi wake tu wanaona kamwe na katu hawezi kuwa Rais wala kiongozi wa ngazi ya juu.
Sasa tangia ameanza kuomba michango ya kununua gari la kifahari kwa ajili ya mizunguko yake imeshangaza na kusikitisha kuona mpaka sasa karibia wiki Ni watu 1673 tuuuuu ndio wameweza kumchangia Lissu hela. Hii ni aibu ,fedheha na jambo la kusikitisha sana tena sana.
Hii inaonyesha wazi na dhahiri Lissu hakubaliki kabisa ndani ya CHADEMA na wengi pengine hawakubaliani kabisa na aina ya siasa zake ,hasa lugha zake mbaya na chafu za kibaguzi na chuki kwa wale ambao hakubaliani nao . kama ambavyo amemshambulia Mheshimiwa Rais kwa lugha za kibaguzi na chuki.
Watanzania na wanachadema wametuma ujumbe bila kujali itikadi zao za kisiasa kuwa hawamuungi mkono lisssu na aina ya siasa zake za chuki na kibaguzi. Jiulize tu ndugu yangu Lissu ana wafuasi wangapi kwenye mitandao yake ya kijamii? Kwanini wamegoma kumchangia? Imekuwaje kati ya mamilioni ya watanzania ndani na nje ya nchi imeshindikana hata watu elfu tano tu yaani 5000 kupatikana kumchangia?
Maana mtu anayekupenda ,kukuunga mkono katika harakati zako na kazi yako ni lazima awe wa kwanza kujitoa na kukuchangia kwa hali na mali. Mfano mimi hapa nilipo ikitokea Rais Samia akasema anahitaji mchango basi ni lazima nitakwenda kuuza hata mahindi yangu ili tu nipate pesa ya kumchangia. Nitafanya hivyo kwa kuwa ninampenda na ninamuunga sana mkono kwa uchapa kazi wake,na utumishi wake unaogusa maisha yetu, mfano kwetu sisi wakulima ambapo tumefaidika na uongozi wake.
Sasa Lissu ndio afahamu ya kuwa hata uchaguzi wa 2020 hakuibiwa kura kama alivyokuwa akidai ,bali ni kuwa watanzania hawampendi na hawamkubali na kumuunga mkono kwa yeye kuwa Rais .kwa kuwa wanaona hatoshi hata chembe kushika nafasi hiyo.anaweza kuwa anafaa kwenye kazi nyingine lakini siyo kazi ya Urais maana hana sifa za Urais zinazohitaji mtu makini,mzalendo,mchapa kazi,mwenye maono,mtulivu,mwenye subira,msikivu,anayejuwa wakati gani aongee na wakati gani akae kimya,wakati gani afanye maamuzi na wakati gani avute subira,nini aongee awapo hadharani na kipi akae kimya.Urais unahitaji mtu mwenye hekima, busara,upendo kwa watu wote.
Urais unahitaji mtu mwenye chujio la maneno,mtu mwenye muunganiko mzuri wa akili na mdomo wake,mwenye kufikiri kabla ya kuzungumza na siyo kuzungumza ndio ufikiri,mtumweye uwezo wa kuwaunganisha watu wote bila kujali dini zao,makabila yao,kanda zao na hata jinsia zao. Urais unahitaji mtu mwenye kifua cha chuma japo ana moyo wa nyama na damu.
Urais hauhitaji mtu mropokaji, mkurupukaji,mwenye mihemuko,jazba,hasira,mwenye kuongea neno lolote lile linalomjia mdomoni pake au mtu mwenye kujiona ana akili kuliko watu wote,mtu asiye shaurika wala kukubali ushauri wa watu wengine. Urais hauhitaji mtu wakuwagawa watu kwa kusema hawa ni Maccm au Mapoliccm. Huyo hatufai hata kidogo.
Lissu amepelekewa ujumbe mzito sana na mchungu sana ambao utampa somo zitoo sana kama atahitaji kujifunza. Ni lazima sasa ajifunze na kubadilika.asijione ana akili sana kupita watu wote .
