Kuwa Na Heshima Nchi Tanzania haiwezi Kuwa nchi ya Kujikosha kwa Hao mabeberu Lazima Jambo linalofanywa wanaogopwa Mbona Swala Corona Tumesimama kama Nchi na Tunasonga Wanaojikosha kwa mabeberu wanajulikana ila sio Serikali ya MaguUsizubaishwe na haya!!! Wanaowaita mabeberu wanafuatilia kwa makini sana huu uchaguzi!!! Hii ni move ya kujikosha ila uzuri ni kuwa hao mabeberu wana taarifa nyingi sana za udhalimu unaofanywa kwenye uchaguzi huu!!! Lazima kitaeleweka tu mwaka huu!!
Mtajua hamjui mwaka huu. Subirini tuKuwa Na Heshima Nchi Tanzania haiwezi Kuwa nchi ya Kujikosha kwa Hao mabeberu Lazima Jambo linalofanywa wanaogopwa Mbona Swala Corona Tumesimama kama Nchi na Tunasonga Wanaojikosha kwa mabeberu wanajulikana ila sio Serikali ya Magu
TBC1 wako na weledi vichwani hawawezi kurusha kauli za kichochezi za Tundu live
Wataonyesha jukwaaani tu tuwape muda [emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
TBCCCM ina wahudumu wenye roho mbaya balaaHawaaminiki hao.. Bora wananchi walio dar wakajazane uwanjani kusikiliza... Tegemea kukatwa katwa matangazo na kupotea kabisa hewani...
Sipendi mubashara bila sauti 'Live coverage without voice in other word moving objects without any sound or noises'Wakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
Mungu ibariki TBCWakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441
CCM kwao ukimkosoa mtukufu huita ni uchochezi hawataki kukosolewaOk tutapata mkutano wote kwenye mitandao ya kijamii ili tuchuje huo uchochezi
Hahahaha!!! watajikakamua kuonesha banaLabda waurushie mawe si kuuonyesha amini nakwambia.
Usizubaishwe na haya!!! Wanaowaita mabeberu wanafuatilia kwa makini sana huu uchaguzi!!! Hii ni move ya kujikosha ila uzuri ni kuwa hao mabeberu wana taarifa nyingi sana za udhalimu unaofanywa kwenye uchaguzi huu!!! Lazima kitaeleweka tu mwaka huu!!
itakuwa ni ajabu sanaa ila itapendeza pia.Hahahaha!!! watajikakamua kuonesha bana
Jani la Gamboshi hiliWakithubutu yale yalofanywa na bashite klauz TV kuivamia akiwa na A.K 47 kipindi hiki atakuja nyangogo akiwa na rocket ranger tena yeye mwenyewe huku akimwaga ung'eng'e wa gambosi " Bhebhesi nang'ho nawawilaga ndoho kutangaja i kampeni ya wangi than that of unene ntale mbumbazu
URONGOWakuu nawasalimu wote,
Nimeona kwenye page ya tbc wakitoa taarifa kuwa watarusha mkutano mkubwa wa kihistoria uzinduzi wa kampeni jijini DSM
===
TBC1 leo tutakuwa mbashara katika uzinduzi wa kampeni za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kutoka viwanja vya Mbagala Zakhiem jijini Dar es Salaam.
Matangazo hayo yatakuwa mbashara pia kupitia tovuti (tbc.go.tz), App (TBC Live) na YouTube (TBCOnline).
View attachment 1550441