TBC ya kikwete ilikuwa na makada wa upinzani lakini TBC ya chato imejaa makada wa CCM watupuDuh! Sijaamini. Ngoja tuone muda ukifika kama hawata kata matangazo kwa matatizo yaliyo nje ya uwezo wao. Au kukata sauti.
Nb. Muandae mabango yenye sera zenu. Ili wakikata sauti muwe mnayapitisha mbele mbele hapo. Au lissu avae tisheti iliyoandikwa sera zake.
TBC ni chombo cha wote hutaki chadema walalamikie mapungufu yao?Chadema hamna jema aisee.
TBCCCM ni shiiida wana uibirisi wa kutishaLabda kama unazungumzia TBC ya inchi nyingine lakini sio hii tbccm ya bongo.
Hivi kweli hii imekua ikinifanya nitafakari sana, kwanini wamechukua muda sana kufanya hili, yani kuonyesha vyama vingine vya upinzani kampeni zao ilihali kituo hicho kinaendeshwa kwa pesa za walipa kodi, kituo cha tbc ni kituo cha ummaWakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
TBC 1 wamesema watarusha matangazo ya mkutano wenu mubashara lakini mumeshaanza kulalamika kua huenda ni hujuma ili watu wasiende uwanjani.TBC ni chombo cha wote hutaki chadema walalamikie mapungufu yao?
Acheni upumbavu. TBC ni chombo cha habari cha Serikali kinachofanya biashara kama vyombo vingine vya habari. Chama chochote cha siasa kikilipia gharama za matangazo lazima tu watarusha matangazo hayo. Hata CCM huwa wanalipia matangazo yao yote.Labda waurushie mawe si kuuonyesha amini nakwambia.
Au kituo cha tbc wamefanya hivi kwa minajiri ya kufanya biashara zaidi na kuongeza ushindani na kupata wafuasi wengiWakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
mkuu usiniite mpumbavu maana mm ni mtanzania na ninajua mambo yanavyoenda kwa hiyo peleka upumbavu wako huko huko TBC.Acheni upumbavu. TBC ni chombo cha habari cha Serikali kinachofanya biashara kama vyombo vingine vya habari. Chama chochote cha siasa kikilipia gharama za matangazo lazima tu watarusha matangazo hayo. Hata CCM huwa wanalipia matangazo yao yote.
Kinyume cha upumbavu ni werevu. Kuwa mwerevu acha upumbavu.mkuu usiniite mpumbavu maana mm ni mtanzania na ninajua mambo yanavyoenda kwa hiyo peleka upumbavu wako huko huko TBC.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
ungeanza mapema kuwa mwerevu usingefika kwenye upumbavu.Kinyume cha upumbavu ni werevu. Kuwa mwerevu acha upumbavu.
Weka mfano!Dawa ni kutoongea ovyo
Thubutu mkuu,hii ni janja ya CCM kupunguza wananchi kwenda Zakheem,hawarushi hao ni propaganda tu na Jambo msilojua wanataka akianza lisu kumpiga mawe Meko wakatishe matangazo.Wakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
Mfano kusema serikali ndio ilimpiga risasi bila ushahidi wa mahakama au kusema tume wezi wa kura bila ushahidi wa mahakama au kusema CCM huwa wanaiba kura bila ushahidi wowote wa kesi ya wizi iliyowahi thibitishwa na mahakama yenye kutamka wazi kuwa CCM wezi wa kura au kutamka kuwa Magufuli hapendwi Wakati CCM kwenye uteuzi alipata kura asilimia 100 nk kifupi kusema hovyo Ni kuongea vitu visivyo na ushahidi wa kisheria kimahakama vya kushambulia wengine hapo usitarajie mtangazaji akuache Live lazima akuzimie maikiWeka mfano!