Inakuja kwa sababu wewe unasena yupo.Sasa kama Mungu hahusiki na huu ulimwengu hiyo hoja ya Mungu kutoruhusu ulimwengu wenye mateso inakujaje ikiwa hahusiki na huu ulimwengu?
Thibitisha Mungu yupo, usiseme tu inawezekana yupo.Inawezekana kwel Mungu yupo Ila kwa din apo na uhakika tulidanganywa na dhumun la kudnganywa Ni ili tutawalike kirahis
Thqt is neither here nor there regarding my argument.[emoji1] Kama kawaida mzee
Hujajibu nani.We huwezi kuwaelewa ila wenyewe kwa wenyewe wanathibitishiana kupitia vitabu vyao wenyewe
Sasa Kama yeye kaamua kujificha mm nadhibitisha vip? Swala la yeye kuwepo au kutokuwepo atajua mwenyewe bhna kma kweli yupo alafu katuficha then akaniadhibu kwa mm kutokuamni kwngu yupo na kuambia hyo haitakuwa hakiThibitisha Mungu yupo, usiseme tu inawezekana yupo.
Ukimuhusisha huyo Mungu na huu ulimwengu ila kama hahusishwi na huu ulimwengu hayo maovu ya dunia yatamuhusu vp?Inakuja kwa sababu wewe unasena yupo.
Wqkati ulimwengu huu kuwapo unaprove huyo Mungu hayupo.
Unaelewa concept ya mutual exlusivity?
Yanamhusu kwa sababu tabia yake ya upendo wote inazuia maovu yasiwezekane, uwezo wake wa kuweza yote na ujuzi wake wa kujua yote unampa nguvu ya kufanya ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya mabaya usiweze kuwepo.Ukimuhusisha huyo Mungu na huu ulimwengu ila kama hahusishwi na huu ulimwengu hayo maovu ya dunia yatamuhusu vp?
You are all over the map like a Magellan fleet.Sasa Kama yeye kaamua kujificha mm nadhibitisha vip? Swala la yeye kuwepo au kutokuwepo atajua mwenyewe bhna kma kweli yupo alafu katuficha then akaniadhibu kwa mm kutokuamni kwngu yupo na kuambia hyo haitakuwa haki
Tatizo sitaki kuamini tu, nataka kuelewa na kujua, na hakuna aliye prove kwamba Mungu yupo.Kwan akiamin hayupo lakini akamkuta atamfanya Nini wakati yeye mwenyewe kaamua asionekane Wala kudhibitika mpka kuleta taharuki kma hii
Huelezi hasa kvp imuhusu? huwezi kusema tu et kwa sababu ana sifa ya upendo wote na ujuzi wote, hoja yako ya contradiction maana yake ni kwamba huyo Mungu hahusiki na huu ulimwengu kuvihusisha hivyo vitu viwili hufanya contradiction,sasa ajabu unalazimisha tena kumuhusisha huyo Mungu na huu ulimwengu.Yanamhusu kwa sababu tabia yake ya upendo wote inazuia maovu yasiwezekane, uwezo wake wa kuweza yote na ujuzi wake wa kujua yote unampa nguvu ya kufanya ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya mabaya usiweze kuwepo.
Ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya ukiweza kuwepo, maana yake Mungu huyo hayupo.
Na Mungu huyo akiwepo, ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya hauwezi kuwepo.
Ulimwengu unaoruhusu mabaya upo.
Hivyo, Mungu huyo hayupo.
HakikaView attachment 1813227
Ubatizo wa maji ni udhihirisho wa nje kwamba umempokea Kristo!
Wapo waliompokea Kristo pasipo udhihirisho huo wa nje na kuokolewa!
Ref: Mwizi msalabani aliye mkiri Kristo na kuokolewa pasipo ubatizo wa maji.
Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuachia ulimwengu wenye mabaya kuweza kutokea wakati yeye ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuzuia ulimwengu huo usiweze kutokea ni kama kusema kasinzia kazini.Huelezi hasa kvp imuhusu? huwezi kusema tu et kwa sababu ana sifa ya upendo wote na ujuzi wote, hoja yako ya contradiction maana yake ni kwamba huyo Mungu hahusiki na huu ulimwengu kuvihusisha hivyo vitu viwili hufanya contradiction,sasa ajabu unalazimisha tena kumuhusisha huyo Mungu na huu ulimwengu.
