TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuachia ulimwengu wenye mabaya kuweza kutokea wakati yeye ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuzuia ulimwengu huo usiweze kutokea ni kama kusema kasinzia kazini.

Sasa huyo Mungu hapo hapo ana uwezo wote kuzuia ulimwengu wenye mabaya, hapo hapo anasinzia kazini ulimwengu wenye mabaya unatokea?
Huyo Mungu kazi yake kuzuia ulimwengu wenye mabaya au kwa sababu tu anao huo uwezo?
 
Kifalsafa hii hoja ni " A Priori fallacy".

Umeanza na jibu la uongo. Halafu mzigo wa kuthibitisha unawapa wengine.

Ni sawa na mimi nikuambie hapa unajibizana na Jeff Bezos tajiri mkubwa, bilionea wa Kimarekani. Mimi ni Jeff Bezos.

Ukibisha kosa si langu, kosa ni lako uliyeshindwa kuthibitisha mimi ni Jeff Bezos bilionea wa Kimarekani.

Yani nasema kitu cha uongo ambacho hakiwezi kuthibitishika, halafu mzigo wa kuthibitisha nakupa wewe.
Heshima yako bwana kiranga ...
 
Thibitisha Mungu yupo, usiseme tu inawezekana yupo.
Sasa kwanini asiseme inawezekana? we jamaa unafurahisha sana nishakwambia hakuna uthibitisho ila bado umeshikilia tu kudai uthibitisho.
 
Sasa kwanini asiseme inawezekana? we jamaa unafurahisha sana nishakwambia hakuna uthibitisho ila bado umeshikilia tu kudai uthibitisho.
Kwa sababu, kujua kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani kunaenda na uthibitisho.

Ukitaka kusema tu "inawezekana" unaweza kuzusha uongo wowote ukauwekea "inawezekana".

Inawezekana Magufuli hajafa.Bado anaishi Ikulu.

Inawezekana Tanzania si nchi ila watu wote wanaofikiri kuna nchi inaitwa Tanzania wanaota ndoto moja.

Inawezekana JF ina aliens kutoka Andromeda Galaxy wanafanya experiment.

Inawezekana mapiramidi ya Misri yamejengwa na Mfugale.

Inawezekana Joe Biden ni mjusi aliyejibadilisha kuonekana kama mtu.

Inawezekana Vingunguti kuna mtambo wa bomu la nyuklia uliowekwa kisiri na serikali.

Inawezekana kati ya Dar na Zanzibar hakuna bahari, yale ni mauzauza tu.

Inawezekana usiku tukilala tunaenda Malaga Spain.

Inawezekana majeshi yote duniani yana askari saba tu wanaotuchezea shere tuwaone wengi.
 
T.B Joshua.
Zaidi amelelewa na Mama yake, kwani Baba yake alifariki akiwa mtoto mchanga.
Mama yake Joshua alikuwa Mlokole na Joshua alisoma shule ya Msingi ya Kilokole yaani Kipentekoste.

Hivyo basi Mchungaji wa Mama yake ndio aliye Mbatiza T.B. Joshua.

Na kama baadhi walokole wa hapa Tanzania, T.B Joshua alivyopata ufahamu akaanzisha Kanisa lake la Synagogue.

Kuhusu kuwa Mwema.
Mwema ni Mungu peke yake.
 
Kwa sababu, kujua kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani kunaenda na uthibitisho.

Ukitaka kusema tu "inawezekana" unaweza kuzusha uongo wowote ukauwekea "inawezekana".

Inawezekana Magufuli hajafa.Bado anaishi Ikulu.

Inawezekana Tanzania si nchi ila watu wote wanaofikiri kuna nchi inaitwa Tanzania wanaota ndoto moja.

Inawezekana JF ina aliens kutoka Andromeda Galaxy wanafanya experiment.

Inawezekana mapiramidi ya Misri yamejengwa na Mfugale.

Inawezekana Joe Biden ni mjusi aliyejibadilisha kuonekana kama mtu.

Inawezekana Vingunguti kuna mtambo wa bomu la nyuklia uliowekwa kisiri na serikali.

Inawezekana kati ya Dar na Zanzibar hakuna bahari, yale ni mauzauza tu.

Inawezekana usiku tukilala tunaenda Malaga Spain.

Inawezekana majeshi yote duniani yana askari saba tu wanaotuchezea shere tuwaone wengi.
Mbana una Amin Kuna electron na proton kwani ulishawah kuziona Ila nguvu zake unaziona
 
Huyo Mungu kazi yake kuzuia ulimwengu wenye mabaya au kwa sababu tu anao huo uwezo?
Tabia yake ya kuwa na upendo wote haipo consistent na ulimwengu wenye kuweza kuwa na mabaya kuwepo.

Ulimwengu huo ukiweza kuwepo,una violate hiyo tabia yake. Na kama Myngu huyo ndiye siupreme being mwenye uwezo wote, ujyzi wote na upendo wote, hawezi kuwa violated.

