TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Hivi mkuu unaamini kuna electrons,protons,gama rays na beta rays?
AU wapi sayansi imethibitisha kuwa hakuna MUNGU
Sitaki kuamini, nataka kuelewa na kujua.

Hizo electrons, protons na gamma rays si vitu vya kuamini. Ni vitu vya kuelewa na kujua, vinapimika, vinaeleweka, hata wewe hapa unavitumia. Havina contradiction kama iliyopo kwenye habari za kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Sayansi imethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hawezi kuwepo.

Kwa sababu, angekuwepo, asingeruhusu ulimwengu unaoruhusu mabaya, magonjwa, njaa, matetemeko ya ardhi, ma tsunami, vita etc kuwepo.

Ulimwengu huu kuwepo ni "mutually exclusive" na uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote.

Maana yake ni.

1. Unaweza kuwa na ulimwengu huu unaoruhusu mabaya, ikiwa tu, huyo Mungu hayupo.

2. Huyo Mungu anaweza kuwa yupo, ikiwa tu ulimwengu huu unaoruhusu mabaya haupo.

Ulimwengu huu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
 
Ukipata muda naomba umchunguze na baba askofu Gwajima Kama amempokea yesu na kubatizwa ili nijue sadaka yangu jumapil naipeleka kwake au nitombeee tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Screenshot_20210613-115248.png
nakupa namba ya hio pisi kali kutoka kampala ukamalizie shida zako, incase jibu la Gwajiboy likija negative😅😅
 
Atajua mwenyewe na waumini wake na mungu wake.
 
Hujajibu nani.

Hujajibu wapi.

Hujajibu unahakikishaje wanathibitisha.

Hayo ndiyo maswali niliyokuuliza.
WAPI:kwenye nyumba za ibada ukisoma maandiko
NANI:mapadri/wachungaji,ma imamu na manabii
NATHIBITISHAJE:kupitia nguvu ya imani
 
WAPI:kwenye nyumba za ibada ukisoma maandiko
NANI:mapadri/wachungaji,ma imamu na manabii
NATHIBITISHAJE:kupitia nguvu ya imani
Nikisema naamini wewe ni robot, si mtu.

Hapo nimethibitisha kwamba wewe ni robot, si mtu, kwa nguvu ya imani?
 
Hapana! itahitaji uthibitisho
Kwa nini tuhitaji uthibitisho?

Si tunakwenda kwa nguvu ya imani umesema.

Unathibitishaje imani fulani imejengwa kwenye ukweli, na imani nyingine imejengwa kwenye upotofu?
 
Kama tunaenda kwa imani tu.

Kwa nini niamini nimezaliwa na nisiamini sijazaliwa nimekuwapo tu siku zote?
Unaweza kuamini hivyo, lakini lazima utathimini ubora na uhalisia wa unachokiamini.

Lakini je, huoni kuwa ni imani dhaifu kuamini kuwa hukuzaliwa?
 
Sitaki kuamini, nataka kuelewa na kujua.

Hizo electrons, protons na gamma rays si vitu vya kuamini. Ni vitu vya kuelewa na kujua, vinapimika, vinaeleweka, hata wewe hapa unavitumia. Havina contradiction kama iliyopo kwenye habari za kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.

Sayansi imethibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hawezi kuwepo.

Kwa sababu, angekuwepo, asingeruhusu ulimwengu unaoruhusu mabaya, magonjwa, njaa, matetemeko ya ardhi, ma tsunami, vita etc kuwepo.

Ulimwengu huu kuwepo ni "mutually exclusive" na uwepo wa Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na uoendo wote.

Maana yake ni.

1. Unaweza kuwa na ulimwengu huu unaoruhusu mabaya, ikiwa tu, huyo Mungu hayupo.

2. Huyo Mungu anaweza kuwa yupo, ikiwa tu ulimwengu huu unaoruhusu mabaya haupo.

Ulimwengu huu unaoruhusu mabaya upo.

