TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Duh aisee! naanza kupata mashaka na utimamu wa ufahamu wako. Neno "inawezekana" ni kauli dhaifu sana, sasa povu linakutoka la nini? et huwezi hata kulipinga.
Nikikwambia inawezekana wewe ni robot utasemaje wakati kusema hivyo hqkumaanishi wewe uwe robot?

Ukipinga na kusema wewe si robot, nitasema sijasema wewe ni robot, nimesema inawesekana wewe ni robot.

Maana yake inawezekana usiwe robot.

Kauli ya "inawezekana" is neither here, nor there.

Vague.

Umekimbia mjadala wa kuthibitisha kwamba Mungu yupo na "mutual exclusivity" ya uwepo wa Mungu na ulimwengu unaoruhusu mabaya.

Thibitisha Mungu yupo.
 
Kwani kuamini wewe ni robot kunakufanya wewe uwe robot?

Mbona unajikita sana kwenye kuamini, wakati kuamini mtu anaweza kuamini uongo wowote tu?
Kaka kiranga,mimi si muumini wa hizi dini hata kidogo.Lakini siwezi kuwabishia kwamba hakuna mungu sababu sina njia ya kuathibitishia kwamba kweli hayupo,na vilevile siwezi kuwakubalia kwamba yupo
KUMBUKA hata sayansi haikani moja kwa moja kwamba mungu hayupo na bado kuna tafiti bado zinaendelea kuhusu uwepo wa mungu.
ILI ukane uwepo wa mungu inabidi uje uthibitisho usioacha shaka ili na wao wajione wajinga waache kuabudu
 
Kwani kuamini wewe ni robot kunakufanya wewe uwe robot?

Mbona unajikita sana kwenye kuamini, wakati kuamini mtu anaweza kuamini uongo wowote tu?
Mkuu inaanza imani halafu uthibitisho unafuata,hebu ziangalie nadharia za 'big bang' zinavyoelezea chanzo cha mwanadamu.
LAKINI hata dini haijamwelezea Mungu kama kiumbe,bali imeelezea Mungu kama STATE/hali(wanadini nisahihisheni hapa).
Sayansi inaamini chanzo cha mwanadamu ni 'nature' sasa kama mungu ni hali kwanini tusione kwamba ndio hiyo nature?
 
Kaka kiranga,mimi si muumini wa hizi dini hata kidogo.Lakini siwezi kuwabishia kwamba hakuna mungu sababu sina njia ya kuathibitishia kwamba kweli hayupo,na vilevile siwezi kuwakubalia kwamba yupo
KUMBUKA hata sayansi haikani moja kwa moja kwamba mungu hayupo na bado kuna tafiti bado zinaendelea kuhusu uwepo wa mungu.
ILI ukane uwepo wa mungu inabidi uje uthibitisho usioacha shaka ili na wao wajione wajinga waache kuabudu
Sayansi inaweza kuthibitisha 10 si square root ya 2, katika base 10 math?
 
Mkuu inaanza imani halafu uthibitisho unafuata,hebu ziangalie nadharia za 'big bang' zinavyoelezea chanzo cha mwanadamu.
LAKINI hata dini haijamwelezea Mungu kama kiumbe,bali imeelezea Mungu kama STATE/hali(wanadini nisahihisheni hapa).
Sayansi inaamini chanzo cha mwanadamu ni 'nature' sasa kama mungu ni hali kwanini tusione kwamba ndio hiyo nature?
Unahitimisha jambo usilolijua?

Nature ni nini?

Nature ina upendo wote?
 
Kwani wewe umeshazijua tabia zote za nature?
Nakuuliza nature ni nini, wrwe unanijibu kwa kuniukiza kama nimezijua tabia zote za nature.

Nature ni nini?

Nature ina upendo?

Kabla hatujaeleeana nature ni nini, kujadili tabia za nature ni kuruka ngazi ya ku define nature ni nini.

Nature ni nini?
 
Hisabati ndio inaweza kuthibitisha hivyo
Kwa nini hisabati inaweza kuthibitisha hivyo?

Nikikwambia kwamba, kanuni zilinazoruhusu hisabati kuthibitisha hivyo ndizo hizo hizo zinazothibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeruhusu ulimwengu huu wenye kuwezekana kuwa na mabaya kuwepo hawezi kuwepo, utakubali?
 
Naweza kuthibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Using proof by contradiction.

Kama ninavyoweza kuthibitisha 10 si square root ya 2,

Using proof by contradiction.
Huwezi kuthibitisha kuwa Mungu hayupo.
Kwani hakuna binadamu mwenye akili salama anayeweza kufanya hivyo.
 
Huwezi kuthibitisha kuwa Mungu hayupo.
Kwani hakuna binadamu mwenye akili salama anayeweza kufanya hivyo.
Yani hata hujanitaka nithibitishe.

Umehitimisha tu bila hata kunitaka nithibitishe.

Hilo linaonesha umeshajiamulia jibu lako na hutaki kusikia kitu tofauti.

Kwanza hujawa na level ya specificity niliyoileta hapa.

Hilo linaonesha ama uvivu, ama ujinga.

Yote ni majanga.
 
Back
Top Bottom