TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

TB Joshua hakuwahi kubatizwa wala kumpokea Yesu! Nimeshangaa sana

Hizi dini uongo mtupu mwanzo mwisho.

Hakuna hata mmoja anayeweza kuthibitisha huyo Mungu yupo.
Uhai wako tu ni proof Mungu yupo. Huwezi kwenda porini ukakuta nyumba halafu ukasema imetokea tu, kuna mtu ameijenga. Mwanadamu ni matokeo ya higher level of intellegence
 
Uhai wako tu ni proof Mungu yupo. Huwezi kwenda porini ukakuta nyumba halafu ukasema imetokea tu, kuna mtu ameijenga. Mwanadamu ni matokeo ya higher level of intellegence
Kama uhai wangu ni proof Mungu yupo, kifo ni proof kwamba Mungu hayupo?

Kama vyenye complexity haviwezi kutokea tu, ni lazima viwe na aliyeviweka, unaelewa hilo linathibitisha Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo?

Kwa sababu, kwa kutumia kanuni yako, huyo Mungu naye atahitaji kuwa na aliyemuumba, na aliyemuumba aliyemuumba naye atahitaji aliyemuumba. Ad infinitum, ad nauseam.

Bila kujua, wewe mwenyewe unatoa ushahidi kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.

Unapoandika kwamba mwanadamu ni matokeo ya higher level ya intelligence, unafanya makosa ya ku assume kwamba complexity/ intelligence ni lazima itokane na complexity/ intelligence kubwa zaidi.

Bila kujua kwamba lower complexity/ intelligence can grow into higher complexity/ intelligence.
 
Mkuu matunduizi habari.

Mkuu matunduizi jina lako linaweza kuwa linaongea mengi kuliko uliyosema umeyasikia.

Biblia katika Warumi 10: 9-10 inasema "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu"

Pia Biblia inasema katika mathayo 28: 19-20 kwamba " Nendeni basi, mkawafanye watu wa mataifa yote wawe wanafunzi wangu, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu. Wafundisheni kushika maagizo yote niliyowapeni. Nami nipo pamoja nanyi siku zote; naam, mpaka mwisho wa nyakati.”

Pia biblia inasema katika Marko 16: 15-16 kwamba " Basi, akawaambia, “Nendeni ulimwenguni kote mkahubiri Habari Njema kwa kila mtu. Anayeamini na kubatizwa ataokolewa. Asiyeamini atahukumiwa"

Hata bila kuingia ndani sana naomba kueleza kwamba mistari niliyoandika hapo inasisitiza kwamba:-

1. Kumpokea Yesu kama ni Bwana ni uamuzi binafsi ambao unaweza kuufanya ukiwa pekee yako au katika hadhara mfano kanisani au katika Crusades kama zinazoendelea wiki hii chini ya "Christ for All Nations - CFAN"

2.Ili kuukulia Wokovu unahitajika kuanza maisha ya uanafunzi wa Kristo kwa njia ya kusoma Biblia mwenyewe au kuwa chini ya kiongozi fulani wa kiroho mfano Mchungaji. Hili ni jambo lililowachukiza wachungaji wengi wa Nigeria kwavile T.B Joshua hakuwahi kuwa chini ya Mchungaji yeyote (Mentor) kama wao walivyokariri kwamba ni formula ya kiblilia ambayo hawajasema imeandikwa wapi?

3. Kubatiza kiblia i.e Immerse au kiswahili kuzika ni kitendo cha nje ambacho mtu mzima sio mtoto anaudhihirishia ulimwengu kwamba kwa kumpokea Yesu kama ni Bwana na Mwokozi wake amekufa katika dhambi na HIVYO BASi anaonyesha ishara ya kuuzika mwili wa DHAMBI kwa njia ya UBATIZO

Kwa uzoefu wangu wa kufuatilia mambo kiroho ya makanisa ya Nigeria, viongozi wengi wa kikristo wamekuwa na chuki binafsi na T.b Joshua kwa miaka mingi sasa. Wanachojaribu kukifanya ni kufuta "Legacy" aliyoiacha T.B Joshua.

Ahsante
Mitume walisikia neno la Yesu wakaamini
Paulo alipelekwa kwa mentor japo baadae alienda saudi arabia jangwani kufundwa zaidi (revelation).

Imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Mungu. TB anapwaya anaposema yeye hayo mambo alimalizana na Yesu tumboni kabla hajazaliwa.

Kwa holy spirit dispensation hii ni spiritualism sio faith.

Nakushukuru kwa maoni makini sana mkuu
 
Nimekuwa nikifuatilia kifo cha gwiji huyu wa gospo tangu kilipotokea.

Jana nilishangaa hoja ambazo Jumuia ya makanisa ya kikristo ya Nigeria na Jumuia ya makanisa ya kipentekoste kumkataa kabisa TB Joshua kama Mkristo mwenzao.

Alipoulizwa sababu ya kumkataa, mwenyekiti mmoja wa jumuia hiyo aliwahi kusema.

TB hajawahi kubatizwa, au kuonyesha alimpokea Yesu lini na wapi na kwa pastor yupi. Hawakubaliani na agenda yake kuwa yeye Yesu alimalizana naye tangu akiwa tumboni mwa mama yake mimba ambayo ilikaa miezi 15.

