Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Inakuja kwa sababu wewe unasena yupo.Sasa kama Mungu hahusiki na huu ulimwengu hiyo hoja ya Mungu kutoruhusu ulimwengu wenye mateso inakujaje ikiwa hahusiki na huu ulimwengu?
Wqkati ulimwengu huu kuwapo unaprove huyo Mungu hayupo.
Unaelewa concept ya mutual exlusivity?