TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Nimekuuliza huyo Mungu kazi yake kuzuia ulimwengu wenye mabaya? maana kama ni upendo hata binaadamu wanao upendo,ujuzi na uwezo.
Huyo Mungu tabia zake ziko mutually exclusive na uwepo wa ulimwengu ilunaoruhusu mabaya kuwepo.

Nimekuuliza, unajua "mutual exckusivity" ni nini?

Hujaj8bu. Tuj8k8te hapo kwanza maana haoo ndipo pana mzizi wa fitina.

Kwenye hqbari za binadamu.

Kwa hiyo unafananisha ujuzi, uwezo na upendo wa binadamu na wa huyo Mungu?

Kwamba huyo Mungu wako ujuzi wake ni sawa na ujuzi wa watabiri wa hali ya hewa wanaoweza kukuambia kesho itanyesha mvua, halafu kukawa na jua kali bila hata wingu wala mvua yoyote?
 
Hebu tuliza akili.

Hivi mtu akikwambia inawezekana keaho ikanyesha mvua halafu kesho yake mvua isinyeshe utasema aliongea uongo? ndio maana nikakwambia kila neno lina maana yake na matumizi yake.
Nakwambia hivi, ukiongea habari ya "inawezekana", that is not meaningful.

Kwa sababu, ukisema "inawezekana", sehemu nyingine ya kauli hiyo ambayo haijasemwa ni "haiwezekani".

Mtu akisema inawezekana kesho ikanyesha mvua, haja ji commit kwamba kesho ni lazima itanyesha mvua, maana yake amesema kuna chance kesho mvua haitanyesha.

Na hivyo, neno "inawezekana" halina maana.

Nikisema inawezekana mimi ndiye Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hilo halina maana sana, kwa sababu sijasema kitu definite chenye proof. Sijaweka hata uwezekano huo ni wa asilimia ngapi ili tuupime kama una mantiki.

Habari ya "inawezekana" inakuwa so vague kiasi kwamba inakuwa meaningless.

Kuondokana na this meaningless vague word, tuongelee ushahidi, uthibitisho, numerical probability nq vitu vingine vilivyo definite zaidi ya "inawezekana".
 
Huyo Mungu tabia zake ziko mutually exclusive na uwepo wa ulimwengu ilunaoruhusu mabaya kuwepo.

Nimekuuliza, unajua "mutual exckusivity" ni nini?

Hujaj8bu. Tuj8k8te hapo kwanza maana haoo ndipo pana mzizi wa fitina.

Kwenye hqbari za binadamu.

Kwa hiyo unafananisha ujuzi, uwezo na upendo wa binadamu na wa huyo Mungu?

Kwamba huyo Mungu wako ujuzi wake ni sawa na ujuzi wa watabiri wa hali ya hewa wanaoweza kukuambia kesho itanyesha mvua, halafu kukawa na jua kali bila hata wingu wala mvua yoyote?
Si suala la kulinganisha bali issue ni huo uhusiano wa kuwepo ulimwengu wenye mabaya na hizo sifa za upendo ujuzi na uwezo. Ndio nimekwambia hata binaadamu wanazo hizo sifa na issue sio kuwa nyingi sana au kidogo issue wanazo.
 
Si suala la kulinganisha bali issue ni huo uhusiano wa kuwepo ulimwengu wenye mabaya na hizo sifa za upendo ujuzi na uwezo. Ndio nimekwambia hata binaadamu wanazo hizo sifa na issue sio kuwa nyingi sana au kidogo issue wanazo.
Binadamu ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?
 
Nakwambia hivi, ukiongea habari ya "inawezekana", that is not meaningful.

Kwa sababu, ukisema "inawezekana", sehemu nyingine ya kauli hiyo ambayo haijasemwa ni "haiwezekani".

Mtu akisema inawezekana kesho ikanyesha mvua, haja ji commit kwamba kesho ni lazima itanyesha mvua, maana yake amesema kuna chance kesho mvua haitanyesha.

Na hivyo, neno "inawezekana" halina maana.

Nikisema inawezekana mimi ndiye Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hilo halina maana sana, kwa sababu sijasema kitu definite chenye proof. Sijaweka hata uwezekano huo ni wa asilimia ngapi ili tuupime kama una mantiki.

Habari ya "inawezekana" inakuwa so vague kiasi kwamba inakuwa meaningless.

Kuondokana na this meaningless vague word, tuongelee ushahidi, uthibitisho, numerical probability nq vitu vingine vilivyo definite zaidi ya "inawezekana".
Ndio maana nasema mtu akikwambia kesho mvua inawezekana kunyesha na isinyeshe huwezi kumwita muongo, nilifikiri tulielewana hapo sasa nashangaa maelezo yote ya nini.
 
Issue sio "wote" issue ni upendo ujuzi na uwezo.
Wote ni issue.

Kwa sababu mwenye uwezo wote anaweza kuzuia ulimwengu wenye baya usiwepo.

Ambaye hana uwezo wote, ana uwezo fulani tu wa kulipa ada shule nzuri, hawezi kuzuia ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo.

Sasa hapo utasemaje "wote" si issue?

Yani unaenda kununua Mercedes Benz kali ya dola milioni moja.

Halafu wewe una dola moja tu.

