Asante mpenzi.Hhahahhaa chizi ww.! Ila kvant ina mizuka mizuri sana!sema ina maconfidence kama unayosema🤣🤣! Karibu tena
Ilikuaje mkuu[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Yaani mm tena ukitaka ugombane na mm ulete habari za mapenzi...hahahaa nakunywa mkuu..ukioa utaelewa...niliingia nakunywa juice tu..nw mzinga wa kvant mkubwa namaliza na nnadrive safi kbs.ila sio kila mara...twice a month!
mkuu mtungi unazingua sana ukija kuukatia siku ukikaa na mlevi ndo utajua noma zako ulivyokuwa unamaanikaNilijua ni mimi peke yangu Kumbe ni wadau wengi.
Juzi nilipiga nikarudi hom fresh, nikapiga story na mke mpaka usiku mnene,kuamka asubuhi mke wangu ananiambia twende basi ulikosema jana, nikabaki nashangaa tu.
Aisee nlikunywa baada ya hapo nikachukua pikipik yangu na kutaka kuondoka..matokeo yake kabla sijaingia road pikipik ikanishinda nikadondoka huku nimetanguliza mdomo...nliumia balaaa..ila namshukur mung meno hayakutoka..ila k vant sitak kuzisikia Tena labda baada ya mwaka..
Kuna watu ni loyal kinoma na brand walizotoka nazo from the Scratch mfano The late Nche Lord Lofa alikuwa anapiga Nyagi pamoja na tittle ya UraisTafuta ela blood ule henessy
Kwa muda mrefu namaliza..si ni vile vidogo 2 jaman mchumba?😒[emoji2303][emoji2303] Jizozii..!!!. Mkubwa unamaliza
Hahahahahahahahhahahahahahaha...ss walikusaidiaje usk huo na una alcohol mwilini🤣🤣🤣🤣! Khaaa ww sikuwwzi .bas ww mizuka yako ni level nyingine hahhaaa nicheze juu ya meza? Wee nibilingite chini inahu? Ila mm nataka kucheza tu aise nisizuiwe!miziki fulani hv..sio bongoflava😒Asante mpenzi.
Ilinivunja mguu pale Ijenga bar Dodoma.
Mzuka umepanda, nikapanda juu ya kiti kucheza, nilijikuta tu niko ndani ya bajaji naenda General hospital.
....nikapona, na sijaiacha.
mtoa mada ujue leo ndio umetoa watu tongotongo!
zamani flani nikiwa na washkaji tulikuwa tunanunua vile viroba vya konyag vikubwa katika duka flani la jumla..!
then tunaviweka kwenye freeza km box3 ikifika jioni tunaanza kuvinyonya!hiyo ilikuwa ni daily basis.
tulikuwa 3 na hao washkaji zangu wao wanaishi abroad,
kwa muda wa mwezi kila mmoja alirudi alipotokea lakini kila mmoja alipata kitu tofauti..
huyu mmojawapo hata siku hiyo tupo JKN tulikuwa tunanyonya viroba!
alipofika destination aliingizwa ICU!
akaambiwa mahali ulikuwepo ungekaa siku3 tuu ulikuwa unakufa tunakusahau!
kwa jinsi vtu vimeoza ndani(fat liver)etc.
nijiuliza sana kama mshkaji for that time around yuko hivyo je sisi tupoje humu ndani??!!sikupata jibu!
ilinifanya niache pombe more than 6 months,
walikuja tena kipindi hamna viroba nikawashari tunywe kvant
hapo mtoa mada ndio naanza kuelewa!
maana sisi tulilala jumba la freemason,
nitaelezea vizuri ilikuwaje maana huwa tunaiita hii ni HANGOVER 10
Huu uzi nacheka mno leo dah🤣🤣🤣Dengerua ulikua ukinywa unafungwa mpira kwa miguu ya suruali ili ukae na mavi yako , sasa wewe kupoteza tu fahamu unaanza kuzisumbua mamlaka za serikali
kweli huwa mi nikiga huwa inataka Mama!Afu kwanini ukinywa lazima uwaze kwenda kufanya ngono.
Sijui ina nini....japo ni nzuri na inachangamsha sana
Kwa muda mrefu namaliza..si ni vile vidogo 2 jaman mchumba?[emoji19]
ebow na siku hizi wana ziweka harufu tu kama ya chungwa kwenye juice 😂Yes kuna dettol hazina ile smell kbs ya dettol
me nilipiga siku moja wakati nina msindikiza shemeji yako akapande dalala nikapanda naye dala dala adi mwenge 😂Nilipiga K Vant, nikajikuta nimeenda sokoni kufuata gari badala ya gereji ambako nilikuwa nimeipaki
Kazi iendeleeebow na siku hizi wana ziweka harufu tu kama ya chungwa kwenye juice 😂
Mkuu sukari iongozwe unataka kulambwa na Zuchu??Mimi nilikua naomba iwekwe sukari kidogo