reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Wanajiita Simiyu yetuIyo kampuni mpaka leo bado ipo[emoji119][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajiita Simiyu yetuIyo kampuni mpaka leo bado ipo[emoji119][emoji119][emoji119]
Sina Picha zote ila kumbuka enzi za
Tanganyika Bus Service pale Mwanza na rangi.za buy mpauko kiaina
Trans Africa na kahawia take kiaina
Songoro bus service
Nzegenuka Nyota ya Bwana
Nyehunge Express ingawa bado wapo wapo
Mashiku Investment
Matema Beach
Mohamed Trans
Bukwaya
.....hao most ni lake zone huko from Mwanza to various destinations
...Wengine ni down hapo...
Kwacha
Safina
Gold Line
Widambe
Mwaafrika
Makete
Siri Yako
Super Star
Railway
Kamata
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shen
Bin Klebo Bus Service
Kiswele
Sharuks
Air Msae
Air Chalinze
No Challenge
Air Shengena
Zainab
Scandnavia
Special Video Coach
Tawaqal
Comfort Video Coach
Living Light
Yarabi Salama
Safari Master
Big Mayai
Jupiter
Mbarak
Ruvuma Tours Line
Matema Beach Coach
...
Nb: za chini hapo I.credit JF member mkongwe bwana yutong /yutong
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Niliiona iringa mkuu.Mkuu uliliona wapi?
Jamaa sijui walifeli wapi hadi kampuni ile ikafa.Scandinavia gari ya kwanza kwangu kupanda ina choo ndani, tunapewa biskuti na soda.. nimetumiwa sana hela kupitia basi hili
Kale ni pagumu kinomaaWatu wa kale mlipata sana shida!!!! Kwaio pesa ilikua inatumwa kwa bus[emoji23]
Sumry gari 3 na Hekima gari 1.Only legends watayatambua hayaView attachment 2056183
Kuna uzi upo humu niliusoma mwaka jana nadhani, unaelezea chanzo hii kampuni kufa.Jamaa sijui walifeli wapi hadi kampuni ile ikafa.
😁😁[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]hapo mwisho mkuu
Mbarouk hakufanikiwa kutoa gari mpya mpaka anapoteaView attachment 2056212
Shambalai,,
Ile hood ya dar mbeya iliitwa panya bukuHii Chombo nilikuwa naipanda Dar+Tunduma enzi hizo kuna mabasi kama Hekima, Sabco jamaa walikuwa wanatembea sana, au Arusha -Mbeya via Chalinze
Hatari sanaView attachment 2056220
[/QUOTE
Sidhani kama ni kweli,hapo Mabeto ana weka sawa miwani yake au heleni,sema wabongo huwa tunatafsiri vitu vingine isivyo kabisa.
Nilikuwa namchukulia hood poa but kuna siku natokea tunduma nikapanda bus yenu tulipofika moro ikawa na khitilafu ikaingizwa yard kurekebishwa duh nilikuta buses kama hamsini zime poa ndio nilitia akiliKiswele ilikuwa inatumia masaa mawili tu from Dar to Moro believe me!! ikiwa inashusha mlima kuitafuta msamvu mnaisikia sauti yake hiyooo mnajua kabisa hii ni Kiswele bjnafsi nimefanya kazi Hood Limited kuanzia mwaka 1996 mpaka 2010 mpaka ikafikia kipindi nikawa family friend wa wamiliki ikizingatia kwamba pia walikuwa wanafahamiana na baba yangu before..Nilipiga mzigo pale enzi zile Hood ni Hood hata nilipomaliza chuo sikuona umuhimu wa kuendelea na kazi nyingine kutokana na mavumba yaliyokuwa yanapatikana hapo na mimi ndio nilitoa wazo la kuwa na route ya Nairobi Arusha hapo ndio nikazidi kugongelea msumari wa kuaminiwa lakini kizuri hakidumu niliamua kufanya majukumu yangu mengine kabisa kwa hiyari baada ya kuhitaji changamoto mpya lakini maboss zangu ambao walinilea bado nipo nao karibu mpaka kesho hasa watoto zake..Hood sio kama amefirisika hapana ukweli ni kwamba kulitokea mgogoro mzee mwenyewe akiwatuhumu watoto kuwa wanafuja mali za kampuni kwa kutumia hela kwa starehe hivyo hana nia ya kuendelea na biashara hiyo ingawa bado kampuni ilikuwa top na tulikuwa kwenye process ya kuorder mabasi mapya makaliii so akaifunga taratibu kampuni mabasi kayafungia ndani na mengine anauza kwa bei ya kutupa mgogoro huu ulikuwa hasa kati ya mzee na watoto wake hasa Tiffu na Saidy ambao ni wakubwa na ndio walikuwa wakurugenzi ukiachana na yule mwingine aliyekuwa uarabuni mpaka leo Hood Hood..mzee kaamua kuwekeza kwenye biashara nyingine kama kwenye Real estates na kununua hisa kwa baadhi ya makampuni kama Azania..asante kwa uzi huu
View attachment 2054530
[emoji1787][emoji28] mkuu hapo unatujaza bhana, inamana hiyo njia haina trafiki? Au inawanga usiku mnene?USAFIRI HUU HAUVUMI LAKINI BADO WAMO
Huu ni usafiri wa kutoka Songea kuelekea Namtumbo maarufu kwa jina la 'Matimbula' ingawa kuna magari mengine ya kisasa yanayofanya safari kuelekea huko lakini gari hilo limekuwa na wapenzi wengi ingawa mwendo wake ni wa polepole kama wa kinyonga.
Huyu ni abiria aliyekuwemo kwenye basi hilo ambaye alijitambulisha kwa jina moja la Abdul
Wenyewe wanasema mtu 70 na zingeweza fiti mle ndani lilikuwa linakimbia sio poa likifika pale ruaha Mbuyuni nje unaona blurred tu jinsi jamaa alivokuwa anapiga mwendo hatari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]kha basi kama treni?abiria 200[emoji23][emoji28][emoji28]
Enzi hizo safari Arusha -Dar basi zilikuwa zinaanza safari kuanzia saa 11 jioni basi la mwisho kuondoka saa2 usiku,alfajiri mpo Dar.Mashine zilikuwa zinatembea balaa!!!Lang'ata hiyo dah kweli tumetoka mbali
View attachment 2055291
Mkuu Hadi 2019 mwisho mi nililiona gari hili stendi kuu songea[emoji1787][emoji28] mkuu hapo unatujaza bhana, inamana hiyo njia haina trafiki? Au inawanga usiku mnene?
Mkuu na mimi niliwahi panda hii chuma jamaa alimwaga moto ikabidi tuchil Chalinze kama lisaa muda usogeesogee 😀 .Halafu kulikuwa na NGORIKA T 150 AAD.
Hili basi jamaa alikuwa kama Burushi hivi,niliwahi kupanda hili basi mpaka leo sijaelewa kwanini sikutapika siku hiyo kutokana na ule mwendo!!.
YepSongoro bus service nafikiri waliachana na huduma za usafirishaji abiria kwa njia ya basi. Wakajikita majini na hadi sasa ndio watengenezaji wakubwa wa vivuko vya serikali na binafsi