Uhai wako tu ni proof Mungu yupo. Huwezi kwenda porini ukakuta nyumba halafu ukasema imetokea tu, kuna mtu ameijenga. Mwanadamu ni matokeo ya higher level of intellegenceHizi dini uongo mtupu mwanzo mwisho.
Hakuna hata mmoja anayeweza kuthibitisha huyo Mungu yupo.
Kama uhai wangu ni proof Mungu yupo, kifo ni proof kwamba Mungu hayupo?Uhai wako tu ni proof Mungu yupo. Huwezi kwenda porini ukakuta nyumba halafu ukasema imetokea tu, kuna mtu ameijenga. Mwanadamu ni matokeo ya higher level of intellegence
Mitume walisikia neno la Yesu wakaaminiMkuu matunduizi habari.
Mkuu matunduizi jina lako linaweza kuwa linaongea mengi kuliko uliyosema umeyasikia.
Biblia katika Warumi 10: 9-10 inasema "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu"
Pia Biblia inasema katika mathayo 28: 19-20 kwamba " Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.”
Pia biblia inasema katika Marko 16: 15-16 kwamba " Basi, akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu. Anayeamini na kubatizwa ataokolewa. Asiyeamini atahukumiwa"
Hata bila kuingia ndani sana naomba kueleza kwamba mistari niliyoandika hapo inasisitiza kwamba:-
1. Kumpokea Yesu kama ni Bwana ni uamuzi binafsi ambao unaweza kuufanya ukiwa pekee yako au katika hadhara mfano kanisani au katika Crusades kama zinazoendelea wiki hii chini ya "Christ for All Nations - CFAN"
2.Ili kuukulia Wokovu unahitajika kuanza maisha ya uanafunzi wa Kristo kwa njia ya kusoma Biblia mwenyewe au kuwa chini ya kiongozi fulani wa kiroho mfano Mchungaji. Hili ni jambo lililowachukiza wachungaji wengi wa Nigeria kwavile T.B Joshua hakuwahi kuwa chini ya Mchungaji yeyote (Mentor) kama wao walivyokariri kwamba ni formula ya kiblilia ambayo hawajasema imeandikwa wapi?
3. Kubatiza kiblia i.e Immerse au kiswahili kuzika ni kitendo cha nje ambacho mtu mzima sio mtoto anaudhihirishia ulimwengu kwamba kwa kumpokea Yesu kama ni Bwana na Mwokozi wake amekufa katika dhambi na HIVYO BASi anaonyesha ishara ya kuuzika mwili wa DHAMBI kwa njia ya UBATIZO
Kwa uzoefu wangu wa kufuatilia mambo kiroho ya makanisa ya Nigeria, viongozi wengi wa kikristo wamekuwa na chuki binafsi na T.b Joshua kwa miaka mingi sasa. Wanachojaribu kukifanya ni kufuta "Legacy" aliyoiacha T.B Joshua.
Ahsante
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji2955][emoji2955] Kwa hiyo hawamtaki? Na mafundisho yake je? nayo ni batili?Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.
Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.
Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.
TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.
Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.
Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2955][emoji2955][emoji2955]Kwamba Rashidi naye humtambui?Ukipata muda naomba umchunguze na baba askofu Gwajima Kama amempokea yesu na kubatizwa ili nijue sadaka yangu jumapil naipeleka kwake au nitombeee tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mitume walisikia neno la Yesu wakaamini
Paulo alipelekwa kwa mentor japo baadae alienda saudi arabia jangwani kufundwa zaidi (revelation).
Imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Mungu. TB anapwaya anaposema yeye hayo mambo alimalizana na Yesu tumboni kabla hajazaliwa.
Kwa holy spirit dispensation hii ni spiritualism sio faith.
Nakushukuru kwa maoni makini sana mkuu
Schrodinger's Cat scenario inaweza kupimwa kwa experiment.
Mungu amepimwa wapi kwa experiment?
Kichwani kwangu, nimeandika hoja hapa JF, nimetoa proof by contradiction kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni tungo ya watu tu..Wewe ulimpima wapi kuamini kuwa hayupo
Hapana mkuu maana mm nasali pale ubungo na baba askofu alikuwa anatuambia mentor wake n TB JOSHUA Sasa cha ajabu mentor hakuwah kumpokea Jesus Christ vp Sasa yeye baba askofu amempokea MWOKOZI?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2955][emoji2955][emoji2955]Kwamba Rashidi naye humtambui?
Safari ya kuelekea mbinguni ina changamoto nyingi sana [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hapana mkuu maana mm nasali pale ubungo na baba askofu alikuwa anatuambia mentor wake n TB JOSHUA Sasa cha ajabu mentor hakuwah kumpokea Jesus Christ vp Sasa yeye baba askofu amempokea MWOKOZI?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Imani inaweza kuwa ya uongo au ya ukweli.Kwani imani haiwezekani kuwa ya uongo, imejengwa juu ya assumptions za uongo?
OK, kwa hiyo mtu akileta imani ya uongo hapa JF, akiwahubiria watu wale mavi, ni dawa ya Covid-19.Imani inaweza kuwa ya uongo au ya ukweli.
Dah! *****! Nimecheka kisenge.Ukipata muda naomba umchunguze na baba askofu Gwajima Kama amempokea yesu na kubatizwa ili nijue sadaka yangu jumapil naipeleka kwake au nitombeee tu
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Au nasema uongo ndugu zangu? Msema kweri ni mpenzi wamunguwatarii watapungua Nigeria kweri-kweri
Point yangu ni kwamba imani ni imani tu iwe uongo au ya kweli, ila hukatazwi kuonesha imani fulani ni potofu.OK, kwa hiyo mtu akileta imani ya uongo hapa JF, akiwahubiria watu wale mavi, ni dawa ya Covid-19.
Halafu wewe unajua kula mavi si dawa ya Covid-19, bali kunasababisha kipindupindu.Huyu mtu anayeleta imani potofu atatuletea mlipuko wa kipindupindu hapa.
Ukisema hii imani ni potofu, halafu mtu akakwambia usiseme hivyo, unaingilia imani ya watu, utaona sawa?
Utaona ni kweli umeingilia imani ya watu ukae kimya au utaona una wajibu wa kusema ukweli na ku expose huu uongo kwamba mavi ni dawa ya Covid-19?
Imani ni imani tu maana yake nini? Imani inayoyotokana na upotofu ni sawa na inayotokana na ukweli?Point yangu ni kwamba imani ni imani tu iwe uongo au ya kweli, ila hukatazwi kuonesha imani fulani ni potofu.