Tukiona ulimwengu wenye kuweza kuwa na mabaya umeweza kuwepo, maana yake Mungu huyo hayupo. Angekuwepo, ulimwengu unaoruhusu mabaya kuwepo usingekuwepo.

Mungu huyo hayupo. Kuwepo kwake ni hadithi tupu za watu tu.

Ndiyo maana mpaka leo hakuna anayeweza kurhibitisha yupo.
 
Kwa sababu, kujua kipi kinawezekana na kipi hakiwezekani kunaenda na uthibitisho.

Ukitaka kusema tu "inawezekana" unaweza kuzusha uongo wowote ukauwekea "inawezekana".

Inawezekana Magufuli hajafa.Bado anaishi Ikulu.

Inawezekana Tanzania si nchi ila watu wote wanaofikiri kuna nchi inaitwa Tanzania wanaota ndoto moja.

Inawezekana JF ina aliens kutoka Andromeda Galaxy wanafanya experiment.

Inawezekana mapiramidi ya Misri yamejengwa na Mfugale.

Inawezekana Joe Biden ni mjusi aliyejibadilisha kuonekana kama mtu.

Inawezekana Vingunguti kuna mtambo wa bomu la nyuklia uliowekwa kisiri na serikali.

Inawezekana kati ya Dar na Zanzibar hakuna bahari, yale ni mauzauza tu.

Inawezekana usiku tukilala tunaenda Malaga Spain.

Inawezekana majeshi yote duniani yana askari saba tu wanaotuchezea shere tuwaone wengi.
Neno "inawezekana" linaenda na uthibitisho? yani uwe na uthibitisho wa jambo halafu utumie neno "inawezekana"?
 
Mbana una Amin Kuna electron na proton kwani ulishawah kuziona Ila nguvu zake unaziona
Kwani wapi nimekwambia nataka kumuona Mungu?

Unaelewa hoja yangu?

Unaelewa sijapinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani tu?

Unaelewa ninaposema Mungu muweza yote,mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo natumia hoja gani kufikia hitimisho hilo?
 
Neno "inawezekana" linaenda na uthibitisho? yani uwe na uthibitisho wa jambo halafu utumie neno "inawezekana"?
Wapi nimesemq hivyo?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Nakwambia hivi, kutumia neno "inawezekana" unaweza kutumia kwa uongo wowote. Hivyo, katika mazungumzo ya kutafuta ukweli na uongo, twende na uthibitisho.

Ukitaka kujificha katika kichaka cha "inawezekana" unaweza kusema inawezekana daraja la Salenda la Dar es Salaam linaunganisha mabara ya Asia na Ulaya ila sisi hatujui tu.

Usiishie kusema inawezekana.Thibitisha.
 
Kwani wapi nimekwambia nataka kumuona Mungu?

Unaelewa hoja yangu?

Unaelewa sijapinga uwepo wa Mungu kwa sababu haonekani tu?

Unaelewa ninaposema Mungu hayupo natumia hoja gani kufikia hitimisho hilo?
Kuona matokea yake huku dunian Ni udhibitisho kwamba yametokea kwa nguvu fulan Sasa hyo nguvu ndio Mungu , tatzo lako umesha jengo kichwan Mungu anatakiwa awe hivi au vile ndo maana unataka kudhibitishiwa Mungu unae mtaka ww kma fkra zako zinavyotaman Mungu awe hivyo
 
Kiranga Ninatamani nikuulize swali dogo tu,lakini usikasirike mkuu
Kwa nini unafikiri ushafikia uwezo wa kuniuliza swali la kunikasirisha?

Na utajuaje hapa nimekasirika na hapa nimepiga chafya tu kwa reflex action, nzi aliye karibu anaweza kufikiri nimekasirika, lakini kiukweli hana hata nguvu za ubongo zinazotakiwa kunikasirisha?
 
Wapi nimesemq hivyo?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Nakwambia hivi, kutumia neno "inawezekana" unaweza kutumia kwa uongo wowote. Hivyo, katika mazungumzo ya kutafuta ukweli na uongo, twende na uthibitisho.

Ukitaka kujificha katika kichaka cha "inawezekana" unaweza kusema inawezekana daraja la Salenda la Dar es Salaam linaunganisha mabara ya Asia na Ulaya ila sisi hatujui tu.

Usiishie kusema inawezekana.Thibitisha.
Hata uthibitisho unaweza kufojiwa na ukatumika kwa jambo ambalo si la kweli,kila neno lina maana yake na matumizi yake sasa jamaa katumia neno "inawezekana" sasa hayo ya kutumia hilo neno kwa uongo au kweli haimzuii yeye kutumia hilo neno.
 
Huyo Mungu kazi yake kuzuia ulimwengu wenye mabaya au kwa sababu tu anao huo uwezo?
Hizo tabia zake za kuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote z8nqp8ngana na ulimwengu wenye kuweza kuwa na mabaya kuwepo kqma vike shilingi ya Nyerere ukiirusha ikaangukia kichwa kunavyopingana na shilingi hiyo kuangukia mwenge.

The two are mutually exclusive.