Unamwambia muuzaji issue si kuwa na hela yote, issue ni kuwa na hela tu hata hii dola moja ni hela ikubali niuzie hiyo Mercedes Benz kwa dola moja.

Unalazimisha hoja bila proportionality hapo.

Kwa hoja hiyo unaweza kusema kila mtu anayeweza kutengeneza chochote, kabati, meza, computer, kuchora tu etc ni Mungu.

Issue si kuumba ulimwengu, issue ni kuumba chochote tu, yeyote anayeweza kuumba ni Mungu.

Ridiculous.
 
Mwacheni mwamba apumzike sasa!...kelele ni nyingi
 
Ndio maana nasema mtu akikwambia kesho mvua inawezekana kunyesha na isinyeshe huwezi kumwita muongo, nilifikiri tulielewana hapo sasa nashangaa maelezo yote ya nini.
Yani bora hata angekuwa muongo tu.

Muongo tu ni mtu ambaye unaweza kumpima na kuonesha huyu muongo, hana ukweli.

Huyo anayetumia "inawezekana" ni ujinga usiopimika.

Ni worse than uongo tu.

Kwa wanaotenganisha ukweli nanuongo, hicho ni kitu irrelevant.
 
Wote ni issue.

Kwa sababu mwenye uwezo wote anaweza kuzuia ulimwengu wenye baya usiwepo.

Ambaye hana uwezo wote, ana uwezo fulani tu wa kulipa ada shule nzuri, hawezi kuzuia ulimwengu ambao mabaya hayawezi kuwepo.

Sasa hapo utasemaje "wote" si issue?

Yani unaenda kununua Mercedes Benz kali ya dola milioni moja.

Halafu wewe una dola moja tu.

Unamwambia muuzaji issue si kuwa na hela yote, issue ni kuwa na hela tu hata hii dola moja ni hela ikubali niuzie hiyo Mercedes Benz kwa dola moja.

Unalazimisha hoja bila proportionality hapo.

Kwa hoja hiyo unaweza kusema kila mtu anayeweza kutengeneza chochote, kabati, meza, computer, kuchora tu etc ni Mungu.

Issue si kuumba ulimwengu, issue ni kuumba chochote tu, yeyote anayeweza kuumba ni Mungu.

Ridiculous.
Tatizo ni mahusiano ya hizo sifa na huu ulimwengu.
 
Yani bora hata angekuwa muongo tu.

Muongo tu ni mtu ambaye unaweza kumpima na kuonesha huyu muongo, hana ukweli.

Huyo anayetumia "inawezekana" ni ujinga usiopimika.

Ni worse than uongo tu.

Kwa wanaotenganisha ukweli nanuongo, hicho ni kitu irrelevant.
Kama neno inawezekana kwako unalichukulia ni uongo hiyo ni shida yako.
 
Kama neno inawezekana kwako unalichukulia ni uongo hiyo ni shida yako.
Unajua kusoma kwa ufahamu?

Uongo kwa muktadha gani?

Umeelewa nilipokwambia hilo neno ni worse than uongo, ni irrelevant?

Nikikwambia inawezekana mlima Kilimanjaro, mlima mrefu Afrika kilele chake kipo chini ya bahari, hiyo statement ni worse than uongo.

Kwa sababu neno "inawezekana" linafanya habari iwe neither here nor there, na hivyo, hata kupingika haipingiki, kwa sababu nusu isiyosemwq ni kwqmba inawezekana isiwe hivyo pia.

Therefore the entirety of the statement is meaningless!

What is so hard to undeestand there?

Unqjua kusoma kwa ufahamu?
 
Kichwani kwangu, nimeandika hoja hapa JF, nimetoa proof by contradiction kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni tungo ya watu tu..

Unajua proof by contradiction ni nini?

Kwamba unadhani ila huna uhakika
 
Hizi dini uongo mtupu mwanzo mwisho.

Hakuna hata mmoja anayeweza kuthibitisha huyo Mungu yupo.
Kuwepo kwa Mungu ni jambo la kiroho na kiimani. Hata wewe upo hapa duniani kwa imani kwamba ulizaliwa. Lakini hukushuhudia kuzaliwa kwako bali uliambiwa tu au kwa kusoma kumbukumbu za maandishi.
Amini kwamba Mungu yupo kama unavyoamini kuzaliwa kwako.
 
Kuwepo kwa Mungu ni jambo la kiroho na kiimani. Hata wewe upo hapa duniani kwa imani kwamba ulizaliwa. Lakini hukushuhudia kuzaliwa kwako bali uliambiwa tu au kwa kusoma kumbukumbu za maandishi.
Amini kwamba Mungu yupo kama unavyoamini kuzaliwa kwako.
Kama tunaenda kwa imani tu.

Kwa nini niamini nimezaliwa na nisiamini sijazaliwa nimekuwapo tu siku zote?
 
Inakuja kwa sababu wewe unasena yupo.

Wqkati ulimwengu huu kuwapo unaprove huyo Mungu hayupo.

Unaelewa concept ya mutual exlusivity?
Hivi mkuu unaamini kuna electrons,protons,gama rays na beta rays?
AU wapi sayansi imethibitisha kuwa hakuna MUNGU
 
Back
Top Bottom