Hivyo, Mungu huyo hayupo.
Hata kusema tu Mungu hawezi kuwepo(siyo measurable).Kuwepo kwa machafuko ulimwenguni bado siyo uthibiti wa kutokuwepo kwa MUNGU,
Kwa wanaoamini wanapata uthibitisho kupitia matokeo ya kile wanachokiamini
Mfano mtu amesumbuliwa na ugonjwa hospital imeshindikana,anaamua kuombewa anapona,lazima ataamini uwepo wa MUNGU kama wewe ulivyoamini mtiririko wa electron na proton katika sakiti ndio unakupa umeme
 
Kwa nini tuhitaji uthibitisho?

Si tunakwenda kwa nguvu ya imani umesema.

Unathibitishaje imani fulani imejengwa kwenye ukweli, na imani nyingine imejengwa kwenye upotofu?
Mkuu ina imani zake,kuna kipindi sayansi iliishi kwa theories(mf geocentric na baadae heliocentric) usikute hata heliocentric theory ikabadilika
MAANA yangu ukweli na upotofu wakati mwingine huamuliwa na muda
 
Nilisoma kwenye Daily Nation la Kenya wakawa wameeka Historia yake kuwa amelelewa na Mjomba wake ambae ni Practising Muslim kwakweli nilishangaa.
Watu tuna dini zetu humu mkuu.
Nashangaa mpaka sa hivi hawajakujia na marungu
 
Mkuu ina imani zake,kuna kipindi sayansi iliishi kwa theories(mf geocentric na baadae heliocentric) usikute hata heliocentric theory ikabadilika
MAANA yangu ukweli na upotofu wakati mwingine huamuliwa na muda
Kwa muda huu tulipo hatuwezi kupima vitu tukaangalia ukweli na upotofu?

Yani wewe unaamini Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote atawachoma moto mabilioni ya watu milele na milele, kwa sababu yeye mwenyewe hajawapa neema na akili ya kumjua?
 
Hata kusema tu Mungu hawezi kuwepo(siyo measurable).Kuwepo kwa machafuko ulimwenguni bado siyo uthibiti wa kutokuwepo kwa MUNGU,
Kwa wanaoamini wanapata uthibitisho kupitia matokeo ya kile wanachokiamini
Mfano mtu amesumbuliwa na ugonjwa hospital imeshindikana,anaamua kuombewa anapona,lazima ataamini uwepo wa MUNGU kama wewe ulivyoamini mtiririko wa electron na proton katika sakiti ndio unakupa umeme
Kwani kuamini wewe ni robot kunakufanya wewe uwe robot?

Mbona unajikita sana kwenye kuamini, wakati kuamini mtu anaweza kuamini uongo wowote tu?
 
Unaweza kuamini hivyo, lakini lazima utathimini ubora na uhalisia wa unachokiamini.

Lakini je, huoni kuwa ni imani dhaifu kuamini kuwa hukuzaliwa?
Kwa nini kuamini sikuzaliwa ni imani dhaifu?

Unajuaje hii imani ni imani dhaifu?
 
Mbona nasikia huyo TB joshua ni cha mtoto hata 8 bora kwa utajiri wa wachungaji huko naija hayumo.

Popular lakini hamsogelei kabisa mzee wa winners Yule nasikia anamakanisa makubwa hadi ukrain, tanzania tu mkanisa bonge sana pale banana. Wakati TB yeye anapambana na SCOAN tu.

Hii ilikuwa kweli miaka ya 2004 hivi maana nasikia hadi serikali iliwahi kumfungia asitumie TV kwa fitna za hao walokole wenzake. Jamaa kwa ubishi akahamia kwenye satellite na online hapo ndio alikula vichwa afrika nzima hadi wakuu wetu tz
Hakuwa na hela. Mali yote ilikuwa Mali ya Huduma. Alikuwa mnyenyekevu sana sana.
 
Back
Top Bottom