Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

Tetesi: TBC wafanya kikao usiku wa manane, kimeisha saa 11 alfajiri

hawalipi kodi, hata wakilipa wanajinsi ambavyo wanaweza kurudishiwa, wanabebwa kutafuta biashara, ruzuku sasa unategemea nini kipya kwao?
wazalishe wasizalishe wao yao yatakwenda
 
Jameni kuna fursa hapa ya kutengeneza pesa nzuri tu,kwa Siku,wiki na hata mwezi.Kama were no kijana,baba mama au Mzee hii ndio fursa,
Chakufanya tembelea hii hapa link kwa maelezo zaidi

jamiiforums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job
acha uzembe dogo.
 
Wanatakiwa kuajiri waandishi mahiri tena wasiweke mipaka ya habari
 
Hawajui kosa Lao la kuwa makada wa sisiem na upendeleo...?
 
wabadilike wasome nyakati, vinginevyo waendeshe mambo hivyo hivyo wajali tu mishahara yao
 
Ila kwa awamu hii watulie tu hao staffs so long as wanapata mishahara yao. Wakitaka kutunishiana misuli na serikal wasije wakala nyasi bure.
 
Yaani kweli hawajui tatizo? Kweli au wanatania??? Waache siasa za upendeleo, nani anamkumbuka yule Binti aliekua anasoma magazeti kwa kuruka headings za Upinzani au kuondoshwa kwa Tido. Sababu ziko wazi, wajipambanue. Naapa sijawahi kusikiliza TBC radio au TV labda pale tu ambapo labda kuna kipindi kile cha Yule Jamaa mwenye kipindi cha Ubongo Kids ambapo watoto wangu wanakipenda
Hapo kiongozi nakuunga mkono. Sijui kwa nini huyu jamaa hajatafuta TV ingine inayoonyesha vizuri! Mwanzo Nilifikiri TV yangu ina matatizo, maana kila nitazama TBC naona picha zinaenda kivyake na sauti kivyake!!
 
Hapo kiongozi nakuunga mkono. Sijui kwa nini huyu jamaa hajatafuta TV ingine inayoonyesha vizuri! Mwanzo Nilifikiri TV yangu ina matatizo, maana kila nitazama TBC naona picha zinaenda kivyake na sauti kivyake!!

tetetetet


swissme
 
Uonngozi wa juu wa TBC na wafanyakazi wengine wa kituo hicho usiku wa kuamkia leo wamefanya kikao cha dharura kuangalia sababu za kudorora kwa kituo hicho kikubwa cha TV ambacho kimemalizika saa 11 alfajiri.
Pamoja na mengine kitu kilichoonesha kuwaumiza kichwa zaidi ni jinsi gani kituo kikubwa kama hicho kinachopata ruzuku kubwa kutoka serikalini kinakuwa na ratings za mwisho huku kikizidiwa na vituo ambavyo havina hata miaka mitano hewani.
Mkurugenzi amesisitiza sana na kuwaomba wafanyakazi wa TBC kama ikitokea rais anapiga tena simu kwenye kituo chochote cha TV basi iwe TBC na ikiwa anatuma kadi ya salamu basi iwe TBC
Wakianza kutangaza habari za ukweli ba uhakika basi watapanda chati.... lakini kama ni propaganda basi wasahau. Watabaki kutazamwa kwenye ubongokids tu basi
 
Wakianza kutangaza habari za ukweli ba uhakika basi watapanda chati.... lakini kama ni propaganda basi wasahau. Watabaki kutazamwa kwenye ubongokids tu basi
Hahah kiongozi umenichekesha sana. Kwakweli kwenye ubongo kids wanatukamata sana ila siku ikija kupatikana channel ingine inayoonesha ubongo kids basi wataisoma namba vilivyo.
 
Wanataka kujua matatizo, mie naanza na haya na wengine wataendeleza
1.Quality ya picha ni mbovu
2. Hakuna ubunifu wa vipindi
3. Coverage ya habari ni poor
4. Upendeleo katika kuripoti habari
 
Back
Top Bottom