Shilingi ikiangukia kichwa, maana yake haikuangukia mwenge, and vice versa.

Vivyo hivyo, ulimwengu unqoruhusu mqbaya kuwepo ukiwezekana kuwepo, maana yake huyo Mungu hayupo.

Huyo Mungu akiwepo, maana yake ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya haupo.

Ulimwengu unaoweza kuwa na mqbaya upo.

Hivyo, huyo Mungu hayupo.
 
Kuona matokea yake huku dunian Ni udhibitisho kwamba yametokea kwa nguvu fulan Sasa hyo nguvu ndio Mungu , tatzo lako umesha jengo kichwan Mungu anatakiwa awe hivi au vile ndo maana unataka kudhibitishiwa Mungu unae mtaka ww kma fkra zako zinavyotaman Mungu awe hivyo
Hiyo nguvu ni nini?

Una judge hiyo nguvu ni Mungu kabla ya kuijua hiyo nguvu ni nini?

Ukiambiwa hiyo nguvu ni gravity, utasema gravity ni Mungu?
 
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
Ameshazikwa?
 
Hizo tabia zake za kuwa na upendo wote, ujuzi wote na uwezo wote z8nqp8ngana na ulimwengu wenye kuweza kuwa na mabaya kuwepo kqma vike shilingi ya Nyerere ukiirusha ikaangukia kichwa kunavyopingana na shilingi hiyo kuangukia mwenge.

The two are mutually exclusive.

Shilingi ikiangukia kichwa, maana yake haikuangukia mwenge, and vice versa.

Vivyo hivyo, ulimwengu unqoruhusu mqbaya kuwepo ukiwezekana kuwepo, maana yake huyo Mungu hayupo.

Huyo Mungu akiwepo, maana yake ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya haupo.

Ulimwengu unaoweza kuwa na mqbaya upo.

Hivyo, huyo Mungu hayupo.
Nimekuuliza huyo Mungu kazi yake kuzuia ulimwengu wenye mabaya? maana kama ni upendo hata binaadamu wanao upendo,ujuzi na uwezo.
 
Hata uthibitisho unaweza kufojiwa na ukatumika kwa jambo ambalo si la kweli,kila neno lina maana yake na matumizi yake sasa jamaa katumia neno "inawezekana" sasa hayo ya kutumia hilo neno kwa uongo au kweli haimzuii yeye kutumia hilo neno.
Sasa kama hata uthibitisho unaweza kufojiwa, utajuaje huu ukweli na huu uongo kabla ya uthibitisho?

Huoni kwamba kama hata uthibitisho unaweza kufojiwa, kauli inayotolewa bila uthibitisho unaweza kuficha uongo zaidi, na ili kuhqkiki kujua ukweli ni upi na uongo ni upi uthibitisho ni muhimu, kwa sababu moja ya kazi ya uhakiki ni kuangalia kama uthibitisho unaweza kufojiwa?

Yani hapo ulichosema ni sawa na mtu afungue duka, anauza vitu. Mchele, sukari, maharage, sabuni, mafuta etc.

Anataka kuuza vitu apate faida.

Halafu anasema, hata noti zinaweza kufojiwa, kwa hivyo atawapa watu vitu bure tu. Hakuna haja ya kulipia. Hata noti zinaweza kufojiwa.

Wakati, kiuhalisia, kwa ntu anayetaka faida kibiashara, ukweli kwamba hata noti zinaweza kufojiwa unatakiwa kuongeza uhakiki wa noti, si kuruhusu watu wachukue bidhaa bure kwa sababu hata noti z8linaweza kufojiwa.
 
Sasa kama hata uthibitisho unaweza kufojiwa, utajuaje huu ukweli na huu uongo kabla ya uthibitisho?

Huoni kwamba kama hata uthibitisho unaweza kufojiwa, kauli inayotolewa bila uthibitisho unaweza kuficha uongo zaidi, na ili kuhqkiki kujua ukweli ni upi na uongo ni upi uthibitisho ni muhimu, kwa sababu moja ya kazi ya uhakiki ni kuangalia kama uthibitisho unaweza kufojiwa?

Yani hapo ulichosema ni sawa na mtu afungue duka, anauza vitu. Mchele, sukari, maharage, sabuni, mafuta etc.

Anataka kuuza vitu apate faida.

Halafu anasema, hata noti zinaweza kufojiwa, kwa hivyo atawapa watu vitu bure tu. Hakuna haja ya kulipia. Hata noti zinaweza kufojiwa.

Wakati, kiuhalisia, kwa ntu anayetaka faida kibiashara, ukweli kwamba hata noti zinaweza kufojiwa unatakiwa kuongeza uhakiki wa noti, si kuruhusu watu wachukue bidhaa bure kwa sababu hata noti z8linaweza kufojiwa.
Hebu tuliza akili.

Hivi mtu akikwambia inawezekana kesho ikanyesha mvua halafu kesho yake mvua isinyeshe utasema aliongea uongo? ndio maana nikakwambia kila neno lina maana yake na matumizi yake.
 
Back
Top Bottom