Mungu yupo Tena yupo katka utatu , maji , jua na ardhi ndio Mungu nafkiri nimekuzbitishia na ndio kaumba viumbe vyote na ndie mwenye mamlaka ya kutoa uhai kwa kila kiumbe , Ngoja nikupe mfano ukasema mungu ayupo binadamu katokea tu haingii akilin kulko kusema Mungu yupo , mfano tupo wawil tunatembea tukakuta saa barabaran imedondoka ,alafu mm nikasema hii saa imetokea tu kwanza utaniona mm Ni kichaa , kwasabu hyo saa lazma Kuna mmiliki wake kaidondosha apo , ata binadamu na viumbe vyote vina chanzo chake,Tena hicho chnzo Kina akili sana, tazama mifumo mblmbal ya mwil , mfumo wa brain ilivyopangiliwa kitaalamu , mfumo wa mzunguko wa damu , mfumo wa upumuaji , mfumo wa utoaji taka mwil , mfumo wa uzaz , utajua kabsa umepangiliwa kitaalamu sna na mtaalmu mwenye akili ya ajabu , Ndo maana mantiki ya Mungu yupo inaingia akili kuliko ya kutokuwepo ,. Tatzo lako Unahisi Mungu Ni kiumbe chenye damu na nyama ndo maana unataka udhibitisho wa kisayansi , wanasayansi wenyewe wanaamin jua lipo na vtu gan vipo kwenye jua kwa kuangalia matokea yake . Mungu Ni nishati flan yenye nguvu Zaid yako na chochte kile ukiwa kwenye ulimwengu wa nyama hauwez dhibitisha ulimwengu wa roho . Pia ukitaka kudhibisha vingi ambavyo hao wanasayansi walikuficha ili usiwe na maarifa kuliko wao jarbu kufanya meditation (Astra body projection) utakuja kujua we Ni Zaid ya ulivyo , pia utadhibitisha pekee yako , Kuna ulimwengu mwngne Zaid ya huu unaouona kwa macho.Tatizo sitaki kuamini tu, nataka kuelewa na kujua, na hakuna aliye prove kwamba Mungu yupo.
Mungu kakupa uwezo wa ww binadamu wa kutambua mema na mabaya kakupa Uhuru wte bila yeye kukuingilia kimawazo . Hayo mabaya unayoyaona sjui matetemeko magonjwa na mengne mengi , Ni maamuz ya binadamu mwenyewe kaamua kuchakua upande huo wa mabaya kwa madhumuni flan bila kuingiliwa na Mungu Kama alivyoamua kutupa uwezo wa kujiamulia kusuka au kunyoa Uharbifu wa mazngra umechangia hayo majanga unayoyataja , pia ata magonjwa mengi yanasbabishwa na machaguo yetu wenyewe, na mengne tumeyatengeneza kwa sbbu za kibiashara . Kifo kwa sabbu za uzee Ni matokeo ya huu mwili kuchka tu ili tuishi Tena kwenye ulimwengu mwngne wa kinishati Zaid . Mfono hautaweza sema Albert enstern hayupo kwa sababu technology aliyo igundua dunia imeamua kuitumia kutengeneza atomic bom na kusababisha madhara makubwa (kule Japan) Albert katupa uwezo wa kuitumia hyo technology kwenye mazur na mabaya Sasa apo maamuz yako ndio yatakusaidia ww upate matokea chanya au hasi bila kuingiliwa na muumbaji wa hyo technologyMungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuachia ulimwengu wenye mabaya kuweza kutokea wakati yeye ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kuzuia ulimwengu huo usiweze kutokea ni kama kusema kasinzia kazini.
Sasa huyo Mungu hapo hapo ana uwezo wote kuzuia ulimwengu wenye mabaya, hapo hapo anasinzia kazini ulimwengu wenye mabaya unatokea?
Big up MkuuSiamini hata mmoja dunia nzima.
Ila namuamini Mungu .
Ila nawaheshimu tu kama wanadamu wenye wafuasi katika mambo yao.
Una USHAHIDI na hilo?Marehemu Tb Joshua alikuwa Muisilamu mwenzetu sema unajua tena katika shughuli za utafutaji.
Naam, Ustaadh Tb Joshua alilelewa na Mjomba wake ambaye ni Muisilamu kabla ya kufungua Sinagogi la ujasiria mali ili mkono uende kinywani, na sasa amerejea kwa Allah.Una USHAHIDI na hilo?