Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Nyie mnapotoshwa maboya,wenzenu watakuwa wamekaa ili kujiandikia mzigo WA Xmas na Nyie kwa kuwaza haraka haraka mmedhani wanadiscuss performance.
Ule ulikuwa mkesha mahsusi ukienda kucheck muamala WA Oc ndio utaelewa walikuwa wanajadili nini
Mhuuu kweli yaani mkesha wa xmas ndio ukeshe unajadili xmas basi akili zao zitakua hazna akili
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.

Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.

Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
Au kuna habari wanataka kurusha kwa hiyo inabidi ku cover every angle asije mtu akatumbuliwa. Vibali vyote wanavyo? Inaweza kumchukiza mtu? Itamjenga nani asiyestahili? Nk nk
 
walupoteza muda tuu katika hicho kikao wamgefanya mambo yao ya maana..si wanafanya kazi kwa maelekezo kutoka juu kikao cha nini sasa..
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.

Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.

Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC.
Matangazo na ngojela za ccm yajenga nchi nani anazitaka.
Wametudanganya sana inatosha.
 
Kama Tido aliyoifanyia TBC ikiwa ni pamoja na kurejesha jina lenye mvuto (TVT-TBC) quality graphics na programming bado.... ilionekana kuwa ni nothing kwa serikali-chama....hicho kituo hata kama kitahamishiwa Magogoni ni kazi bure.
 
Tatizo no uongozi. Hivi unamuondoaje MTU kama tido mhando unamueka rioba!!!.
No ngumu halafu kituo chenyewe wafanyakazi wrote no kama hawkusomea Nazi hizo wapowapo tu. Yaan majanga tuu.
 
Tatizo wanasifia mpaka mambo ya kipuuzi yanayofanywa na CCM nani aangalie huo mkituo wao? Tumewaachia wagogo waangalie
 
Back
Top Bottom