Lissu anazidiwa ushawishi na nguvu ya kukubalika hata na msemaji wa club ya Simba Ahmed Ally achilia mbali Ally Kamwe wa Yanga, ambaye huhamasisha mashabiki wake kuujaza uwanja wa Benjamini mkapa unaobeba mashabiki elfu sitini kwa viingilio vya kuanzia Elfu tano kwa viti vya mzunguko mpaka laki mbili kwa VIP A?
Ole wake apitishwe na CHADEMA kugombea Urais uchaguzi ujao kushindana na mama yetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mama Samia Suluhu Hasssan ataona aibu atakayovuna katika sanduku la kura. Lissu Akipata kura hata laki moja Basi akachinje kuku ale.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Nani kakwambia na kukudanganya kuwa wanachama ,wafuasi na wakereketwa wa CCM hawafiki million kumi?Kwa mfano huo huo, CCM huwa mnasema mnapendwa na nchi nzima, watz wapo 60M, Ila wanachama wa CCM hawafiki milioni 10!
Michango inayoendelea ni yawatu wa Twitter. Nakama unabisha nitajie wilaya au kijiji au mtaa ambao umesikia watu wanachanga kwa ajili ya LissuKwani michango inachangwa twitter au kupitia simu na benki? Kwani michango inahusu watu wa twitter pekee yake? Mbona unaonyesha udogo wa akili kiasi hicho?
Imara madhubuti kwa wizi na ufisadi na uuaji.unyang'anyi iwekwe pema mahala pake roho marehemu jiwe.Chawa kama hawa utakuta hata NSSF hana yeye ni Mapambio tuu ukiwa muhanga wa KIKOKOTOO huwezi hata sikumoja kusujudia hawa watu
Aibu sanaSema wewe jamaa ungekuwa mwanamke ungeishajiuza sana mwili wako kwa mabosi wa CCM ili wakupenyeze..bahati mbaya ni mwanaume sababu kuna kitu unakitafuta kwa nguvu sana kupitiliza bahati mbaya hawakuoni unaotamani wakuone...
Ni aibu sana kwa mwanaume kuwa hivi
Dogo, nimekuepo hapa and insha'Allah nitaendelea kuwepo hapa, ukijibu ujinga I just ignore you! Hili ninalokufundisha ni kwa ajili yako na familia yako. Niko hapa MbeyaElli Ndugu yangu mtanzania uliye jaa msongo wa mawazo umefikaje huku? Umepitia njia gani? Wewe si ulisema una Ni ignore? Sasa umeonaje andiko langu wakati ulisema umeni ignore?
cc ephen
ephen
mataahiraWatu wa Lumumba sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani, huwezi kuwaelewa kabisa. Sio Mawaziri wala wafuasi wao, wote Bure kabisa.
Jibu hoja acha blaa blaa hapa.Watu wa Lumumba sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani, huwezi kuwaelewa kabisa. Sio Mawaziri wala wafuasi wao, wote Bure kabisa.
Jibu hoja acha blaa blaa hapa.Watu wa Lumumba sijui wanafikiria kwa kutumia kiungo gani, huwezi kuwaelewa kabisa. Sio Mawaziri wala wafuasi wao, wote Bure kabisa.
Upo serious au unamtania tu?Lucas una hoja..!
Wewe ni kichwa cha dhahabu
Siwezi nikamuunga mkono Lissu kwa lolote lile.ni mtu mbaguzi na mwenye chuki sana ambayo yupo tayari kuligawa na kulipasua Taifa letu kwa maslahi yake binafsi.Lucas leo umehamia kwa Lissu? Karibu sana.
Kwa Makonda naona hakulipi na umehama 🤣
Anyway, tuma namba ya kulipia tuweke hela kwa Komredi Lissu ndugu.
ILA tambuka Lissu na Makonda ni PEPONI na JEHENAM