Kwa kanuni za kikristo na Kibiblia mtu akiwa na akili timamu ndio anatakiwa amchague Yesu sio tumboni. Lakini pia kwa wengine akiwa mtoto hubatizwa. Lkn sio tumboni na angalau aonyeshe ushahidi wao hawatapata shida kabisa.

Huyu ndiye Gwiji wa injili aliyekuza sekta ya utalii nigeria kwa njia ya injili. Kuna mwaka ulifika ndege ikitua na wazungu 10 nigeria zaidi ya sita wote walikuwa wanaenda SCOAN kulamba upako.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji2955][emoji2955] Kwa hiyo hawamtaki? Na mafundisho yake je? nayo ni batili?
 
Mitume walisikia neno la Yesu wakaamini
Paulo alipelekwa kwa mentor japo baadae alienda saudi arabia jangwani kufundwa zaidi (revelation).

Imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Mungu. TB anapwaya anaposema yeye hayo mambo alimalizana na Yesu tumboni kabla hajazaliwa.

Kwa holy spirit dispensation hii ni spiritualism sio faith.

Nakushukuru kwa maoni makini sana mkuu

Mkuu matunduizi salam tena kwako,
Hayo maneno kwamba T.B Joshua alimalizana n a Mungu toka tumboni umeyatoa wapi? Naomba una ushahidi uuweke hapa tuuone wote

Ahsante
 
Nilishasema haya ni maujanja tu ya maisha, zingatia kwa makini kuwa "maisha ni mchezo"
 
Wewe ulimpima wapi kuamini kuwa hayupo
Kichwani kwangu, nimeandika hoja hapa JF, nimetoa proof by contradiction kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, ni tungo ya watu tu..

Unajua proof by contradiction ni nini?
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2955][emoji2955][emoji2955]Kwamba Rashidi naye humtambui?
Hapana mkuu maana mm nasali pale ubungo na baba askofu alikuwa anatuambia mentor wake n TB JOSHUA Sasa cha ajabu mentor hakuwah kumpokea Jesus Christ vp Sasa yeye baba askofu amempokea MWOKOZI?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hapana mkuu maana mm nasali pale ubungo na baba askofu alikuwa anatuambia mentor wake n TB JOSHUA Sasa cha ajabu mentor hakuwah kumpokea Jesus Christ vp Sasa yeye baba askofu amempokea MWOKOZI?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Safari ya kuelekea mbinguni ina changamoto nyingi sana [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kuna. Jamaa anasisitiza kuwa huyo jamaa KAMALIZANA NA MABOSS WAKE wa secret society so kuna hiden issues hapa ni ngumu kuzielewa kwa sasa.
 
Tb Joshua ni mpigaji tu ni mlaghai ambae hata yeye mwenyewe anajijua ni mbabaishaji isipokua waumin wake ndo nyie ambao mmeshakubali kudanganyika na mlikua tayar kutoa mali zenu zote mkamkabidhi
 
Imani inaweza kuwa ya uongo au ya ukweli.
OK, kwa hiyo mtu akileta imani ya uongo hapa JF, akiwahubiria watu wale mavi, ni dawa ya Covid-19.

Halafu wewe unajua kula mavi si dawa ya Covid-19, bali kunasababisha kipindupindu.Huyu mtu anayeleta imani potofu atatuletea mlipuko wa kipindupindu hapa.

Ukisema hii imani ni potofu, halafu mtu akakwambia usiseme hivyo, unaingilia imani ya watu, utaona sawa?

Utaona ni kweli umeingilia imani ya watu ukae kimya au utaona una wajibu wa kusema ukweli na ku expose huu uongo kwamba mavi ni dawa ya Covid-19?
 
Ukipata muda naomba umchunguze na baba askofu Gwajima Kama amempokea yesu na kubatizwa ili nijue sadaka yangu jumapil naipeleka kwake au nitombeee tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dah! *****! Nimecheka kisenge.
Tombea tu mkuu, maana hata yeye ukimpelekea anaenda kutombea, unakumbuka ile dada nyeupe ilivyomfanya akatoa sauti kama exhaust ya lorry aina ya fiat wakati anapiz?
 
OK, kwa hiyo mtu akileta imani ya uongo hapa JF, akiwahubiria watu wale mavi, ni dawa ya Covid-19.

Halafu wewe unajua kula mavi si dawa ya Covid-19, bali kunasababisha kipindupindu.Huyu mtu anayeleta imani potofu atatuletea mlipuko wa kipindupindu hapa.

Ukisema hii imani ni potofu, halafu mtu akakwambia usiseme hivyo, unaingilia imani ya watu, utaona sawa?

Utaona ni kweli umeingilia imani ya watu ukae kimya au utaona una wajibu wa kusema ukweli na ku expose huu uongo kwamba mavi ni dawa ya Covid-19?
Point yangu ni kwamba imani ni imani tu iwe uongo au ya kweli, ila hukatazwi kuonesha imani fulani ni potofu.
 
Point yangu ni kwamba imani ni imani tu iwe uongo au ya kweli, ila hukatazwi kuonesha imani fulani ni potofu.
Imani ni imani tu maana yake nini? Imani inayoyotokana na upotofu ni sawa na inayotokana na ukweli?
 
Back
Top Bottom